Utawala
-
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Minnesota Afichua “Mkakati wa Kipuuzi” wa Marekani dhidi ya Iran
Anakanusha madai ya Tom Barrack kuhusu kuachwa kwa sera ya kuuangusha utawala wa Iran.
-
Sheikh Naim Qassem:
Lebanon inapaswa kukabiliana kikamilifu na uvamizi wa kibeberu wa utawala wa Kizayuni | Mashahidi walijitolea kwa roho, mali na kila walichokuwa nacho
Lebanon inakabiliwa na uvamizi hatari wa Kizayuni: Akirejea mashambulizi ya mara kwa mara ya Israel kusini mwa Lebanon, alisema: “Lebanon inakabiliwa na uvamizi wa hatari na wa kupanua mipaka wa utawala wa Kizayuni. Lazima tukabiliane nao kwa kila njia na mbinu. Adui huyu haheshimu makubaliano yoyote.”
-
Umoja wa Waislamu na kuunga mkono Iran kama mstari wa mbele wa kulinda Quds ni jambo la lazima
Mwanafikra mashuhuri wa Algeria amesisitiza kuwa umoja wa Waislamu, kuacha misimamo ya chuki za kimadhehebu na kuunga mkono Iran kama ngome ya mbele ya kulinda Quds (Msikiti wa Al-Aqsa) na Umma wa Kiislamu ni jambo la lazima, na kwamba mataifa pamoja na wanazuoni wa Kiislamu wanapaswa kusimama bega kwa bega na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika nyanja za vyombo vya habari, siasa, utamaduni na usalama.
-
Trump: Kesi zote za uhamiaji zisitishwe na “watu wabaya” wafukuzwe
Kufuatia shambulio la mhamiaji wa Afghanistan dhidi ya wanachama wa Walinzi wa Kitaifa wa Marekani na kuzidi kwa hali mbaya ya hewa dhidi ya wahamiaji, Donald Trump alishambulia utawala wa Biden na kusema kwamba "watu wote wabaya" wanapaswa kufukuzwa mara moja kutoka Marekani na kwamba mapitio ya kesi za wahamiaji wote wa Afghanistan yatasitishwa.
-
Mgogoro wa Wahindu katika Msikiti baada ya Imam Kukataa Kusema Kauli ya Kulazimishwa
Katika jimbo la Arunachal Pradesh, India, makundi ya Wahindutva yamewalazimisha imam na wanachama wa msikiti mmoja kusema kauli mbiu ya “Bharat Mata Ki Jai / Iendelee kuishi Mama wa Taifa (India)” na kuwatishia kuharibu msikiti huo, jambo ambalo limezua wimbi jipya la wasiwasi kuhusu shinikizo lililopangwa kwa makini dhidi ya Waislamu katika kaskazini-mashariki mwa India.
-
Kifo cha Kishahidi Klcha Kijana Msyria Usiku wa Harusi Yake Akiwa Anapambana na Uvamizi wa Israel katika Mji wa Bayt Jinn
Kijana mmoja Msyria ameuliwa shahid usiku wa harusi yake wakati akipambana na uvamizi wa jeshi la Israel katika mji wa Bayt Jinn, ulioko katika vitongoji vya kusini mwa Damascus.
-
Hali Zisizo za Kibinadamu Gaza: Janga Linalozidi Kuwa Kubwa na Uhitaji wa Haraka wa Msaada wa Kimataifa / Mauaji ya Kimbari Yanaendelea
Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu Palestina (Hamas) amesema kuwa mazingira haya mabaya ni matokeo ya kuendelea kwa mzingiro, kuzuia ujenzi upya, uharibifu wa miundombinu na hali mbaya ya hewa. Ameitaka Jumuiya ya Kimataifa, ikiwemo Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, OIC na Umoja wa Mataifa, kuchukua hatua za haraka za kutoa makazi na misaada ya kibinadamu.
