masharti
-
Katika mazungumzo ya simu kati ya Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Pakistan:
Araghchi alisema: “Azimio namba 2231 la Baraza la Usalama linapaswa kuchukuliwa kuwa limekamilika na kuhitimishwa kwa wakati uliopangwa.”
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, huku akishukuru msimamo wa uwajibikaji wa Pakistan katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa kupinga matumizi mabaya ya nchi tatu za Ulaya, alisisitiza kwamba Azimio namba 2231 lazima, kwa mujibu wa masharti yake na maandiko ya makubaliano ya nyuklia (JCPOA), lichukuliwe kuwa limekamilika katika muda uliopangwa, yaani tarehe 26 Mehr 1404 (18 Oktoba 2025).
-
Ushinikizi wa Taliban kubadilisha Shule za Kidini kuwa njia pekee ya Elimu kwa Wasichana
Mama mmoja mkoani Nimruz alisema baada ya Mullah kumtaka, alilazimika kuwatoa mabinti zake shuleni na kuwapanga kwenye madarasa ya dini, lakini msaada alioahidiwa haukuwahi kufika. Mama mwingine alisema alipewa masharti: “Ama upeleke binti zako kwenye madarasa ya dini, au hupati chochote.”
-
Jeshi la Israel lawageukia Wayahudi wa Kigeni ili kutatua uhaba wa wanajeshi
Kwa mujibu wa ripoti hiyo, jeshi la Israel linapanga kuwalenga zaidi Wayahudi vijana wenye umri wa miaka 18 hadi 25 kutoka Marekani na Ufaransa, kuwahimiza wahamie katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na kujiandikisha jeshini kwa kipindi cha miaka kadhaa.
-
Makala Maalum | Amri ya Julani kwa vikosi vyake Kuondoka kutoka Suwayda Ilikuwa Inatarajiwa
Mzozo wa Suwayda: Hatari ya Mgawanyiko Mkubwa Syria Kati ya Makundi Yenye Uhusiano na Israel
-
Hasira ya Lieberman kwa kushindwa kwa Israel kufikia malengo yake maovu
Hili la kusitisha mapigano ni la aibu, si mpango wa makombora wa Iran umeharibiwa wala mpango wao wa nyuklia, huu ni usitishaji mapigano usio na masharti, Iran itarutubisha Uranium (ya Nyuklia) tena.