Hadithi
-
"Wema Hauozi, Dhambi Haisahauliki, Allah Hafi, Utalipwa kama Ulivyotenda" | Ni Maneno Mazito kutoka katika Vyanzo vya Kiislamu
Maneno haya ni wito wa kutuweka kwenye mstari wa Ucha Mungu, uwajibikaji wa nafsi, na kujiepusha na dhambi kwa kutambua kuwa hakuna kisichojulikana mbele ya Mwenyezi Mungu (swt).
-
Hadithi za Mtume(saww) ndaniya Nahjul-Balagha zinaonyesha jinsi Imam Ali(as) alivyoendeleza njia ya Mtume(saww) katika Uongozi,UadiIifu Ibada na Siasa
Mtume Muhammad (s.a.w.w): “ Yeyote atakayenisingizia mimi uongo kwa makusudi basi ajiandalie makazi yake kuwa ni motoni.”
-
Ufafanuzi kwa ufupi kuhusiana na hatua za mashindano ya Qur'an Tukufu na Hadithi - Jamiat Al-Mustafa (s), Dar-es-Salam - Tanzania, 2025
Tangazo la Matokeo ya mwisho litatolewa kuanzia Tarehe 01 - 05 - 2025 mpaka tarehe 05 - 05 - 2025. Na ratiba ya hafla ya fainali ya mashindano haya pamoja na ugawaji wa zawadi kwa washindi na washiriki utakuwa tarehe 17 - 05 - 2025 katika Ukumbi wa Mikutano ya Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere - Jijini Dar-es-Salam - Tanzania.
-
Ni ipi kati ya ibara hizi mbili iliyo sahihi? "Kitabu cha Mwenyezi Mungu na Itrah wangu, Ahlul-Bayt wangu au Kitabu cha Mwenyezi Mungu na Sunna yangu"
Hadithi sahihi na iliyothibitishwa kutoka kwa Mtume Muhammad (s.a.w.w) ni yenye lafdhi hii isemayo: «وأهل بیتي» / "Na Ahlul-Bayt wangu”, ama riwaya ile ambayo imepachikwa lafdhi au neno «وسنّتي» / “Na Sunna yangu” badala ya lafdhi ya asili na sahihi isemayo: «وأهل بیتي» / "Na Ahlul-Bayt wangu”, riwaya hiyo ni batili kwa mtazamo wa sanadi ya upokezi wa Hadithi husika.
-
Vi[indi vya Tafsiri ya Qur’an Tukufu:
Tafsiri ya Aya ya Kwanza ya Surat Al-Maidah
Kwa kuwa "Hakika ya Waumini ni ndugu", basi Muislamu anatakiwa kuhakikisha kuwa anatimiza Haki ya ndugu yake Muislamu, na anatetea Haki yake kama Muislamu na kama ndugu yake.
-
Sheikh Rajab Shaaban:
Imam Hassan Al-Mujtaba (a.s) anazo fadhila nyingi na daraja ya juu
Tunayo mengi ya kujifunza kutoka ndani ya Qur’an Tukufu na kutoka kwa Itrah wa Mtume, Ahlul-Bayt wake Watoharifu (amani iwe juu yao), ambavyo ndio vizito vyetu viwili na viongozi wetu baada ya Mtume wetu Muhammad (s.a.w.w). Na kumsoma na kumzungumzia Imam Hassan Al-Mujtaba (s.a), na kujifunza mengi kutoka kwake juu ya Uislamu wetu na Maisha yetu, ni sehemu ya kushikamana kisawa sawa na Ahlul-Bayt (a.s), ambao ndio kizito cha pili kwa ukubwa baada ya Qur’an Tukufu.