-
Mapinduzi Guinea-Bissau: Rais Umaro Sissoco Embaló Apinduliwa na kukamatwa, Jeshi Lachukua Madaraka
Baada ya sintofahamu hiyo, Brigedia Jenerali Denis N’Canha, Mkuu wa Brigedi ya Kijeshi mjini Bissau, alitokea katika televisheni ya taifa na kutangaza rasmi kwamba jeshi limechukua madaraka ya nchi.
-
Mwenyekiti wa Chama cha Al-Wafa nchini Lebanon katika mahojiano na ABNA:
Jamii ya kimataifa, haki za binadamu na dhana kama hizi zimelemazwa / “Lugha ya nguvu” ndiyo lugha pekee ambayo Israeli huielewa
Dkt. Alwan alisema: Serikali ya Lebanon, kutokana na mipaka ya diplomasia na kutokuwepo kwa uimarishaji wa kweli wa jeshi (kwa sababu ya vizuizi vya Marekani), kimsingi haiwezi kuilinda nchi kijeshi.
-
Mazishi ya Kamanda Mwandamizi wa Muqawama wa Lebanon yamefanyika katika eneo la Dhahiya;
"Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Uongozi wa Hizbullah: Kwa kuuawa kwa maagenti wetu, azma yetu inazidi kuwa imara kuliko hapo kabla”
Sheikh Ali Damuush amesema: “Kulegeza msimamo au kukubali mashinikizo na maagizo ya Marekani na Israel hakutaleta matokeo yoyote. Sisi hatutasalimu amri; hata ikiwa maadui wataweka juhudi zao zote kutuangamiza, kamwe hatutaacha njia ya muqawama (mapambano) wala kujitoa katika kuilinda nchi yetu.”
-
Mwigizaji wa Australia Aukosoa Vikali Utawala wa Kizayuni kwa Kutojali Maisha ya Wapalestina
Amesema: “kila siku nashuhudia dharau na kutojali maisha ya Wapalestina kwa upande wa Waisraeli,” akieleza kuwa mwenendo huo ni “wa aibu” na kwamba wale wanaotekeleza “matendo haya mabaya” wanairudisha nyuma ubinadamu kila siku.
-
Jeshi la Israel Ladai Kumuua Kigaidi Kamanda Mwandamizi wa Hezbollah katika Mji wa Beirut
Kwa mujibu wa kituo cha habari cha Aljazeera, jeshi la Israel limedai kuwa limemuua mmoja wa makamanda wakuu wa Hezbollah katika mji wa Beirut.
-
Hizbullah: Ulegevu wa serikali ya Lebanon unaongeza ukatili wa Wazayuni
Hizbullah imesisitiza katika taarifa yake kwamba serikali ya Lebanon inapaswa kufahamu kuwa kila aina ya ulegevu, udhaifu au kujisalimisha mbele ya utawala wa Kizayuni kutawafanya waongeze ukatili na tamaa zao za kupindukia.
-
Dkt. Khamehyar: Uturuki ya baadae haitakwenda kuelekea Uislamu wa kisiasa wa kiwango cha juu, wala haitarudi kwenye msimamo mkali wa kisekula
Mshauri wa masuala ya kimataifa wa Chuo Kikuu cha Dini na Madhehebu: Kudumu kwa chama cha AKP kwa kipindi cha miaka ishirini iliyopita kumebadilisha kabisa sura ya Uislamu wa kisiasa nchini Uturuki. Ushindani kati ya Waislamu wa kisiasa na wasekula utaendelea.
-
Safari ya kuelekea Ikulu ya White House: Kuanzia Mikataba ya Kijeshi hadi Mchakato wa Kuweka Uhusiano wa Kawaida na Utawala wa Kizayuni
Kabla ya safari ya Mrithi wa Kiti cha Enzi cha Ufalme wa Saudi, mazungumzo kati ya Saudia na Marekani, ambayo yanahusisha mkataba wa ulinzi na uuzaji wa ndege za kivita za F-35, yamesababisha wasiwasi kuhusu kupuuzia haki za Wapalestina. Wataalamu wengi wanaona safari hii kama maandalizi ya kuanza mchakato wa kuweka uhusiano wa kawaida kati ya Saudia na utawala wa Kizayuni.
