Kizayuni
-
Sheikh Naim Qassem:
Lebanon inapaswa kukabiliana kikamilifu na uvamizi wa kibeberu wa utawala wa Kizayuni | Mashahidi walijitolea kwa roho, mali na kila walichokuwa nacho
Lebanon inakabiliwa na uvamizi hatari wa Kizayuni: Akirejea mashambulizi ya mara kwa mara ya Israel kusini mwa Lebanon, alisema: “Lebanon inakabiliwa na uvamizi wa hatari na wa kupanua mipaka wa utawala wa Kizayuni. Lazima tukabiliane nao kwa kila njia na mbinu. Adui huyu haheshimu makubaliano yoyote.”
-
Umoja wa Waislamu na kuunga mkono Iran kama mstari wa mbele wa kulinda Quds ni jambo la lazima
Mwanafikra mashuhuri wa Algeria amesisitiza kuwa umoja wa Waislamu, kuacha misimamo ya chuki za kimadhehebu na kuunga mkono Iran kama ngome ya mbele ya kulinda Quds (Msikiti wa Al-Aqsa) na Umma wa Kiislamu ni jambo la lazima, na kwamba mataifa pamoja na wanazuoni wa Kiislamu wanapaswa kusimama bega kwa bega na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika nyanja za vyombo vya habari, siasa, utamaduni na usalama.
-
“Barna”, mgombea madhubuti wa kuchukua nafasi ya Benjamin Netanyahu
Kwa mujibu wa madai ya tovuti moja ya Kizayuni, vyanzo vya kisiasa nchini Israel vinamtaja David Barna, mkuu wa Mossad, kama mmoja wa wagombea wakuu wa kumrithi Benjamin Netanyahu.
-
Mgogoro usio wa kawaida katika Jeshi la Israel / Kupungua kwa kasi kwa hamasa ya wanajeshi kuendelea na utumishi
Jeshi la utawala wa Kizayuni linakabiliwa na mgogoro usio wa kawaida wa upungufu wa askari na kushuka kwa kiwango kikubwa cha hamasa ya wanajeshi kuendelea na utumishi.
-
Kifo cha Kishahidi Klcha Kijana Msyria Usiku wa Harusi Yake Akiwa Anapambana na Uvamizi wa Israel katika Mji wa Bayt Jinn
Kijana mmoja Msyria ameuliwa shahid usiku wa harusi yake wakati akipambana na uvamizi wa jeshi la Israel katika mji wa Bayt Jinn, ulioko katika vitongoji vya kusini mwa Damascus.
-
Hali Zisizo za Kibinadamu Gaza: Janga Linalozidi Kuwa Kubwa na Uhitaji wa Haraka wa Msaada wa Kimataifa / Mauaji ya Kimbari Yanaendelea
Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu Palestina (Hamas) amesema kuwa mazingira haya mabaya ni matokeo ya kuendelea kwa mzingiro, kuzuia ujenzi upya, uharibifu wa miundombinu na hali mbaya ya hewa. Ameitaka Jumuiya ya Kimataifa, ikiwemo Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, OIC na Umoja wa Mataifa, kuchukua hatua za haraka za kutoa makazi na misaada ya kibinadamu.
-
Mwenyekiti wa Chama cha Al-Wafa nchini Lebanon katika mahojiano na ABNA:
Jamii ya kimataifa, haki za binadamu na dhana kama hizi zimelemazwa / “Lugha ya nguvu” ndiyo lugha pekee ambayo Israeli huielewa
Dkt. Alwan alisema: Serikali ya Lebanon, kutokana na mipaka ya diplomasia na kutokuwepo kwa uimarishaji wa kweli wa jeshi (kwa sababu ya vizuizi vya Marekani), kimsingi haiwezi kuilinda nchi kijeshi.
