Duniani
-
Msikiti wa Haram ya Imam Reza (a.s) - Mashhad, Iran, Unashikilia Rekodi ya Dunia kwa kuwa na Eneo Kubwa Zaidi Kuliko Misikiti Yote Duniani
Misikiti 10 Yenye Maeneo Makubwa Zaidi Duniani (Tanbihi: Ukubwa unakusudiwa ni Eneo zima la Msikiti - Sio Uwezo wa Idadi ya Waumini wanaingia ndani yake, kwa kutizama uwezo Msikiti wa Kwanza uwezo inakuwa ni Masjid Al-Haram, ndio unaongoza kwa kubeba watu wengi zaidi kuliko Misikiti mingine, kwa Mantiki Masjid Imam Reza a.s inakuwa ya Tatu Duniani kwa kutizama uwezo na Ukubwa wa eneo, lakini inakuwa ya kwanza Duniani kwa kutizama Ukubwa wa eneo tu).
-
Naibu Kamanda wa Vikosi vya Nchi Kavu vya Jeshi la Iran: Hatutakuwa waanzilishi wa mashambulizi kamwe
Naibu Kamanda wa Vikosi vya Nchi Kavu vya Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa jeshi halitakuwa kamwe mwanzilishi wa mashambulizi, akieleza kuwa lengo la kuimarisha jeshi sio vita, bali ni kuzuia vita na kujenga uwezo wa kuzuia (deterrence).
-
Kwa mwaka wa tatu mfululizo; Sudan yaongoza orodha ya migogoro ya kibinadamu duniani
Sudan kwa mwaka wa tatu mfululizo imeorodheshwa juu kabisa katika orodha ya migogoro ya kibinadamu duniani.Nchi nyingine zilizoorodheshwa katika ripoti hiyo ni pamoja na: Myanmar, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Mali, Burkina Faso, Lebanon, Afghanistan, Cameroon, Chad, Colombia, Niger, Nigeria, Somalia, Syria, Ukraine na Yemen.
-
Mkutano wa Kwanza wa Mielekeo ya Kiislamu Umefanyika nchini Ureno kwa Lengo la Kukuza Mazungumzo ya Kidiini +Picha
Kundi la wasomi wa Kiislamu na Kikristo limekutana katika mji mkuu wa Ureno, Lisbon, kujadili nafasi ya Ushi’a, mazungumzo ya dini tofauti, pamoja na fursa za pamoja za dini katika kufanikisha amani ya dunia.
-
Mkutano wa Fedha za Saudia na Madai ya Marekani Ikulu ya White House / Trump Arudia Maneno ya Kutishia dhidi ya Iran
Katika jitihada za kuimarisha uhusiano wa kifedha na kisiasa na Riyadh, Trump alimpongeza Bin Salman na hata kugusia mauaji ya mwandishi wa habari Jamal Khashoggi, akidai bila ushahidi kwamba: “Ben Salman hakuwa na taarifa yoyote kuhusu tukio hilo!”
-
Mhubiri Mashuhuri wa Pakistan: Msiba wa Gaza ni mtihani wa imani na dhamiri ya Taifa la Kiislamu
Mmoja wa wanazuoni wa Kishia kutoka Pakistan amesisitiza kuwa: Licha ya kuwepo Waislamu zaidi ya bilioni mbili duniani, ummah haujafanikiwa kutekeleza jukumu lile ambalo Qur’an na Sharia zinatarajia kutoka kwake, na hili lenyewe ni ishara ya kushindwa kwa pamoja kwa umma wa Kiislamu.
-
Je, Raj‘a (kurejea kwa baadhi ya watu baada ya kifo kabla ya Kiyama):
Ni aina ya harakati ya kurudi nyuma na inayopingana na harakati ya kimaumbile (harakati ya kiasili ya kuendelea mbele) na mchakato wa ukamilifu?
Raj‘a, yaani kurejea kwa waumini waliokuwa wakamilifu kabisa na makafiri waliokuwa wabaya kabisa duniani katika kipindi cha kudhihiri kwa Imam Mahdi (a.s), ni ngazi miongoni mwa ngazi za Siku ya Kiyama, na imo katika njia ya ukamilifu wa mwanadamu.
-
Ilibainishwa katika mkutano na waandishi wa habari:
Maonesho ya Picha 'Siku 12 za Iran' Tukio Kubwa la Simulizi ya Vita, Yataoneshwa Nchini 40
Maonyesho ya Picha ya Kimataifa “Siku 12 za Iran” yenye mada ya Simulizi Halisi ya Vita vya Kulazimishwa vya Siku 12, yanayoratibiwa na Jumuiya ya Amani ya Kiislamu Duniani na Taasisi ya Utamaduni, Sanaa na Utafiti ya Saba, kwa ushirikiano wa Taasisi 21 za ndani na kimataifa, yatafanyika kuanzia tarehe 14 Septemba katika Taasisi ya Sanaa na sambamba na nchi 40 duniani.
-
Uungaji mkono wa vijana wa Fatimiyya kwa majeshi ya ulinzi ya Taifa la Iran, katika haramu tukufu ya Mwanamke wa Heshima, Hazrat Fatima Maasumah (sa)
Uungaji mkono Mkubwa kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran unazidi kuonekana kila Kona ya Dunia katika Operesheni yake ya Ahadi ya Kweli 3.
-
Siku ya Wakati Maalum:
Ni ipi Maana ya Kauli ya Mwenyezi Mungu aliposema kumwambia Shetani: "یوم الوقت المعلوم" “Siku ya Wakati Maalum"
katika ufahamu wa Shia (Wafuasi wa Ahlul-Bayt - a.s - ), "یوم الوقت المعلوم" ni Siku ya dhahiri ya Haki na Uadilifu wa Mwenyezi Mungu Duniani, yaani Siku ya Mapinduzi ya Dunia yakiongozwa na Imam Mahdi (a.t.f.s), kabla ya Siku ya Kiyama.