-
Lebanon Yakatishwa Tamaa na Msaada wa Kimataifa Dhidi ya Uvamizi wa Israel / Shinikizo Linaloongezeka la Kuilazimisha Hizbullah Kuweka Silaha Chini
Aoun: “Tumeziomba nchi rafiki za Lebanon zisaidie kuishinikiza Israel kuheshimu makubaliano ya kusitisha mapigano, lakini hadi sasa hakuna matokeo chanya yaliyopatikana.”
-
Hamdan Sabbahi: Operesheni “Tofaan Al-Aqsa” imevunja njia ya kawaida ya uhusiano na Israeli
Hamdan Sabbahi, katika hotuba yake Beirut, akionyesha athari za Operesheni “Kimbunga cha Al-Aqsa”, alisisitiza juu ya kushindwa kwa miradi ya kutaka kugawanya ardhi na kukawaidaisha uhusiano na utawala wa Kizayuni, na pia alibainisha kuwa utetezi wa silaha za upinzani na nafasi ya vyombo vya habari itakuwa muhimu sana katika vita vya siku zijazo.
-
Jukumu la Marajii wa Kidini wa Kishia katika;
"Kulinda Umoja wa Kitaifa na Utambulisho wa Iran / Sehemu ya Saba: Kisa cha Kuokolewa kwa Lugha ya Taifa ya Iran na Ukombozi wa Azarbaijan"
Kulinda umoja wa ardhi na kuzingatia utambulisho wa kidini ni miongoni mwa masuala yaliyokuwa yakipewa umuhimu mkubwa na viongozi wa kidini katika ardhi za Kiislamu. Kiasi kwamba kila aina ya uvamizi au shambulio dhidi ya ardhi za Kiislamu ilikabiliwa na mwitikio mkali kutoka kwao. Uvamiuzi wa Azarbaijan wakati wa Vita vya Pili vya Dunia na juhudi za kuutenga mkoa huo kutoka Iran ni miongoni mwa mambo yaliyodhihirisha tena ushawishi wa uongozi wa kidini katika kulinda umoja wa ardhi ya nchi. Aidha, kulinda utambulisho wa kitaifa wa Kiairani pia lilikuwa ni mojawapo ya masuala yaliyopatiwa umuhimu maalum na viongozi (Marajii) wa kidini katika kipindi cha utawala wa Pahlavi.
-
Ukosoaji wa Mwakilishi wa Hezbollah:
Ukimya wa Kamati ya Usimamizi wa Mkataba wa Usitishaji Vita Kuhusu Uhalifu Mpya wa Utawala wa Kizayuni
Azaldin: Adui tangu mwanzo haikuwa imezingatia kuacha mashambulizi, lakini Kamati ya Usimamizi wa Mkataba wa Usitishaji Vita hadi sasa haijachukua msimamo wowote dhidi ya adui wa Kizayuni.
-
Utawala wa Kizayuni umepokea mabaki ya mfungwa wa mwisho mwenye uraia wa Marekani na Israel kutoka Gaza
Utawala wa Kizayuni umetangaza kuwa umepokea mabaki ya mwili wa Itay Chen, mateka wa mwisho mwenye uraia wa pande mbili -Marekani na Israel- aliyekuwa akishikiliwa katika Ukanda wa Gaza.
-
Hatari ya kusambaratika Kwa Mfumo wa Afya wa Syria Chini ya Utawala wa al-Jolani
Mamilioni ya raia wa Syria wanateseka chini ya utawala wa al-Jolani kutokana na ukosefu wa dawa na huduma za msingi za afya.
