jumanne
-
"Abdulaziz bin Abdillah Al-Sheikh", Mufti Mkuu wa Saudi Arabia, Amefariki Dunia
Abdulaziz bin Abdullah Al-Sheikh, Mufti Mkuu wa Saudi Arabia, Amefariki Dunia leo Jumanne.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani atazuru Qatar kesho
Gazeti la Washington Post, likinukuu maafisa wawili wa serikali ya eneo hilo, limeripoti kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani anatarajiwa kufanya ziara nchini Qatar kesho, siku ya Jumanne.
-
Jenerali Mousavi: Iran iko tayari kushirikiana na Pakistan kukomesha ugaidi
Mkuu wa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza utayari wa nchi yake kwa ajili ya kukomesha ugaidi na kuimarisha usalama wa mipaka ya Iran na Pakistan.
-
Masomo kwa Wasichana Hayana Nafasi katika Mkakati wa Miaka 5 wa Taliban
Msemaji wa Taliban, alipoulizwa na mmoja wa waandishi wa habari kuhusu nafasi ya elimu na masomo ya wasichana katika mkakati huu wa miaka mitano, alisema kuwa suala hilo ni jambo la “kijuujuu” mbele ya mada kuu ya kikao hicho, na akakataa kulijibu.
-
Madrasa ya Wasichana ya Hazrat Zainab (sa) Kigamboni - Yaadhimisha Arubaini ya Imam Hussein (a.s) kwa Majlisi Maalum ya Maombolezo
Kikao hicho kilipambwa kwa kisomo cha Qur’an Tukufu na mashairi ya maombolezo (marsiya), ambapo walimu na wanafunzi walishiriki kwa unyenyekevu na hisia za heshima kwa mashahidi wa Karbala.
-
Chuo Kikuu cha Campinas, Brazil, Chataka Kukomeshwa kwa “Mauaji ya Kimbari Gaza”
Baraza Kuu la Chuo Kikuu cha Jimbo la Campinas (Consu – Unicamp) katika kikao chake cha Jumanne, Agosti 5, 2025, limepitisha azimio linalotaka kukomeshwa kwa kile walichokiita “mauaji ya kimbari Gaza” na kulitaka Serikali ya Brazil kusitisha uhusiano wake wa kibiashara na kijeshi na Israel.
-
Tangazo kutoka kwa Baraza la Uratibu wa Propaganda za Kiislamu:
Marasimu ya Mazishi ya Miili Mitukufu ya Mashahidi wa Walinzi na Watetezi wa ngazi za juu wa Iran ya Kiislamu itafanyika
Baraza la Uratibu wa Propaganda za Kiislamu limetangaza katika taarifa yake kwamba, hafla ya mazishi ya miili mitukufu ya mashahidi wa ngazi za juu ambao ni walinzi na watetezi wa Iran ya Kiislamu itafanyika Siku ya Jumanne, tarehe 17 Juni, 2025, saa 8:00 Asubuhi katika Medani ya Mapinduzi ya Kiislamu ya Tehran.
-
Imam Khamenei afanya ziara muhimu ya kuonesha mafanikio ya sekta binafsi mjini Tehran
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei siku ya Jumanne amefanya ziara katika hafla iliyofanyika ili kuonesha mafanikio ya sekta binafsi.