Hadithi
-
Afisa wa Zamani wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani:
Hadithi ya Ulinzi Usio Penyeka wa Israel Yaporomoka kwa Makombora ya Iran / Nguvu ya Makombora Yageuka Tishio la Kwanza
Afisa wa zamani wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, Mark Fitzpatrick, amesema kuwa mashambulizi ya makombora ya Iran yamevunja dhana ya ulinzi usio penyezeka wa Israel na kubadilisha mizani ya kuzuiana, huku akibainisha kuwa mpango wa makombora wa Iran sasa umegeuka kuwa tishio la kwanza kwa Tel Aviv.
-
Mtume Muhammad (saww)anasema: "Upendo kwa Fatima unafaa (unamnufaisha muumini) katika sehemu mia - hususan wakati wa Mauti, kaburini na katika Sirati"
Mtume (saww) anatuambia: Ikiwa unampenda Fatima (a.s) kwa moyo wa kweli, basi upendo huo utakuwa mwanga, kinga, na msaada wako katika hatua ngumu zaidi za Akhera.
-
Mafunzo kutoka katika Maisha ya Bibi Fatima Zahra (a.s) kwa Ajili ya Kujenga Utulivu katika Familia +
Hadithi ya Mgawanyo wa Majukumu kati ya Imam Ali (a.s) na Bibi Fatima Zahra (s.a) Hadithi inayosimulia jinsi Mtume Mtukufu (s.a.w.w) alivyogawa majukumu ya kifamilia kati ya Imam Ali (a.s) na Bibi Fatima (a.s) ni mfano wa hekima katika ujenzi wa familia ya Kiislamu.
-
Kuzingatia Umuhimu wa Swala ya Ijumaa na Tabia Njema katika Hawzat ya Wasichana ya Hazrat Zainab (s.a) - Tanzania
Hadithi: “إِنَّمَا بُعِثْتُ لِأُتَمِّمَ مَکَارِمَ الأَخْلَاقِ.” “Mimi nimetumwa ili nikamilishe tabia njema.” Aya Tukufu: «قَدْ أَفْلَحَ مَن زَكَّاهَا وَقَدْ خَابَ مَن دَسَّاهَا» (Surat Ash-Shams, Aya 9–10). "Amefaulu yule aliyeitakasa nafsi yake, na ameharibikiwa yule aliyeichafua (aliyeifisidi)".
-
Hali ya Wasichana katika Uislamu: Upendo, Heshima na Haki
Wasichana katika Uislamu: Hadithi ya Upendo, Heshima na Thamani za Kimungu
Hali ya Wasichana (Mabinti) katika Uislamu inategemea usawa katika uumbaji na heshima ya kibinadamu, ambapo Mwanamke na Mwanaume wameumbwa kutoka nafsi moja. Wanawake wana usawa na wanaume katika kupata elimu, uhuru wa kifedha, na zawadi ya akhera kulingana na matendo mema. Uislamu unathamini sana nafasi ya wasichana katika familia na jamii, hasa katika uba mama na kulea amani na utulivu, na kuziweka nafasi hizi kuwa juu na za heshima.
-
"Mwizi, huiba riziki yake mwenyewe!"
Riziki Halali Katika Mafundisho ya Kiislamu - Kulingana na Hadithi za Mtume na Maimamu wa Ahlul-Bayt (as) | Kulingana na mafundisho ya Kiislamu, kila mtu ana sehemu maalum ya riziki halali aliyopangiwa. Kupata riziki kupitia njia haramu hakuongezi sehemu hiyo, bali hupunguza riziki ya halali na huleta madhara na athari mbaya katika maisha.
-
Kumbukumbu ya Shahada ya Imam Hasan al-Askari (AS)
Mojawapo ya malengo ya Mitume na Maimam (amani iwe juu yao), ni kusimamisha uadilifu na usawa katika jamii. Kwa mujibu wa Qur'an na hadithi za Maimamu, jamii haiwezi kusimama bila ya uongozi wa Imam Mwadilifu atakayeongoza masuala ya kidini na kijamii. Imam ni mlinzi wa sheria na mwongoza watu kuelekea haki na mafanikio.
-
"Wema Hauozi, Dhambi Haisahauliki, Allah Hafi, Utalipwa kama Ulivyotenda" | Ni Maneno Mazito kutoka katika Vyanzo vya Kiislamu
Maneno haya ni wito wa kutuweka kwenye mstari wa Ucha Mungu, uwajibikaji wa nafsi, na kujiepusha na dhambi kwa kutambua kuwa hakuna kisichojulikana mbele ya Mwenyezi Mungu (swt).
-
Hadithi za Mtume(saww) ndaniya Nahjul-Balagha zinaonyesha jinsi Imam Ali(as) alivyoendeleza njia ya Mtume(saww) katika Uongozi,UadiIifu Ibada na Siasa
Mtume Muhammad (s.a.w.w): “ Yeyote atakayenisingizia mimi uongo kwa makusudi basi ajiandalie makazi yake kuwa ni motoni.”
-
Ufafanuzi kwa ufupi kuhusiana na hatua za mashindano ya Qur'an Tukufu na Hadithi - Jamiat Al-Mustafa (s), Dar-es-Salam - Tanzania, 2025
Tangazo la Matokeo ya mwisho litatolewa kuanzia Tarehe 01 - 05 - 2025 mpaka tarehe 05 - 05 - 2025. Na ratiba ya hafla ya fainali ya mashindano haya pamoja na ugawaji wa zawadi kwa washindi na washiriki utakuwa tarehe 17 - 05 - 2025 katika Ukumbi wa Mikutano ya Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere - Jijini Dar-es-Salam - Tanzania.