-
Jeshi la Israel Ladai Kumuua Kigaidi Kamanda Mwandamizi wa Hezbollah katika Mji wa Beirut
Kwa mujibu wa kituo cha habari cha Aljazeera, jeshi la Israel limedai kuwa limemuua mmoja wa makamanda wakuu wa Hezbollah katika mji wa Beirut.
-
Jeshi la Mapinduzi la Kiislamu la Iran (IRGC):
Hadithi ya vita vya siku 12 iwe kipaumbele kwa wachapishaji na waandishi
Jeshi la Mapinduzi la Kiislamu (IRGC) limeweka mkazo: Moja ya matukio makuu na yenye mafundisho muhimu katika historia ya kisasa, ambayo inaweza kuwa kipaumbele kwa wachapishaji na waandishi wenye ujuzi na uwezo wa nchi, ni Ulinzi Mtakatifu wa siku 12 dhidi ya vita vya kigaidi vilivyofanywa na muungano wa Marekani, utawala wa Kizayuni, na wafuasi wao wa Magharibi na wa kikanda.
-
Sheikh Ikrimah Sabri, khatibu wa Msikiti wa Al-Aqsa, atafikishwa kwenye mahakama!
Wakili wa Ikrimah Sabri amesema kwamba mashtaka dhidi yake ni sehemu ya “ufuasi wa kisiasa, kidini na kifikra,” na kwamba mamlaka za Kizayuni haziridhiki na misimamo yake ya kidini na kisiasa na wanajitahidi kunyamazisha sauti yake.
-
Safari ya kuelekea Ikulu ya White House: Kuanzia Mikataba ya Kijeshi hadi Mchakato wa Kuweka Uhusiano wa Kawaida na Utawala wa Kizayuni
Kabla ya safari ya Mrithi wa Kiti cha Enzi cha Ufalme wa Saudi, mazungumzo kati ya Saudia na Marekani, ambayo yanahusisha mkataba wa ulinzi na uuzaji wa ndege za kivita za F-35, yamesababisha wasiwasi kuhusu kupuuzia haki za Wapalestina. Wataalamu wengi wanaona safari hii kama maandalizi ya kuanza mchakato wa kuweka uhusiano wa kawaida kati ya Saudia na utawala wa Kizayuni.
-
Lebanon Yakatishwa Tamaa na Msaada wa Kimataifa Dhidi ya Uvamizi wa Israel / Shinikizo Linaloongezeka la Kuilazimisha Hizbullah Kuweka Silaha Chini
Aoun: “Tumeziomba nchi rafiki za Lebanon zisaidie kuishinikiza Israel kuheshimu makubaliano ya kusitisha mapigano, lakini hadi sasa hakuna matokeo chanya yaliyopatikana.”
-
Hamdan Sabbahi: Operesheni “Tofaan Al-Aqsa” imevunja njia ya kawaida ya uhusiano na Israeli
Hamdan Sabbahi, katika hotuba yake Beirut, akionyesha athari za Operesheni “Kimbunga cha Al-Aqsa”, alisisitiza juu ya kushindwa kwa miradi ya kutaka kugawanya ardhi na kukawaidaisha uhusiano na utawala wa Kizayuni, na pia alibainisha kuwa utetezi wa silaha za upinzani na nafasi ya vyombo vya habari itakuwa muhimu sana katika vita vya siku zijazo.
-
Ukosoaji wa Mwakilishi wa Hezbollah:
Ukimya wa Kamati ya Usimamizi wa Mkataba wa Usitishaji Vita Kuhusu Uhalifu Mpya wa Utawala wa Kizayuni
Azaldin: Adui tangu mwanzo haikuwa imezingatia kuacha mashambulizi, lakini Kamati ya Usimamizi wa Mkataba wa Usitishaji Vita hadi sasa haijachukua msimamo wowote dhidi ya adui wa Kizayuni.
