msingi
-
Haki na Uadilifu wa Kifamilia katika Mizani ya Riwaya; Tathmini Upya ya Mipaka ya Ndoa ya Muda (Mut’a)
Ndoa ya muda (Mut’a) ambayo Mtume (s.a.w.w) aliihalalisha na Qur’ani ikaithibitisha, kwa msingi wa fiqhi ya Shia ni halali kisheria. Hata hivyo, riwaya zimeweka miongozo ya kimaadili na kijamii inayosisitiza tahadhari katika baadhi ya mazingira.
-
Mwanaharakati wa kisiasa aeleza kuhusu machafuko ya hivi karibuni: "Hata Wairani walioko Ulaya hawakushiriki katika mradi wa utafutaji wa vita"
Ehsan Mansouri, mwanaharakati wa kisiasa aliye Uingereza, anaonyesha kuwa hata Wairani wengi walioko Ulaya hawakushirikiana na juhudi za Reza Pahlavi za kuhamasisha vita, na kusisitiza kwamba mradi huu wa adui hauna msingi thabiti wa kijamii licha ya uwepo wa sapoti kubwa ya kampeni za vyombo vya habari na msaada wa nje.
-
Mazungumzo ya Marekani na Iran Yamalizika kwa Tabasamu Bila Suluhu: Iran Yakataa Kusitisha Urutubishaji wa Uranium
Mazungumzo ya nyuklia kati ya Marekani na Iran yamekamilika bila mafanikio ya msingi, huku Iran ikikataa kusitisha urutubishaji wa uranium au kuhamisha vifaa vyake nje ya nchi. Tehran imesisitiza kuwa utajirishaji ndani ya Iran ni mstari mwekundu, wakati Washington ikisisitiza haitakubali Iran kubaki na uwezo wowote wa silaha za nyuklia. Kwa hali hii, duru ijayo ya mazungumzo itaamua hatima ya diplomasia kati ya pande hizo mbili.
-
Rais wa zamani wa Idara ya Utafiti wa Kijasusi ya Kijeshi ya Israel akisisitiza:
“Utawala wa Kizayuni huna mkakati; ufafanuzi wa rafiki na adui unategemea mawazo ya kupotosha ya kisiasa”
Michael Milstein, mtaalamu mkuu wa masuala ya Palestina na rais wa zamani wa Idara ya Utafiti wa Kijasusi ya Kijeshi ya Israel, ameweka wazi katika makala yenye lugha kali katika Yedioth Ahronoth kwamba serikali ya sasa ya Israel haina mkakati wa kuandaliwa vyema. Ametoa onyo kwamba kupita kiasi kwa masuala ya kisiasa, hasa baada ya tarehe 7 Oktoba, kumeathiri vibaya uwezo wa Israel wa kutofautisha kati ya washirika na maadui. Kauli hii inaashiria hatari kwamba maamuzi ya kijeshi na kiasilimia ya Israel yanaendeshwa zaidi na mitazamo ya kisiasa kuliko msingi thabiti wa kimkakati.
-
Mwenyekiti wa JMAT–TAIFA: Tukipendana na Kusaidiana Tutajenga Amani ya Taifa Letu
Akizungumza kuhusu msingi wa amani, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania alibainisha kuwa amani ya kweli huanzia katika mahusiano mema yanayojengwa kwa kujali, kuthaminiana na kusaidiana. Alieleza kuwa kitendo cha kusaidiana huondoa chuki na uhasama, kwani mtu anaposaidiwa huhisi kukubalika na kuheshimiwa, hali inayojenga imani na kuimarisha mshikamano wa kijamii.
-
Je, Taurati imebadilishwa? Angalia jibu la Qur’an hapa!
