msingi
-
Je, Taurati imebadilishwa? Angalia jibu la Qur’an hapa!
Kuhusu taarifa (maelezo) ya Qur’an Tukufu kuhusu ubadilishaji wa maneno ya Taurati, kuna mjadala wa kiitihadi kama ifuatavyo: 1. Mtazamo maarufu (ushahidi unaoonekana wazi kabisa katika Quran) Watafiti wengi na wafuasi wa mtazamo huu wanaona kwamba Qur’an inazungumzia ubadilishaji wa maneno kwa uwazi jabisa. Qur’an inataja maneno yaliyopinduliwa au kuharibiwa na baadhi ya Watu wa Kitabu (Ahlul-kita'bi): «يُحَرِّفُونَ الْكَلِمَ عَن مَوَاضِعِهِ» (An-Nisa 46) Hapa (kwa mujibu wa Aya hiyo Tukufu) , ubadilishaji huo unahusiana na maneno yenyewe, na si tafsiri tu. 2. Mtazamo wa wapinzani (Mukhalifuna) Wao wanasema kuwa Qur’an inazungumzia ubadilishaji wa maana, si maneno ya kifasihi: Wanasema kuwa maneno ya msingi hayajabadilishwa, lakini maana au tafsiri potofu ndizo zilizobadilishwa au kutumika vibaya. Hii inaitwa ubadilishaji wa maana (tafsiri) badala ya ubadilishaji wa maneno.
-
Hatari ya kusambaratika Kwa Mfumo wa Afya wa Syria Chini ya Utawala wa al-Jolani
Mamilioni ya raia wa Syria wanateseka chini ya utawala wa al-Jolani kutokana na ukosefu wa dawa na huduma za msingi za afya.
-
Mwanachama wa Jumuiya ya Walimu wa Qum atoa wito wa umoja wa wanazuoni na wasomi kwa ajili ya kufanikisha ustaarabu mpya wa Kiislamu
Hujjatul Islam wal Muslimin Muhammad Saeed Waezi amesema kuwa kuimarisha umoja na mashauriano kati ya wanazuoni na wasomi wa Kiislamu ni jambo muhimu katika kukabiliana na changamoto za sasa na kufikia malengo makubwa ya ustaarabu mpya wa Kiislamu.
-
Ayatullah Javadi Amoli alisema:
“Iwapo kitovu cha mgawanyiko kitaundwa kati ya taifa na serikali, msingi wa mfumo utadhurika”
Mmoja wa maraji wa juu wa Washia alisema: “Iwapo kitovu cha mgawanyiko kitaibuka kati ya serikali na taifa, msingi wa mfumo utadhurika. Iwapo kiongozi atakuwa na wavurugiko kati ya matakwa yake ya kimaakili na tamaa za nafsi, ataondoka mbali na haki.”
-
Maduro: "Trump ameongeza umoja wa kitaifa nchini Venezuela"
Rais wa Venezuela amesema: Tuhuma zisizo na msingi za Trump dhidi ya Venezuela zimeongeza umoja na mshikamano wa watu na serikali ya Venezuela.
-
-
Ayatollah Ramezani Mjini Dakar: Mafundisho ya Ahlul-Bayt (a.s) ni Njia ya Kumfikia Mungu
Katika majlisi ya maombolezo ya kuadhimisha shahada ya Imamu Jawad (a.s) iliyofanyika katika mji mkuu wa Senegal, Dakar, Ayatollah Reza Ramadhani — Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul Bayt (a.s) — alisisitiza: "Kufaidika na mafundisho na maneno ya Ahlul Bayt (a.s) hutusaidia katika safari ya kimatendo ya kumkaribia Mwenyezi Mungu." Amebainisha kuwa: "Maudhui yanayotolewa na Ahlul Bayt (a.s) ni ya ki-Tawhidi, yamejengwa juu ya msingi wa maumbile ya mwanadamu (fitra), na yanakubaliana kikamilifu na akili ya binadamu."
-
Kukuza Umoja wa Kiislamu ni Msingi wa Mkutano wa Ayatollah Ramezani na Wanafikra wa Tijaniyya huko Niger + Picha
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ulimwengu wa Ahlul-Bayt (a.s) alikutana na Kiongozi wa Tijaniyya katika Mji wa Kiota, nchini Niger.