Hugo Chávez amefariki dunia baada ya kusumbuliwa na saratani kwa muda mrefu.Hugo Chávez amefariki akiwa na miaka 58.
Chávez aliiongoza Venezuela kwa kwa muda wa muongo mmoja na miaka mine na alijitahidi sana katika kuleta mabadiriko katika nchi yake na kupambana na umasikini.Rais huyu pia alipingana na madhalimu na kukataanchi yake kuwa chini ya taifa lolote.