Kuhusu taarifa (maelezo) ya Qur’an Tukufu kuhusu ubadilishaji wa maneno ya Taurati, kuna mjadala wa kiitihadi kama ifuatavyo: 1. Mtazamo maarufu (ushahidi unaoonekana wazi kabisa katika Quran) Watafiti wengi na wafuasi wa mtazamo huu wanaona kwamba Qur’an inazungumzia ubadilishaji wa maneno kwa uwazi jabisa. Qur’an inataja maneno yaliyopinduliwa au kuharibiwa na baadhi ya Watu wa Kitabu (Ahlul-kita'bi): «يُحَرِّفُونَ الْكَلِمَ عَن مَوَاضِعِهِ» (An-Nisa 46) Hapa (kwa mujibu wa Aya hiyo Tukufu) , ubadilishaji huo unahusiana na maneno yenyewe, na si tafsiri tu. 2. Mtazamo wa wapinzani (Mukhalifuna) Wao wanasema kuwa Qur’an inazungumzia ubadilishaji wa maana, si maneno ya kifasihi: Wanasema kuwa maneno ya msingi hayajabadilishwa, lakini maana au tafsiri potofu ndizo zilizobadilishwa au kutumika vibaya. Hii inaitwa ubadilishaji wa maana (tafsiri) badala ya ubadilishaji wa maneno.
-
Hatari ya kusambaratika Kwa Mfumo wa Afya wa Syria Chini ya Utawala wa al-Jolani
Mamilioni ya raia wa Syria wanateseka chini ya utawala wa al-Jolani kutokana na ukosefu wa dawa na huduma za msingi za afya.
-
Mwanachama wa Jumuiya ya Walimu wa Qum atoa wito wa umoja wa wanazuoni na wasomi kwa ajili ya kufanikisha ustaarabu mpya wa Kiislamu
Hujjatul Islam wal Muslimin Muhammad Saeed Waezi amesema kuwa kuimarisha umoja na mashauriano kati ya wanazuoni na wasomi wa Kiislamu ni jambo muhimu katika kukabiliana na changamoto za sasa na kufikia malengo makubwa ya ustaarabu mpya wa Kiislamu.
-
Ayatullah Javadi Amoli alisema:
“Iwapo kitovu cha mgawanyiko kitaundwa kati ya taifa na serikali, msingi wa mfumo utadhurika”
Mmoja wa maraji wa juu wa Washia alisema: “Iwapo kitovu cha mgawanyiko kitaibuka kati ya serikali na taifa, msingi wa mfumo utadhurika. Iwapo kiongozi atakuwa na wavurugiko kati ya matakwa yake ya kimaakili na tamaa za nafsi, ataondoka mbali na haki.”
-
Maduro: "Trump ameongeza umoja wa kitaifa nchini Venezuela"
Rais wa Venezuela amesema: Tuhuma zisizo na msingi za Trump dhidi ya Venezuela zimeongeza umoja na mshikamano wa watu na serikali ya Venezuela.
-
-
Ayatollah Ramezani Mjini Dakar: Mafundisho ya Ahlul-Bayt (a.s) ni Njia ya Kumfikia Mungu
Katika majlisi ya maombolezo ya kuadhimisha shahada ya Imamu Jawad (a.s) iliyofanyika katika mji mkuu wa Senegal, Dakar, Ayatollah Reza Ramadhani — Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul Bayt (a.s) — alisisitiza: "Kufaidika na mafundisho na maneno ya Ahlul Bayt (a.s) hutusaidia katika safari ya kimatendo ya kumkaribia Mwenyezi Mungu." Amebainisha kuwa: "Maudhui yanayotolewa na Ahlul Bayt (a.s) ni ya ki-Tawhidi, yamejengwa juu ya msingi wa maumbile ya mwanadamu (fitra), na yanakubaliana kikamilifu na akili ya binadamu."
-
Kukuza Umoja wa Kiislamu ni Msingi wa Mkutano wa Ayatollah Ramezani na Wanafikra wa Tijaniyya huko Niger + Picha
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ulimwengu wa Ahlul-Bayt (a.s) alikutana na Kiongozi wa Tijaniyya katika Mji wa Kiota, nchini Niger.