Kizayuni
-
Ayatollah Khamenei Asifu Uwezo wa Makombora ya Iran, Asema Yameharibu Vituo Muhimu vya Utawala wa Kizayuni
Ayatollah Khamenei pia aliongeza kuwa utawala wa Kizayuni (Israel), ambao kwa muda mrefu umekuwa ukifanya vitisho na mashambulizi dhidi ya eneo hili la kikanda, sasa “umepokea funzo ambalo litabaki kwenye kumbukumbu zake,” akisisitiza kuwa taifa la Iran halitasita kujibu hatua yoyote ya uchokozi
-
Zulia nyekundu la Israel kwa wafuasi wa mitandao na viongozi wanaopinga Uislamu ili kukabiliana na upweke unaoongezeka
Mnamo mwezi Oktoba huu, serikali ya Kizayuni ya Israeli imekaribisha na kualika wafuasi maarufu wa mitandao wenye mwelekeo mkali wa kulia kutoka Uingereza na Marekani, ikiwa na lengo la kuunda propaganda ya vyombo vya habari ili kukabiliana na upweke unaoongezeka wa Israel katika jamii za kimataifa kufuatia mashambulizi na mauaji ya kimbari yaliyofanyika Gaza.
-
Sayyid al-Houthi: Yemen ni nchi ya kwanza katika ulimwengu wa Kiarabu kutengeneza silaha zake za kijeshi
""Dunia sasa imeutambua utawala wa Kizayuni kuwa ni utawala wa kinyama lakini ulioshindwa"
"Hatuwezi kukaa kimya wakati wowote, na kwa namna yoyote hatutafanya biashara au kutoa punguzo juu ya msimamo wetu wa kimsingi wa kiimani, wa jihadi na wa Koran. Taifa letu linatenda kwa mujibu wa maagizo ya Mungu."
-
Hasira za Wazayuni kutokana na kushindwa kwao Gaza / Hamas na Muqawama bado wapo imara
Shirika la televisheni la Kizayuni Channel 12 limekiri kwamba: “Hamas, katika kipindi cha miaka miwili migumu sana ikiwemo vita ya hivi karibuni, imeonyesha ujasiri na haijashindwa. Lengo kuu la Israel katika vita - yaani ‘kuishinda Hamas’ - halijafanikiwa.”
-
Kuanza kwa kuondoka kwa majeshi ya wavamizi (wa kizayuni) kutoka Ghaza
Baadhi ya maeneo ya Ukanda wa Ghaza yanashuhudia kuondoka kwa hatua kwa hatua kwa majeshi ya utawala wa Kizayuni na kuanza kwa kurejea kwa wakimbizi.
-
Ripoti ya New York Times inaonyesha kupungua kwa kuelewa na kuamini kwa jamii ya Marekani kuhusiana na Israel
Utafiti wa maoni mpya nchini Marekani unaonyesha kuwa msaada wa Wamarekani kwa utawala wa Kizayuni umepungua.
-
Mwenyekiti wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia wa Pakistan:
"Kuitambua tu Palestina hakutoshi - Hatua za vitendo pia ni muhimu"
Mwenyekiti wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia wa Pakistan amesisitiza: "Nchi ambazo hapo awali zilikuwa kimya au hata ziliunga mkono utawala haramu wa Kizayuni (Israel), leo hii zinajifanya kupinga ukatili wa utawala huo na zinaanza kuutambua rasmi uhuru wa Palestina. Ingawa hii inaonekana kama hatua chanya kwa mtazamo wa nje, haitoshi kama haitafuatiwa na hatua madhubuti."
-
Yemen katika Macho na Moyo wa Sayyid Hassan Nasrallah katika Miaka 11 ya Mapinduzi ya Yemen
Watu wa Yemen katika kumbukumbu ya miaka 11 ya ushindi wa Mapinduzi yao wanapanga kufanya maadhimisho ya kumbukumbu ya Sayyid wa Muqawama, kwa kuwa uhusiano wa Sayyid Muqawama na wananchi pamoja na viongozi wa Yemen ulikuwa ni uhusiano wa pande mbili uliojaa mapenzi na heshima.