-
Utawala wa Kizayuni umepokea mabaki ya mfungwa wa mwisho mwenye uraia wa Marekani na Israel kutoka Gaza
Utawala wa Kizayuni umetangaza kuwa umepokea mabaki ya mwili wa Itay Chen, mateka wa mwisho mwenye uraia wa pande mbili -Marekani na Israel- aliyekuwa akishikiliwa katika Ukanda wa Gaza.
-
Imam Khamenei: Uhasama kati ya Iran na Marekani ni wa asili, ni mgongano wa maslahi kati ya mitindo miwili
Hivi karibuni kabla ya tarehe 4 Novemba, inayojulikana kama “Siku ya Wanafunzi na Siku ya Kitaifa ya Kupambana na Ukorofi wa Kidunia”, Imam Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, alikutana na wanafunzi wa rika zote, wakiwemo wanafunzi wa vyuo vikuu, pamoja na familia za mashahidi wa Vita vya Siku 12 Vilivyowekezwa"
-
Ayatollah Khamenei Asifu Uwezo wa Makombora ya Iran, Asema Yameharibu Vituo Muhimu vya Utawala wa Kizayuni
Ayatollah Khamenei pia aliongeza kuwa utawala wa Kizayuni (Israel), ambao kwa muda mrefu umekuwa ukifanya vitisho na mashambulizi dhidi ya eneo hili la kikanda, sasa “umepokea funzo ambalo litabaki kwenye kumbukumbu zake,” akisisitiza kuwa taifa la Iran halitasita kujibu hatua yoyote ya uchokozi
-
Zulia nyekundu la Israel kwa wafuasi wa mitandao na viongozi wanaopinga Uislamu ili kukabiliana na upweke unaoongezeka
Mnamo mwezi Oktoba huu, serikali ya Kizayuni ya Israeli imekaribisha na kualika wafuasi maarufu wa mitandao wenye mwelekeo mkali wa kulia kutoka Uingereza na Marekani, ikiwa na lengo la kuunda propaganda ya vyombo vya habari ili kukabiliana na upweke unaoongezeka wa Israel katika jamii za kimataifa kufuatia mashambulizi na mauaji ya kimbari yaliyofanyika Gaza.
-
Sayyid al-Houthi: Yemen ni nchi ya kwanza katika ulimwengu wa Kiarabu kutengeneza silaha zake za kijeshi
""Dunia sasa imeutambua utawala wa Kizayuni kuwa ni utawala wa kinyama lakini ulioshindwa"
"Hatuwezi kukaa kimya wakati wowote, na kwa namna yoyote hatutafanya biashara au kutoa punguzo juu ya msimamo wetu wa kimsingi wa kiimani, wa jihadi na wa Koran. Taifa letu linatenda kwa mujibu wa maagizo ya Mungu."
-
Hasira za Wazayuni kutokana na kushindwa kwao Gaza / Hamas na Muqawama bado wapo imara
Shirika la televisheni la Kizayuni Channel 12 limekiri kwamba: “Hamas, katika kipindi cha miaka miwili migumu sana ikiwemo vita ya hivi karibuni, imeonyesha ujasiri na haijashindwa. Lengo kuu la Israel katika vita - yaani ‘kuishinda Hamas’ - halijafanikiwa.”
-
Kuanza kwa kuondoka kwa majeshi ya wavamizi (wa kizayuni) kutoka Ghaza
Baadhi ya maeneo ya Ukanda wa Ghaza yanashuhudia kuondoka kwa hatua kwa hatua kwa majeshi ya utawala wa Kizayuni na kuanza kwa kurejea kwa wakimbizi.
-
Ripoti ya New York Times inaonyesha kupungua kwa kuelewa na kuamini kwa jamii ya Marekani kuhusiana na Israel
Utafiti wa maoni mpya nchini Marekani unaonyesha kuwa msaada wa Wamarekani kwa utawala wa Kizayuni umepungua.
