mahojiano
-
Mahojiano na Mwanaharakati Mnyemeni na Shirika la Habari la ABNA;
Kuhusu Utambulisho wa Kiyemen na Sifa za Sayyid al-Houthi hadi kwenye “Bendera ya Yamen” / Kizazi kijacho nchini Yemen kitakuwa kizazi imara
Sisi na Iran ni Mwili Mmoja Uhusiano wetu na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni wa kindugu uliyojengwa juu ya msingi wa Uislamu, si madhehebu. Tunafuata aya tukufu isemayo: «إِنَّمَا الْمُؤْمِنُونَ إِخْوَةٌ» - “Hakika waumini ni ndugu.”
-
Gavana wa Darfur: Mashambulizi ya vikosi vya Haraka vya Majibu dhidi ya Al-Fashir ni mfano wa mauaji ya kimbari
Gavana wa eneo la Darfur, magharibi mwa Sudan, ameelezea mashambulizi ya hivi karibuni ya vikosi vya Haraka vya Majibu dhidi ya mji wa Al-Fashir, makao makuu ya jimbo la Darfur Kaskazini, kuwa “yanakaribia kiwango cha mauaji ya kimbari.”
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa zamani wa Lebanon katika mahojiano na ABNA:
"Baada ya kuondolewa kwa silaha za Hizbullah, hakuna dhamana ya kulinda Lebanon dhidi ya adui msaliti"
Adnan Mansour: Je, viongozi rasmi wa Lebanon wanaweza kusimama dhidi ya Marekani na kulinda maslahi ya Lebanon na hatari za kuondolewa kwa silaha? Nani atakayebaki Lebanon kupambana na uvamizi wa Israel? Je, jeshi la Lebanon linaweza kukabiliana na uvamizi peke yake? Kamwe.
-
Mmiliki wa Mawkibu Muiraq Katika Mahojiano na ABNA:
Arubaini ni fursa yenye thamani kubwa ya kubainisha uhalisia wa Jamhuri ya Kiislamu na tabia ya kinyama ya Israel
Mmiliki wa Mawkibu kutoka Iraq, akisisitiza umuhimu wa Jihadi ya Kuelimisha katika siku za Arubaini ya Imam Hussein (a.s), amesema kuwa siku hizi ni fursa muhimu ya kuwapa uelewa mataifa mbalimbali.
-
Wazayuni wanajutia vita na Iran | Nguvu ya Iran ya Kijeshi sio rahisi kuikabili
Sasa Israel imebakia kujutia na kujilaumu kuingia vitani na Iran na kukiri kuwa Nguvu ya Iran sio rahisi kuikabili. Hii ni baada ya kupata Mashambulizi makali zaidi ya Makombora ya Iran yenye uharibifu mkubwa na milipuko ya kutosha katika kila kona ya Utawala Ghasibu wa Israel.