masharti
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Taliban: Mazungumzo na Pakistan Yameshindikana kwa Sababu ya Masharti Yasiyo na Mantiki ya Islamabad
Muttaqi alionya kuwa iwapo Pakistan itajaribu kuivamia Afghanistan, basi “dhima ya matokeo yote itakuwa juu ya mvamizi.”
-
Masharti na Namna ya Kuswali Swala ya Ijumaa (Swalat Al-Jumu‘ah)
Swala ya Ijumaa ni miongoni mwa ibada zinazotekelezwa kwa jamaah (pamoja na kundi la waumini). Swala hii ina khutba mbili, ambazo huanza kwa kumsifu na kumtukuza Mwenyezi Mungu. Katika khutba hizo, Imamu wa Ijumaa anatakiwa kuwasisitiza watu juu ya taqwa (kumcha Mwenyezi Mungu). Baada ya khutba mbili, swala ya rakaa mbili huswaliwa kama Swala ya Alfajiri, ila kuna tofauti moja muhimu: Katika Swala ya Ijumaa kuna qunut mbili za sunna — moja katika rakaa ya kwanza kabla ya rukuu, na nyingine katika rakaa ya pili baada ya rukuu. Katika kila qunut, mtu anaweza kusoma dua yoyote miongoni mwa zile zinazosomeka katika qunut za swala nyingine, kwa kumwomba Mwenyezi Mungu rehema, msamaha na baraka.
-
Katika mazungumzo ya simu kati ya Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Pakistan:
Araghchi alisema: “Azimio namba 2231 la Baraza la Usalama linapaswa kuchukuliwa kuwa limekamilika na kuhitimishwa kwa wakati uliopangwa.”
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, huku akishukuru msimamo wa uwajibikaji wa Pakistan katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa kupinga matumizi mabaya ya nchi tatu za Ulaya, alisisitiza kwamba Azimio namba 2231 lazima, kwa mujibu wa masharti yake na maandiko ya makubaliano ya nyuklia (JCPOA), lichukuliwe kuwa limekamilika katika muda uliopangwa, yaani tarehe 26 Mehr 1404 (18 Oktoba 2025).
-
Ushinikizi wa Taliban kubadilisha Shule za Kidini kuwa njia pekee ya Elimu kwa Wasichana
Mama mmoja mkoani Nimruz alisema baada ya Mullah kumtaka, alilazimika kuwatoa mabinti zake shuleni na kuwapanga kwenye madarasa ya dini, lakini msaada alioahidiwa haukuwahi kufika. Mama mwingine alisema alipewa masharti: “Ama upeleke binti zako kwenye madarasa ya dini, au hupati chochote.”
-
Jeshi la Israel lawageukia Wayahudi wa Kigeni ili kutatua uhaba wa wanajeshi
Kwa mujibu wa ripoti hiyo, jeshi la Israel linapanga kuwalenga zaidi Wayahudi vijana wenye umri wa miaka 18 hadi 25 kutoka Marekani na Ufaransa, kuwahimiza wahamie katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na kujiandikisha jeshini kwa kipindi cha miaka kadhaa.
-
Makala Maalum | Amri ya Julani kwa vikosi vyake Kuondoka kutoka Suwayda Ilikuwa Inatarajiwa
Mzozo wa Suwayda: Hatari ya Mgawanyiko Mkubwa Syria Kati ya Makundi Yenye Uhusiano na Israel
-
Hasira ya Lieberman kwa kushindwa kwa Israel kufikia malengo yake maovu
Hili la kusitisha mapigano ni la aibu, si mpango wa makombora wa Iran umeharibiwa wala mpango wao wa nyuklia, huu ni usitishaji mapigano usio na masharti, Iran itarutubisha Uranium (ya Nyuklia) tena.