-
Imam Khamenei: Uhasama kati ya Iran na Marekani ni wa asili, ni mgongano wa maslahi kati ya mitindo miwili
Hivi karibuni kabla ya tarehe 4 Novemba, inayojulikana kama “Siku ya Wanafunzi na Siku ya Kitaifa ya Kupambana na Ukorofi wa Kidunia”, Imam Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, alikutana na wanafunzi wa rika zote, wakiwemo wanafunzi wa vyuo vikuu, pamoja na familia za mashahidi wa Vita vya Siku 12 Vilivyowekezwa"
-
Sayyid al-Houthi: Yemen ni nchi ya kwanza katika ulimwengu wa Kiarabu kutengeneza silaha zake za kijeshi
""Dunia sasa imeutambua utawala wa Kizayuni kuwa ni utawala wa kinyama lakini ulioshindwa"
"Hatuwezi kukaa kimya wakati wowote, na kwa namna yoyote hatutafanya biashara au kutoa punguzo juu ya msimamo wetu wa kimsingi wa kiimani, wa jihadi na wa Koran. Taifa letu linatenda kwa mujibu wa maagizo ya Mungu."
-
Netanyahu: Uwepo wa Uturuki Gaza ni mstari mwekundu kwa Israel
Vyombo vya habari vya Israeli vimereport kuwa Binyamin Netanyahu amekataa kabisa hatua yoyote ya Uturuki kushiriki katika Ardhi ya Ukanda wa Gaza.
-
Hamas: Hatuna nia ya kuendesha Gaza baada ya vita
Harakati ya Upinzani ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema kuwa haina nia ya kushiriki katika mipango ya utawala wa ukanda wa Gaza baada ya kuisha kwa mashambulizi ya utawala wa kikoloni, na imeitaka kuundwa kwa kamati ya usimamizi kwa makubaliano ya makundi yote ya Kipalestina.
-
Rais wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan:
Uislamu ni mtangulizi wa haki sawa, uadilifu wa kiuchumi na utawala wa haki
Rais wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan amesema kuwa: Uislamu ni mfumo kamili wa maisha ambao ni mtangulizi wa haki sawa, uadilifu wa kiuchumi na utawala wa haki, na mfano bora zaidi wa hayo ni mfumo wa haki wa Imam Ali (a.s) ambao utabaki kuwa kielelezo cha uadilifu na usawa daima.
-
Chuo cha Dini cha Qom kinapaswa kutumia hazina ya Ki-Mungu kwa ajili ya kuunda “Utamaduni mpya wa Kiungu”
Hujjatul-Islam wal-Muslimin Abbasi, kabla ya kuanza kwa mwaka mpya wa masomo, alitaja utamaduni wa kifaalufu wa Magharibi kama sababu kuu ya ukoloni mkubwa wa nchi za dunia, hasa katika Afrika, na kusisitiza kuwa matokeo mabaya ya utawala huu ni ukomavu wa kitamaduni, ambapo utamaduni wa kiungu unalengwa kwa kutumia zana kama vyombo vya habari.
-
Msemaji wa Serikali ya Iran: Wale waliotekeleza uhalifu huko Ghaza wanapaswa kufikishwa mbele ya Mahakama
Msemaji wa serikali, huku akionyesha unga mkono kwa makubaliano ya kusitisha mapigano huko Ghaza, alisisitiza kuwa: kusitishwa kwa uhalifu wa utawala wa Israel huko Ghaza si mwisho wa safari, na wale waliotekeleza na waliyoamuru uhalifu huu wanapaswa kufikishwa mbele ya mahakama za kimataifa.
-
Kuanza kwa kuondoka kwa majeshi ya wavamizi (wa kizayuni) kutoka Ghaza
Baadhi ya maeneo ya Ukanda wa Ghaza yanashuhudia kuondoka kwa hatua kwa hatua kwa majeshi ya utawala wa Kizayuni na kuanza kwa kurejea kwa wakimbizi.
-
Ripoti ya New York Times inaonyesha kupungua kwa kuelewa na kuamini kwa jamii ya Marekani kuhusiana na Israel
Utafiti wa maoni mpya nchini Marekani unaonyesha kuwa msaada wa Wamarekani kwa utawala wa Kizayuni umepungua.