Main Title

source : ABNA
Jumatatu

9 Oktoba 2023

19:17:46
1399413

Video| Mkutano wa Vijana wa Kiislamu wa Afrika Mashariki huko Nairobi, mji mkuu wa Kenya

Shirika la Habari la Ahlul-Baiti (A.S) - ABNA - limeripoti kuwa, wakati huo huo mwezi wa Rabi'a Awwal, siku ya kuzaliwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (SAW), kulifanyika mkutano wa Waislamu wa Afrika Mashariki katika mji wa Nairobi Kenya. Katika mkutano huu, Ayatullah Ramazani, rais wa baraza la dunia la Ahlul-Bayt (AS) alihudhuria mkutano huu kama mgeni mkuu.