24 Mei 2025 - 15:56
Video | Warsha ya Mafunzo ya Upigaji Picha katika Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (a.s) – ABNA

Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (a.s) – ABNA, warsha ya mafunzo ya upigaji picha ilifanyika katika mwezi wa (Mei 2025), chini ya uongozi wa Ustaadh Hamid Abdi, mhadhiri wa chuo kikuu na mpiga picha mwenye uzoefu wa Shirika la Habari la Kimataifa la ABNA.

Your Comment

You are replying to: .
captcha