ABNA swahili
  • HABARI KAMILI
  • HABARI MUHIMU
  • Iran
  • ASIA
  • ULAYA
  • AMERIKA
  • AFRIKA
  • PICHA
  • MAKALA
العربية English فارسی Türkçe اردو Español bahasa Indonesia हिन्दी français 汉语 русский Deutsch Melayu Hausa বাংলা Азәрбајҹан Азәрбајҹан әлифбасы Kiswahili မြန်မာဘာသာ bosanski português سورانی 日本語 Kurmancî Pilipinas Тоҷик italiano 한국어
×
  • Qatar: Kutumia chakula kama silaha ya vita ni kukiuka sheria za kimataifa

    Qatar: Kutumia chakula kama silaha ya vita ni kukiuka sheria za kimataifa

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Qatar imetoa taarifa na kutangaza kuwa, inapinga vikali suala la raia kufa njaa na kutumiwa chakula kama silaha ya vita katika Ukanda wa Gaza.

    2025-03-04 23:27
  • Hamas: Hatua ya Pili ya Usitishaji Mapigano Gaza ni njia pekee ya kuachiliwa mateka wa Israel

    Hamas: Hatua ya Pili ya Usitishaji Mapigano Gaza ni njia pekee ya kuachiliwa mateka wa Israel

    Afisa mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, ameulaumu utawala haramu wa Israel kwa kutaka kurejesha uvamizi wake dhidi ya Gaza na kukwepa makubaliano ya usitishaji mapigano, akisisitiza kuwa njia pekee ya kuhakikisha kuachiliwa kwa mateka wa Israel ni kuanza hatua ya pili ya makubaliano ya kusitisha mapigano.

    2025-03-04 23:26
  • Sera za kinafiki za Marekani kuhusu matumizi ya nishati ya nyuklia

    Sera za kinafiki za Marekani kuhusu matumizi ya nishati ya nyuklia

    Katika taarifa yake mpya kuhusu matumizi ya nishati ya nyuklia, Waziri wa Nishati wa serikali ya Marekani, Chris Wright, amesema kutokana na Marekani kuwa kinara katika masuala ya akili mnemba (artificial intelligence) na ili kuwashinda wapinzani katika teknolojia hii, nchi yake inahitaji kusambaza umeme kutoka kwenye vyanzo vya kuaminika na vya bei nafuu kama vile nishati ya nyuklia.

    2025-02-28 17:38
  • Qatar: Kutumia chakula kama silaha ya vita ni kukiuka sheria za kimataifa

    SwahiliQatar: Kutumia chakula kama silaha ya vita ni kukiuka sheria za kimataifa

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Qatar imetoa taarifa na kutangaza kuwa, inapinga vikali suala la raia kufa njaa na kutumiwa chakula kama silaha ya vita katika Ukanda wa Gaza.

    4 Machi 2025 - 23:27
  • Hamas: Hatua ya Pili ya Usitishaji Mapigano Gaza ni njia pekee ya kuachiliwa mateka wa Israel

    SwahiliHamas: Hatua ya Pili ya Usitishaji Mapigano Gaza ni njia pekee ya kuachiliwa mateka wa Israel

    Afisa mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, ameulaumu utawala haramu wa Israel kwa kutaka kurejesha uvamizi wake dhidi ya Gaza na kukwepa makubaliano ya usitishaji mapigano, akisisitiza…

    4 Machi 2025 - 23:26
  • Sera za kinafiki za Marekani kuhusu matumizi ya nishati ya nyuklia

    SwahiliSera za kinafiki za Marekani kuhusu matumizi ya nishati ya nyuklia

    Katika taarifa yake mpya kuhusu matumizi ya nishati ya nyuklia, Waziri wa Nishati wa serikali ya Marekani, Chris Wright, amesema kutokana na Marekani kuwa kinara katika masuala ya akili mnemba (artificial intelligence)…

    28 Februari 2025 - 17:38
  • Uchunguzi wa maoni: Chuki dhidi ya Uzayuni zimeongezeka Marekani

    SwahiliUchunguzi wa maoni: Chuki dhidi ya Uzayuni zimeongezeka Marekani

    Uchunguzi mpya wa maoni unaonyesha kuwa, hisia za chuki dhidi ya uuzayuni zimeongeza pakubwa nchini Marekani.

