







Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - ABNA - Taasisi ya The Desk and Chair Foundation ya Jijini Mwanza chini ya Mwenyekiti wake Alhaj, Dokta Sibtain Megji imetoa msaada wa jumla ya madawati 100 kwa vituo 3 Jijini humo ambapo viti 50 pamoja na Meza zake, vimetolewa katika kituo kimoja huku vingine 50 vikitolewa katika vituo viwili tofauti tofauti. Chanzo: ibnnews
Your Comment