siku 12
-
Marekani na Israel Baada ya Kushindwa katika Vita vya Siku 12; Wanajaribu Kuchochea Ghasia Nchini Iran / Vyombo vya Habari Vihangaike Kutoa Ukweli
Baada ya kushindwa katika vita vya siku 12, Marekani na Israel wanajaribu kuhamishia shinikizo ndani ya Iran kwa kuchochea ghasia za kiuchumi na kijamii; wachambuzi wakisisitiza umuhimu wa vyombo vya habari kusambaza ukweli na kutofautisha kati ya madai halali na machafuko.
-
Siku za Kufunga Mwezi wa Rajab: Hazina Iliyo fichika kwa Wapendao Imani
Kufunga mwezi wa Rajab ni ufunguo wa kufungua milango ya ufalme wa mbinguni na kuhifadhi thawabu zisizo na kikomo. Riwaya zinaeleza thawabu za kufunga huu kwa namna ambayo inaonekana kama tone moja tu kutoka katika bahari ya radhi ya Mwenyezi Mungu.
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi: "Taifa la Iran limewashinda Marekani na utawala wa Kizayun;
Wazayuni hawawezi kusababisha majanga yote haya bila msaada wa Marekani. Ujumbe unaodaiwa kutumwa kwa Marekani ni uongo mtupu.”
“Katika vita vya siku 12, taifa la Iran bila shaka liliwashinda Marekani na utawala wa Kizayuni. Wao walikuja kufanya uhalifu na uovu, lakini waliadhibiwa na wakarudi mikono mitupu, bila kufikia malengo yao hata moja - na hilo ni kushindwa kwao kwa hakika.”
-
Vyombo vya Habari vya Israel: Kuongezeka kwa Nguvu ya Iran na Muungano wa Muqawama “Kunatia Wasiwasi”
Maafisa wa Idara ya ujasusi ya Israel walisema kuwa endapo mzozo mpya baina ya Iran na Israel utazuka, basi kisasi cha Iran kitaifanya Israel ikabiliwe na hatari kubwa zaidi kuliko ile iliyoshuhudiwa katika tukio lililopita.
-
Mazishi ya Mashahidi 300 Wasiojulikana Kufanyika Siku ya Kumbukumbu ya Shahada ya Bi.Fatima(sa); Dalili ya Umoja wa Kitaifa Baada ya Vita vya Siku 12
Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi (IRGC) wa Mkoa Mkuu wa Tehran, Sardar Hassanzadeh, amesema kuwa miili ya mashahidi 300 wasiojulikana—ikiwa ni pamoja na 200 kwa mikoa mbalimbali na 100 kwa jiji la Tehran—iko tayari kwa ajili ya mazishi ya kitaifa. Mazishi haya yatafanyika Jumatatu tarehe 3 Azar, sambamba na kumbukumbu ya shahada ya Bibi Fatima Zahra (a.s), ambapo msafara maalumu wa “Lale za Fatima” utaanza saa 2:00 asubuhi mbele ya Chuo Kikuu cha Tehran kuelekea kwenye kituo cha "Meraje’ Shohada".
-
Jeshi la Mapinduzi la Kiislamu la Iran (IRGC):
Hadithi ya vita vya siku 12 iwe kipaumbele kwa wachapishaji na waandishi
Jeshi la Mapinduzi la Kiislamu (IRGC) limeweka mkazo: Moja ya matukio makuu na yenye mafundisho muhimu katika historia ya kisasa, ambayo inaweza kuwa kipaumbele kwa wachapishaji na waandishi wenye ujuzi na uwezo wa nchi, ni Ulinzi Mtakatifu wa siku 12 dhidi ya vita vya kigaidi vilivyofanywa na muungano wa Marekani, utawala wa Kizayuni, na wafuasi wao wa Magharibi na wa kikanda.
-
Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) wa Mkoa Mkuu wa Tehran:
“Vikosi vya ulinzi vya Iran vimewashinda majeshi ya NATO katika vita vya siku 12”
Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) wa Mkoa Mkuu wa Tehran amesema: “Katika vita vya kujihami vya siku 12, tulisimama dhidi ya Marekani, utawala wa Kizayuni na jumla ya majeshi ya NATO. Kwa hakika, tuliwashinda wote wa NATO, jambo ambalo halijawahi kutokea.”
-
Vifo vya Wapalestina 453, wakiwemo watoto 150, vimeripotiwa kutokana na njaa na utapiamlo huko Gaza
Wizara ya Afya ya Ukanda wa Gaza imetangaza kuwa idadi ya waathirika waliopoteza maisha kutokana na njaa na utapiamlo imefikia watu 453, ambapo miongoni mwao wako watoto 150.
-
Ujumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi kwa mnasaba wa Wiki ya Utetezi Mtakatifu:
"Ushahidi (shahada) ni thawabu ya jitihada za jihadi; iwe katika utetezi wa miaka 8, au katika mapambano ya kishujaa ya siku 12"
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, katika ujumbe wake kwa mnasaba wa Wiki ya Utetezi Mtakatifu, aliitaja shahada kuwa ni thawabu ya juhudi za jihadi, na alisisitiza juu ya umuhimu wa kujitolea huku katika kukuza mataifa. Vilevile, alieleza yakini yake juu ya ushindi wa haki na umuhimu wa kushikamana na majukumu ya kidini.
-
Waumini wa Kabul Waadhimisha Arubaini ya Imam Hussein (a.s) Wakihoji Vikwazo vya Safari za Mahujaji (Mazuwwari) wa Afghanistan
Sambamba na kuwadia kwa siku ya Arubaini ya Imam Hussein (a.s), hafla ya kuadhimisha siku hii ilifanyika katika Kituo cha Fiqhi cha Maasemamu Watakatifu (a.s) upande wa magharibi mwa jiji la Kabul. Washiriki, sambamba na kufanya maombolezo kwa ajili ya Imam Hussein (a.s), walitoa malalamiko makali dhidi ya ukosefu wa uratibu wa kisiasa na kisheria ambao mwaka huu uliwazuia waumini wengi wa Afghanistan kusafiri kwa wingi kwenda Karbala.
-
Jeshi la Mapinduzi la Iran Laonya Marekani na Israel: Jibu Litakuwa Kali Mno Kuliko Mnavyodhani
Iran iko tayari kwa Operesheni Kubwa Dhidi ya Wachokozi kwa muda wowote ule.