Hospitali
-
IRGC: Iran Haina Chaguo Zaidi ya Kujibu Mashambulizi ya Marekani kwa Mujibu wa Qur’an
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) limesema kuwa, kutokana na kutokuwepo kwa taasisi ya kimataifa yenye uwezo au utayari wa kuzuia mashambulizi ya Marekani dhidi ya hospitali, madaraja, reli, viwanja vya ndege, bandari, vituo vya mawasiliano na miundombinu mingine ya kiraia, Iran inalazimika kujibu kwa mujibu wa amri ya Qur’ani: “Na wakikushambulieni, nanyi washambulieni kwa mfano wa yale waliyokushambulieni.”
-
Ayatullah Haj Sayyid Javad Golpayegani:
Ukosoaji wa Kuondolewa kwa Usimamizi wa Hospitali ya Qom Kutoka Mikononi mwa Bait al-Marja’iyya / Upanuzi wa Maktaba kwa Hifadhi ya Vitabu vya Thamani
Ayatullah Haj Sayyid Javad Golpayegani, mtoto wa Marja’ al-Marhumu’ wa Shia aliyefariki, ameelezea baadhi ya vipengele vya maisha na umarja wa baba yake katika mkutano wa waandishi wa habari ulioandaliwa kwa heshima yake. Akimkumbuka baba yake, alirejelea ndoto ya Ayatullah al-Uzma Golpayegani kuhusu msaada wa ghaib wa Imam Zaman (A.J.) kwa Chuo cha Dini cha Qom, akithibitisha kwamba huduma za shule na maktaba zinaendelea hata baada ya kifo chake. Aidha, alikosoa hatua ya kuondolewa kwa usimamizi wa Hospitali ya Qom kutoka chini ya Bait al-Marja’iyya, akionyesha wasiwasi wake kuhusu athari za kiutawala na usimamizi wa hospitali hiyo.
-
Jenerali Qassim Soleimani Aliwahi Kutoa Onyo Kuhusu “Ujasusi wa Luna Al-Shibl”
Jarida la Saudia Al-Majalla limedai kwamba Shahidi Qasem Soleimani aliwahi kuwaonya maafisa wa Syria kuhusu Luna Al-Shibl kuwa jasusi.
-
Waziri Mkuu wa Tanzania Dkt. Mwigulu Atoa Maagizo Mazito: Wajawazito Kuhudumiwa Kwa Haraka na Dawa Kupatikana Hospitalini
Waziri Mkuu amewahakikishia wananchi kuwa Serikali imewekeza fedha nyingi kupitia Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa ajili ya: a) Vifaa tiba, b) Dawa, c) Na maboresho ya miundombinu ya afya.
-
Idadi ya Mashahidi wa Gaza yafikia 64,803
Wizara ya Afya ya Palestina katika Ukanda wa Gaza imetangaza kuwa jumla ya mashahidi katika eneo hilo imefikia watu 64,803.
-
Arubaini ya Imam Hussein (a.s):
Taasisi za Kijamii Nchini Tanzania: BEF na Nyota Foundation Zandaa Tukio la Uchangiaji Damu kwa Upendo na Huruma ya Kibinadamu
Tukio hili limeonesha mshikamano wa kijamii na mshikikano wa kiimani kwa kuenzi mfano wa kujitolea na ubinadamu wa Imam Hussein (a.s), na limekuwa ni ishara muhimu ya mshikamano wa Waislamu na Watanzania wote kwa ujumla katika kusaidia wenzao wenye uhitaji wa Damu Mahospitalini.
-
Kuzaliwa kwa mtoto wa Kiajemi (Muiran) wa Arubaini katika Hospitali ya Zainul-Abidina (a.s) Karbala
Mama mjamzito kutoka mkoa wa Yazd, ambaye alihudhuria matembezi ya Arubaini 1446, amejifungua mtoto wake katika Hospitali ya Hadrat Sayyid Zaynul Aabidin (a.s) mjini Karbala.