    28 Februari 2025 - 17:38
  • Trump arefusha muda wa vikwazo dhidi ya Russia

    SwahiliTrump arefusha muda wa vikwazo dhidi ya Russia

    Rais wa Marekani Donald Trump ameongeza kwa mwaka mmoja mwingine muda wa amri ya utekelezaji vikwazo dhidi ya Russia.

    28 Februari 2025 - 17:37
  • Afrika Kusini, Malaysia na Colombia zapinga meli zenye silaha katika bandari zao kwa ajili ya Israel

    SwahiliAfrika Kusini, Malaysia na Colombia zapinga meli zenye silaha katika bandari zao kwa ajili ya Israel

    Viongozi wa Afrika Kusini, Malaysia na Colombia wametangaza katika jarida moja katika makala yao ya pamoja kwamba watazizuia meli zilizobeba silaha katika bandari za nchi hizo kwa ajili ya Israel.

    28 Februari 2025 - 17:36
  • Guterres: Mwezi Mtukufu wa Ramadhani utumike kuleta amani

    SwahiliGuterres: Mwezi Mtukufu wa Ramadhani utumike kuleta amani

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametaka mwezi mtukufu wa Ramadhani utumiwe kwa ajili ya kuleta na kudumisha amani katika pembe mbalimbali za dunia hasa maeneo yanayokabiliwa na vurugu na machafuko.

    28 Februari 2025 - 17:36
  • Watu 5 wauawa katika mlipuko wa msikitini kaskazini magharibi mwa Pakistan

    SwahiliWatu 5 wauawa katika mlipuko wa msikitini kaskazini magharibi mwa Pakistan

    Watu 5 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa katika mlipuko uliotokea katika Msikiti wa Chuo Kikuu cha Haqqaniyya kaskazini magharibi mwa Pakistan.

    28 Februari 2025 - 17:36
  • Israel yakiri rasmi kushindwa katika oparesheni ya Kimbunga cha al Aqsa

    SwahiliIsrael yakiri rasmi kushindwa katika oparesheni ya Kimbunga cha al Aqsa

    Jeshi la utawala wa Kizayuni limekiri kuwa, katika mashambulizi ya Oktoba 7 mwaka 2023 lilishindwa kuwahami walowezi wa utawala huo wanaoishi katika maeneo jirani na Gaza; na kwamba lilifeli katika masaa ya awali…

    28 Februari 2025 - 17:35
  • Iran na Malaysia zasisitiza kuimarisha zaidi ushirikiano

    SwahiliIran na Malaysia zasisitiza kuimarisha zaidi ushirikiano

    Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Malaysia wamesisitiza azma ya nchi zao ya kuimarisha Zaidi uhusiano na ushirikiano katika mbalimbali.

    28 Februari 2025 - 17:35
  • IRGC yapokea manowari ya kisasa iliyoundwa na wataalamu wa Iran

    SwahiliIRGC yapokea manowari ya kisasa iliyoundwa na wataalamu wa Iran

    Kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimepokea zana na vifaa mbalimbali vya kijeshi vilivyoundwa na kutengenezwa hapa nchini Iran, ikiwemo meli ya kivita ya Shahidi Rais Ali Delvari…

    28 Februari 2025 - 17:34
  • Ayatullah Seddiqi: Chuki dhidi ya Marekani na utawala wa Kizayuni imeenea duniani kote

    SwahiliAyatullah Seddiqi: Chuki dhidi ya Marekani na utawala wa Kizayuni imeenea duniani kote

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema kuwa, adui wa Israel sio kambi ya Muqawama tu na kuongeza kuwa, mauaji ya wanawake na watoto huko Gaza na makamanda wa Muqawama yamesababisha kusambaa duniani…

    28 Februari 2025 - 17:34
Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (a.s); Abna Sauti ya Mashia wasio na Vyombo vya Habari.
Desktop version Mobile version

Nukuu ya "Maudhui" inaruhusiwa bila kutaja chanzo

Nastooh Saba Newsroom