1 Aprili 2025 - 16:00
Ndege nyingine isiyo na rubani ya Marekani imetunguliwa ndani anga la Yemen

Ndege ya kijeshi isiyo na rubani ya Marekani imdunguliwa katika mMkoa wa Marib.

Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Kimataifa la Ahl al-Bayt (a.s) - Abna - Brigedia Yahya Saree, Msemaji wa Jeshi la Yemen, ametangaza katika taarifa yake kuwa kuhusu kutunguliwa na kuharibiwa kabisa kwa ndege isiyo na rubani ya MQ-9 ya Marekani wakati wa operesheni yake dhidi ya jimbo la Marib nchini Yemen.

Ndege hii isiyo na rubani ya MQ-9 ni ya tatu kudunguliwa na walinzi wa anga wa Yemen tangu mwanzoni mwa 2025.

Ndege nyingine isiyo na rubani ya Marekani imetunguliwa ndani anga la Yemen

Tangu mwaka 2017, wanajeshi wa Yemen wametungua ndege 20 zisizo na rubani za MQ-9 za Marekani katika anga ya Yemen, ambapo ndege 16 kati ya hizo zilidunguliwa nchini Yemen katika miaka miwili iliyopita.

Jeshi la Marekani hutumia ndege zisizo na rubani za MQ-9 kutekeleza baadhi ya mashambulizi na pia kutambua baadhi ya shabaha muhimu.

Ndege nyingine isiyo na rubani ya Marekani imetunguliwa ndani anga la Yemen

Tags

Your Comment

You are replying to: .
captcha