Kizayuni
-
Pezeshkian: Shambulio kwenye taasisi za nyuklia ni kielelezo tosha kuwa Marekani ni msababishaji mkuu wa hatua za uhasama za Kizayuni dhidi ya Iran
Jibu kali la Iran lilikuwa ujumbe wa wazi kwa wahalifu wa Kizayuni. Marekani, baada ya majibu makali na ya kuadabisha kutoka kwa vikosi vya ulinzi vya nchi yetu, na kuona udhaifu na ulegeaji wa wazi wa utawala wa Kizayuni, hawakuweza kuvumilia ispokuwa kutojitokeza na kuamua kujitumbukiza rasmi kwenye dimbwi la uhasama."
-
Iran yaidungua ndege isiyo na rubani ya Israel MQ-9 iliyotengenezwa na Marekani
Naibu afisa wa kisiasa na usalama wa gavana wa Ilam ametangaza kuwa, ndege ya kisasa isiyo na rubani ya utawala wa Kizayuni ilidunguliwa na mfumo shirikishi wa ulinzi katika anga ya mkoa huo.
-
Picha za Ismail Fikri, jasusi wa Mossad aliyenyongwa asubuhi ya leo
Alikubali kuwa kibaraka na jasusi wa Mossad kwa malipo ya vipande vya karatasi za Dola ili aliuze na kuliumiza Taifa, na leo hii amepata haki yake ya kikatiba anayoistahili. Na huu ndio mwisho wa watu waovu ulivyo.
-
Uchokozi wa Israel: Rais wa Iran aitaka Iraq kulinda mipaka yake, anga
Picha ya mchanganyiko inawaonyesha Rais wa Iran Masoud Pezeshkian (Kulia) na Waziri Mkuu wa Iraq Muhammad Shayya al-Sudani.
-
Dkt. Pezeshkian katika Mkutano wa leo wa Baraza la Mawaziri:
Marekani bila shaka yoyote ina mchango wa moja kwa moja katika hujuma za hivi karibuni za utawala wa Kizayuni | Majibu yatakuwa ya maamuzi makali
Rais wa Iran amekosoa uungaji mkono wa Marekani na baadhi ya nchi za Magharibi kwa vitendo vya jinai vya utawala wa Kizayuni na kusema: "Kama vile vikosi vyetu vya kijeshi hadi hivi sasa vimemendelea kutoa majibu yanayofaa na yenye nguvu, iwapo hatua za kiuadui za utawala wa Kizayuni zitaendelea, basi majibu yatakuwa ya maamuzi na makali zaidi."
-
Safari za ndege zimehairishwa hadi ilani nyingine/Shule, Misikiti, na njia za chini ya ardhi zitafunguliwa kwa umma saa 24 kwa siku kuanzia leo usiku
Msemaji wa Serikali amesema: "Hakuna shida katika kusafirisha bidhaa, dawa, chakula, na mahitaji ya watu, haswa mafuta."
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu: Utawala wa Kizayuni Lazima Usubiri Adhabu Kali – Mkono wa Nguvu wa Jeshi la Iran Hautauacha Salama
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu: Mkono wa Nguvu wa Jeshi la Kiislamu Hautauacha Utawala wa Kizayuni - Kwa idhini ya Mwenyezi Mungu
-
Mashambulizi ya kikatili ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Gaza yaendelea wakati Waislamu wakiadhimisha Eid al-Adha huku ikinukia harufu ya damu
Sambamba na maadhimisho ya Sikukuu ya Eid al-Adha, Ukanda wa Gaza kwa mara nyingine umeshuhudia mashambulizi makali na ya umwagaji damu kutoka kwa jeshi la utawala wa Kizayuni.
-
Kuuawa kwa "Mohammad Ali Jamoul", Kamanda wa Kikosi cha Makombora cha Hezbullah katika Shambulio la Ndege Isiyo na Rubani la Utawala wa Kizayuni
Mohammad Ali Jamoul, Kamanda wa kikosi cha Makombora cha Harakati ya Hizbullah, ameuawa Kigaidi kufuatia shambulio la ndege isiyo na rubani (drone) lililofanywa na utawala haram wa Kizayuni (Israel). Shambulio hili linaonekana kuwa sehemu ya mfululizo wa mashambulizi ya Israel dhidi ya viongozi na miundombinu ya Hizbullah.
-
"Vita vya Gaza vimesababisha Wapalestina 1,500 kupoteza uwezo wa kuona"
Wizara ya Afya ya Palestina imetangaza leo Jumapili kuwa, kutokana na vita na kuzidi kwa mzingiro unaoendelea wa jeshi la utawala wa Kizayuni dhidi ya Gaza, Wapalestina 1,500 wamepoteza uwezo wao wa kuona.
-
Wall Street Journal: Wanajeshi wa Kizayuni wateka nyara raia wa Syria!
Ripoti za vyombo vya habari zinarejelea mienendo ya jeshi la Kizayuni Kusini mwa Syria na utekaji nyara raia wa nchi hii.
-
Mashahidi 38 wa Kipalestina; Uovu mpya wa utawala wa Kizayuni huko Gaza
Katika muendelezo wa mashambulizi katika Ukanda wa Ghaza, utawala wa Kizayuni umeua idadi nyingine ya Wapalestina.