Katika taarifa yake ya hivi punde kuhusu tatizo la maji nchini Afghanistan, UNAMA ilisema kuwa zaidi ya watu milioni 10, karibu theluthi moja ya wakazi wa Afghanistan, hawana maji safi ya kunywa na wanatumia vyanzo vya maji visivyo safi.
UNICEF imetangaza hivi karibuni kuwa takriban watoto milioni 4 nchini Afghanistan hawapati elimu kutokana na uhaba wa shule, huduma za afya, na walimu wenye sifa.
"Saeed Ohadi, Mkuu wa Kamati ya Maadhimisho ya Kumkumbuka Shahidi Ayatollah Sayyid Ebrahim Raisi na Mashujaa wengine wa Huduma, ameeleza kwa kina ratiba ya maadhimisho ya kumbukumbu ya mwaka wa kwanza ya mashahidi wa huduma."