kikosi
-
Umoja wa Ulaya wakaribia kumuadhibu “Abdulrahim Dagalo” Naibu Kamanda wa Kikosi cha Mwitikio wa Haraka Sudan
Umoja wa Ulaya unakusudia kumuwekea vikwazo Abdulrahim Dagalo, Naibu Kamanda wa Kikosi cha Mwitikio wa Haraka (RSF) nchini Sudan, kwa tuhuma za ukiukaji wa haki za binadamu.
-
Afisa wa Uhusiano wa Umma wa Kikosi cha Anga cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC):
“Utamaduni wa Kujitolea na Uadilifu ndiyo Mzizi wa Nguvu ya Kikosi cha Anga cha IRGC"
Makombora Sheikh Naderi alisema kuwa kwa mujibu wa maelekezo ya uongozi wa juu, kipindi hiki kimepewa jina la *“Wiki ya Ujasiri wa Makombora”* kwa lengo la kuenzi mashahidi na kuonyesha mafanikio ya kikosi hicho kwa wananchi.
-
Jeshi la Israel ladaiwa kumuua “Muhammad Akram Arabiyeh” mwanachama wa Kikosi cha Rizwan cha Hezbollah
Kwa mujibu wa vyanzo vya Kizayuni, katika kuendeleza uvamizi wake ndani ya ardhi ya Lebanon na mashambulizi dhidi ya wapiganaji wa muqawama, mwanachama wa Kikosi Maalumu cha Ridhwan cha Hezbollah ameuawa shahidi katika shambulizi la anga lililofanywa na Israel katika eneo la al-Qulay‘a, kusini mwa Lebanon.
-
Ombi la Kikosi cha Uthabiti na Uimara cha Muqawama kwa Serikali za Dunia: “Tuunge Mkono”
Waandaji wa Kikosi cha Uthabiti na Uimara cha Muqawama wametoa wito kwa Serikali za Dunia kusaidia harakati za meli za kikosi hiki kuelekea Ukanda wa Gaza.
-
Jeshi la Lebanon limepokea silaha nzito kutoka kwenye kambi za Wakpalestina
Jeshi la Lebanon limeanza mchakato wa kupokea silaha kutoka kwenye Kambi za Wapalestina katika Mji wa Sur Kusini mwa nchi hiyo.
-
Kuzuiwa kwa njama ya ISIS ya kulenga Mazuwwari wa Arubaini / Magaidi 22 wakamatwa
Gavana wa Karbala ametangaza kufanikiwa kuzuia njama ya kigaidi iliyolenga kushambulia mahujaji wa Arubaini wa Imam Hussein (a.s).
-
Kuwekwa kwa Vikosi Maalum vya Hashd al-Shaabi Kwenye Njia ya Najaf Hadi Karbala
Maafisa wa Hashd al-Shaabi nchini Iraq wameanza kupelekwa rasmi katika njia ya kutoka Najaf kuelekea Karbala kwa ajili ya kulinda usalama wa maelfu ya waumini wanaotembea kwa miguu kwenda kumzuru Imamu Hussein (a.s). Hatua hii ni sehemu ya mpango wa kusimamia matembezi ya mamilioni ya waumini, unaolenga kuimarisha amani, utulivu, na usalama wa mahujaji wa Arbaeen.
-
Brigedia Jenerali Sayyid Majid Mousavi Ateuliwa Kuongoza Kikosi cha Anga cha IRGC
Katika amri rasmi ya uteuzi, Ayatullah Khamenei amesisitiza umuhimu wa: Kuimarisha uwezo wa makombora na ndege zisizo na rubani