-
Netanyahu: "Tutaendelea Kuwalenga Viongozi wa Hamas"
Kiongozi wa serikali ya Kizayuni (Israel) katika mkutano wa waandishi wa habari pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, alitetea shambulio la uvamizi la taifa hilo dhidi ya Qatar lililolenga kuuwa viongozi wa Hamas, na hakukatisha nafasi ya kuonyesha kuwa shambulio kama hilo linaweza kurudiwa dhidi ya nchi nyingine za eneo.
-
Maduro: Mamilioni ya Wavenezuela wako tayari kwa vita na kukabiliana na wavamizi wa Kimarekani
Rais wa Venezuela, huku akilaani shambulio la utawala wa Kizayuni dhidi ya Qatar, ametangaza kuwa wananchi wa nchi hiyo wako tayari kwa vita dhidi ya wavamizi wa Marekani.
-
Kiongozi wa Ansarullah: Kuwasaidia Wapalestina Wanaodhulumiwa Ni Wajibu wa Mataifa ya Kiislamu
"Mara tu matatizo ya Waislamu yanapoanza, basi hilo huwa ni matokeo ya kugeuka mbali na Qur’an na mwongozo wa Mtume. Suluhisho la kweli ni kurejesha uhusiano wa dhati na Qur’an na Sunnah ya Mtume (s.a.w.w).”
-
Jeshi la Yemen Lashambulia Tel Aviv kwa Makombora ya “Falastin-2” na “Dhulfikar”
"Adui wa Kizayuni hatapata usalama wala utulivu. Mashambulizi yetu yataendelea kwa kasi kubwa zaidi katika hatua ijayo.”
-
Maafisa wa Kiyemeni katika mazungumzo na Abna:
"Madai ya Israel ni udanganyifu na kupindisha mambo ili kufidia udhaifu katika uwanja wa mapambano / Msaada kwa Gaza hautasitishwa"
"Abdulaziz al-Bakr", Katibu Mkuu wa chama cha "Ujamaa wa Kitaaluma wa Kiyemen" na "Hizam al-Asad", mjumbe wa ofisi ya kisiasa ya harakati ya Ansarullah ya Yemen, katika mazungumzo na shirika la habari la Abna wamesisitiza kuwa: Kila shambulio linalolenga raia wasio na hatia huko Sana'a linageuka kuwa mafuta ya ziada kwa ajili ya harakati ya mapambano ya wananchi wa Yemen.
-
Idadi ya Mashahidi Gaza Yaongezeka Hadi 62,122
Wizara ya Afya ya Palestina katika Ukanda wa Gaza imetangaza kuwa baada ya kuuwawa kwa watu wengine 58 kutokana na mashambulizi ya jeshi la utawala wa Kizayuni, idadi ya jumla ya mashahidi imefikia 62,122.
-
Sayyid Abdulmalik al-Houthi: Kuondoa Silaha za Mapambano ya Muqawama Ni Kufuata Mpango wa Kizayuni
Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah nchini Yemen, Sayyid Abdulmalik al-Houthi, amesema kuwa kuondoa silaha za mapambano ni sehemu ya mpango wa wazi wa Marekani na Israel wa kudhoofisha mataifa ya eneo hili.
-
Pezeshkian: Shambulio kwenye taasisi za nyuklia ni kielelezo tosha kuwa Marekani ni msababishaji mkuu wa hatua za uhasama za Kizayuni dhidi ya Iran
Jibu kali la Iran lilikuwa ujumbe wa wazi kwa wahalifu wa Kizayuni. Marekani, baada ya majibu makali na ya kuadabisha kutoka kwa vikosi vya ulinzi vya nchi yetu, na kuona udhaifu na ulegeaji wa wazi wa utawala wa Kizayuni, hawakuweza kuvumilia ispokuwa kutojitokeza na kuamua kujitumbukiza rasmi kwenye dimbwi la uhasama."
-
Iran yaidungua ndege isiyo na rubani ya Israel MQ-9 iliyotengenezwa na Marekani
Naibu afisa wa kisiasa na usalama wa gavana wa Ilam ametangaza kuwa, ndege ya kisasa isiyo na rubani ya utawala wa Kizayuni ilidunguliwa na mfumo shirikishi wa ulinzi katika anga ya mkoa huo.
