26 Aprili 2025 - 16:35
Taasisi ya The Desk and Chair Foundation ya Jijini Mwanza chini ya Mwenyekiti wake Alhaj, Dokta Sibtain Megji yatoa Msaada Madawati 100 na Vitu vyake

Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - ABNA - Taasisi ya The Desk and Chair Foundation ya Jijini Mwanza chini ya Mwenyekiti wake Alhaj, Dokta Sibtain Megji imetoa msaada wa jumla ya madawati 100 kwa vituo 3 Jijini humo ambapo viti 50 pamoja na Meza zake, vimetolewa katika kituo kimoja huku vingine 50 vikitolewa katika vituo viwili tofauti tofauti. Chanzo: ibnnews

Taasisi ya The Desk and Chair Foundation ya Jijini Mwanza chini ya Mwenyekiti wake Alhaj, Dokta Sibtain Megji yatoa Msaada Madawati 100 na Vitu vyake

Your Comment

You are replying to: .
captcha