-
Mwenyekiti wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia wa Pakistan:
"Kuitambua tu Palestina hakutoshi - Hatua za vitendo pia ni muhimu"
Mwenyekiti wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia wa Pakistan amesisitiza: "Nchi ambazo hapo awali zilikuwa kimya au hata ziliunga mkono utawala haramu wa Kizayuni (Israel), leo hii zinajifanya kupinga ukatili wa utawala huo na zinaanza kuutambua rasmi uhuru wa Palestina. Ingawa hii inaonekana kama hatua chanya kwa mtazamo wa nje, haitoshi kama haitafuatiwa na hatua madhubuti."
-
Yemen katika Macho na Moyo wa Sayyid Hassan Nasrallah katika Miaka 11 ya Mapinduzi ya Yemen
Watu wa Yemen katika kumbukumbu ya miaka 11 ya ushindi wa Mapinduzi yao wanapanga kufanya maadhimisho ya kumbukumbu ya Sayyid wa Muqawama, kwa kuwa uhusiano wa Sayyid Muqawama na wananchi pamoja na viongozi wa Yemen ulikuwa ni uhusiano wa pande mbili uliojaa mapenzi na heshima.
-
Netanyahu: "Tutaendelea Kuwalenga Viongozi wa Hamas"
Kiongozi wa serikali ya Kizayuni (Israel) katika mkutano wa waandishi wa habari pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, alitetea shambulio la uvamizi la taifa hilo dhidi ya Qatar lililolenga kuuwa viongozi wa Hamas, na hakukatisha nafasi ya kuonyesha kuwa shambulio kama hilo linaweza kurudiwa dhidi ya nchi nyingine za eneo.
-
Maduro: Mamilioni ya Wavenezuela wako tayari kwa vita na kukabiliana na wavamizi wa Kimarekani
Rais wa Venezuela, huku akilaani shambulio la utawala wa Kizayuni dhidi ya Qatar, ametangaza kuwa wananchi wa nchi hiyo wako tayari kwa vita dhidi ya wavamizi wa Marekani.
-
Kiongozi wa Ansarullah: Kuwasaidia Wapalestina Wanaodhulumiwa Ni Wajibu wa Mataifa ya Kiislamu
"Mara tu matatizo ya Waislamu yanapoanza, basi hilo huwa ni matokeo ya kugeuka mbali na Qur’an na mwongozo wa Mtume. Suluhisho la kweli ni kurejesha uhusiano wa dhati na Qur’an na Sunnah ya Mtume (s.a.w.w).”
-
Jeshi la Yemen Lashambulia Tel Aviv kwa Makombora ya “Falastin-2” na “Dhulfikar”
"Adui wa Kizayuni hatapata usalama wala utulivu. Mashambulizi yetu yataendelea kwa kasi kubwa zaidi katika hatua ijayo.”
-
Maafisa wa Kiyemeni katika mazungumzo na Abna:
"Madai ya Israel ni udanganyifu na kupindisha mambo ili kufidia udhaifu katika uwanja wa mapambano / Msaada kwa Gaza hautasitishwa"
"Abdulaziz al-Bakr", Katibu Mkuu wa chama cha "Ujamaa wa Kitaaluma wa Kiyemen" na "Hizam al-Asad", mjumbe wa ofisi ya kisiasa ya harakati ya Ansarullah ya Yemen, katika mazungumzo na shirika la habari la Abna wamesisitiza kuwa: Kila shambulio linalolenga raia wasio na hatia huko Sana'a linageuka kuwa mafuta ya ziada kwa ajili ya harakati ya mapambano ya wananchi wa Yemen.
-
Idadi ya Mashahidi Gaza Yaongezeka Hadi 62,122
Wizara ya Afya ya Palestina katika Ukanda wa Gaza imetangaza kuwa baada ya kuuwawa kwa watu wengine 58 kutokana na mashambulizi ya jeshi la utawala wa Kizayuni, idadi ya jumla ya mashahidi imefikia 62,122.