-
Picha za Ismail Fikri, jasusi wa Mossad aliyenyongwa asubuhi ya leo
Alikubali kuwa kibaraka na jasusi wa Mossad kwa malipo ya vipande vya karatasi za Dola ili aliuze na kuliumiza Taifa, na leo hii amepata haki yake ya kikatiba anayoistahili. Na huu ndio mwisho wa watu waovu ulivyo.
-
Uchokozi wa Israel: Rais wa Iran aitaka Iraq kulinda mipaka yake, anga
Picha ya mchanganyiko inawaonyesha Rais wa Iran Masoud Pezeshkian (Kulia) na Waziri Mkuu wa Iraq Muhammad Shayya al-Sudani.
-
Dkt. Pezeshkian katika Mkutano wa leo wa Baraza la Mawaziri:
Marekani bila shaka yoyote ina mchango wa moja kwa moja katika hujuma za hivi karibuni za utawala wa Kizayuni | Majibu yatakuwa ya maamuzi makali
Rais wa Iran amekosoa uungaji mkono wa Marekani na baadhi ya nchi za Magharibi kwa vitendo vya jinai vya utawala wa Kizayuni na kusema: "Kama vile vikosi vyetu vya kijeshi hadi hivi sasa vimemendelea kutoa majibu yanayofaa na yenye nguvu, iwapo hatua za kiuadui za utawala wa Kizayuni zitaendelea, basi majibu yatakuwa ya maamuzi na makali zaidi."
-
Safari za ndege zimehairishwa hadi ilani nyingine/Shule, Misikiti, na njia za chini ya ardhi zitafunguliwa kwa umma saa 24 kwa siku kuanzia leo usiku
Msemaji wa Serikali amesema: "Hakuna shida katika kusafirisha bidhaa, dawa, chakula, na mahitaji ya watu, haswa mafuta."
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu: Utawala wa Kizayuni Lazima Usubiri Adhabu Kali – Mkono wa Nguvu wa Jeshi la Iran Hautauacha Salama
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu: Mkono wa Nguvu wa Jeshi la Kiislamu Hautauacha Utawala wa Kizayuni - Kwa idhini ya Mwenyezi Mungu
-
Mashambulizi ya kikatili ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Gaza yaendelea wakati Waislamu wakiadhimisha Eid al-Adha huku ikinukia harufu ya damu
Sambamba na maadhimisho ya Sikukuu ya Eid al-Adha, Ukanda wa Gaza kwa mara nyingine umeshuhudia mashambulizi makali na ya umwagaji damu kutoka kwa jeshi la utawala wa Kizayuni.
-
Kuuawa kwa "Mohammad Ali Jamoul", Kamanda wa Kikosi cha Makombora cha Hezbullah katika Shambulio la Ndege Isiyo na Rubani la Utawala wa Kizayuni
Mohammad Ali Jamoul, Kamanda wa kikosi cha Makombora cha Harakati ya Hizbullah, ameuawa Kigaidi kufuatia shambulio la ndege isiyo na rubani (drone) lililofanywa na utawala haram wa Kizayuni (Israel). Shambulio hili linaonekana kuwa sehemu ya mfululizo wa mashambulizi ya Israel dhidi ya viongozi na miundombinu ya Hizbullah.
-
"Vita vya Gaza vimesababisha Wapalestina 1,500 kupoteza uwezo wa kuona"
Wizara ya Afya ya Palestina imetangaza leo Jumapili kuwa, kutokana na vita na kuzidi kwa mzingiro unaoendelea wa jeshi la utawala wa Kizayuni dhidi ya Gaza, Wapalestina 1,500 wamepoteza uwezo wao wa kuona.
-
Wall Street Journal: Wanajeshi wa Kizayuni wateka nyara raia wa Syria!
Ripoti za vyombo vya habari zinarejelea mienendo ya jeshi la Kizayuni Kusini mwa Syria na utekaji nyara raia wa nchi hii.
-
Mashahidi 38 wa Kipalestina; Uovu mpya wa utawala wa Kizayuni huko Gaza
Katika muendelezo wa mashambulizi katika Ukanda wa Ghaza, utawala wa Kizayuni umeua idadi nyingine ya Wapalestina.