Chuo
-
Wanafunzi wa Hawzatul-Qaim (atfs) waanza Mitihani ya Robo ya pili - 2025
Mtihani huu ni sehemu ya ratiba ya kila mwaka ya Ki-Hawza inayojumuisha vipindi vinne vya mitihani (robo).
-
Kisomo cha Dua ya Kumail katika Hawza ya Hazrat Zainab (sa) – Kigamboni, Dar-es-Salaam
Hawza ya Hazrat Zainab (sa) iliyoko Kigamboni, Dar-es-Salaam, ni chuo makhsusi kwa ajili ya kuwalea mabinti wa Kiislamu kielimu na kimaadili. Chuo hiki kipo chini ya usimamizi wa Jamiat Al-Mustafa (s) – Tanzania, na mbali na masomo ya kielimu yanayotolewa humo, wanafunzi pia hupatiwa malezi ya kiroho kwa kupitia mafundisho ya dua na ibada.
-
Chuo cha Al-Mustafa (s) - Tanzania | Jumamosi ya Bidii na Maarifa!
Tunawatakia Wanafunzi hawa kila la heri katika juhudi zao za kielimu!.
-
"Ayatollah Ramezani: Chuo cha Dini cha Qom kina uwezo wa kuunda ustaarabu wa Kiislamu / Mapinduzi ya Kiislamu yamebadilisha mlingano wa dunia."
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) alisema: Leo hii, fursa ya kipekee imepatikana kwa vyuo vya kidini, ambayo haijawahi kushuhudiwa katika vipindi vya nyuma. Tunapaswa kuweza kuitambulisha dini ya Uislamu kwa dunia kwa kutumia lugha na istilahi za kimataifa, na kwa hakika tutafaulu katika njia hii.
-
Dr. Ali Taqavi, Mwakilishi wa Jamiat Al-Mustafa (s), Dar-e-Salam, Tanzania, katika ziara muhimu Zanzibar - Tanzania + Picha
"Ni muhimu kwa Wanafunzi kuzingatia elimu na maarifa ya Qur'an Tukufu, na kuwaasa katika kuzidisha juhudi zao kwenye suala muhimu la kusoma na kuhifadhi Qur'an Tukufu, na kuiweka Qur'an Tukufu mbele ya Maisha yao ya kila siku".