31 Desemba 2025 - 23:53
News ID: 1768417
Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) -ABNA-, “Hailey Rothschild”, Bloga wa Kimarekani, alilia mbele ya kamera katika maombolezo ya shahada ya Abu Ubaida, msemaji wa Brigedi za Izzuddin al-Qassam, tawi la kijeshi la harakati ya Hamas.
Your Comment