Chuo
-
Ukuta wa Ujumbe Mpya Chuo Kikuu cha Tehran: “Bendera ya Iran Haichomeki"
Ukuta wenye ujumbe “Jaribu uteketezwe bure, bendera ya Iran haitachomeka” umewekwa katika eneo la Chuo Kikuu cha Tehran, hususan katika jengo la Kitivo cha Sayansi ya Jamii, ikiwa ni mwitikio wa matukio ya jana yaliyohusishwa na baadhi ya wanafunzi wanaodaiwa kufanya vitendo vya uchochezi.
-
Fiqh ya Kuangalia Baadaye; Njia Pekee ya Kulinda Jamii Dhidi ya Ufisadi wa Akili Bandia
Mwalimu wa Chuo cha Dini cha Qom amesema kwamba akili bandia (AI) imeunda mipaka mipya katika eneo la uwajibikaji, mamlaka, na haki. Aliongeza kuwa: Fiqh inapaswa kuwa na mtazamo wa kuangalia mbele, ili iweze kutoa hukumu na msingi wa dini kwa matukio mapya kabla ya kuibuka kwa migogoro au majanga.
-
Chuo cha Dini cha Qom kinapaswa kutumia hazina ya Ki-Mungu kwa ajili ya kuunda “Utamaduni mpya wa Kiungu”
Hujjatul-Islam wal-Muslimin Abbasi, kabla ya kuanza kwa mwaka mpya wa masomo, alitaja utamaduni wa kifaalufu wa Magharibi kama sababu kuu ya ukoloni mkubwa wa nchi za dunia, hasa katika Afrika, na kusisitiza kuwa matokeo mabaya ya utawala huu ni ukomavu wa kitamaduni, ambapo utamaduni wa kiungu unalengwa kwa kutumia zana kama vyombo vya habari.
-
Chuo cha Al-Mustafa (s) - Tanzania Kimeandaa Kongamano la Kielimu Kuhusu Ustaarabu wa Magharibi na Mikakati yake ya Kikoloni
Ustaarabu wa Magharibi na misingi ya kuuelewa ipasavyo.
-
Wanafunzi wa Chuo cha Kimataifa cha Al-Mustafa (s) Foundation wakihuisha Usomaji wa Dua ya Nudba Leo hii Mbezi Beach, Jijini Dar-es-Salaam
Matukio kama haya ya Usomaji wa Dua mbalimbali yanaongeza moyo wa ibada miongoni mwa wanafunzi na hutoa nafasi ya kuungana kiroho katika jamii ya hawza hiyo, huku yakihimiza umuhimu wa dua kama silaha ya waumini katika maisha ya kila siku.
-
Dua ya Nudba Yafanyika Leo hii Ijumaa Katika Hawza ya Mabanati ya Hazrat Zainab (sa), Kigamboni - Dar-es-Salam
Usomaji wa Dua wa namna hii kawaida huvutia ushiriki mkubwa wa Wanafunzi na Wapenzi wa Ibada na Dua, na kuleta hali ya utulivu wa kiibada katika mazingira ya Chuo hiki cha Kiislamu.
-
Chuo Kikuu cha Campinas, Brazil, Chataka Kukomeshwa kwa “Mauaji ya Kimbari Gaza”
Baraza Kuu la Chuo Kikuu cha Jimbo la Campinas (Consu – Unicamp) katika kikao chake cha Jumanne, Agosti 5, 2025, limepitisha azimio linalotaka kukomeshwa kwa kile walichokiita “mauaji ya kimbari Gaza” na kulitaka Serikali ya Brazil kusitisha uhusiano wake wa kibiashara na kijeshi na Israel.