Huduma
-
Zaidi ya Raia 30 Wauawa Kufuatia Mashambulizi Kusini mwa Iran, Serikali Yalaani Vikali
Serikali ya Iran imelaani vikali mashambulizi yaliyolenga maeneo ya kusini mwa nchi, yakisababisha vifo vya zaidi ya raia 30, huku ikithibitisha kuwa huduma muhimu na misaada kwa wananchi katika maeneo yaliyoathirika vinaendelea bila kusitishwa.
-
Mamia ya Waandishi wa Habari wa Kimataifa Kuutangaza Msiba wa Mazishi ya Kiongozi Shahidi Tehran
Mkuu wa Mkoa wa Tehran ametangaza kuwa kati ya waandishi wa habari 500 hadi 600 wa kimataifa wanatarajiwa kushiriki katika kuripoti hafla ya mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, sambamba na maandalizi makubwa ya kiafya na kiusalama kwa ajili ya kuhudumia umati mkubwa wa waombolezaji.
-
Iran: Kuachiliwa kwa Fedha Zilizozuiwa, Kuondoka kwa Majeshi ya Kigeni Mashariki ya Kati na Kulipa Ushuru wa Hormuz ni Miongoni mwa Masharti ya Iran
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuachiliwa kwa fedha za Iran zilizozuiwa ni sehemu muhimu ya makubaliano yoyote yajayo, huku akisisitiza kuwa mazungumzo ya sasa yanajikita katika kumaliza vita na masuala ya Lebanon, na kwamba uwepo wa majeshi ya kigeni katika eneo unapaswa kukomeshwa.
-
Zaidi ya Huduma 164,000 za Matibabu Zatolewa kwa Mahujaji wa Iran katika Ardhi Takatifu
Jumuiya ya Hilali Nyekundu ya Iran imetangaza kuwa imewapatia mahujaji wa Iran zaidi ya huduma 164,000 za afya na matibabu wakati wa msimu wa Hija, huku mahujaji tisa wakiripotiwa kulazwa hospitalini na wanne kufariki dunia hadi sasa.
-
Sepah: Njama za Adui Kuangusha Mfumo wa Uongozi wa Kiislamu Zashindwa kwa Busara ya Kiongozi Mkuu wa Iran na Uangalifu wa Wananchi
Jenerali Naeini amesema tangu 13 Juni 2025 adui alilenga kuuangusha mfumo wa Kiislamu wa Iran kwa kusababisha machafuko ya kijamii, lakini kwa busara ya Kiongozi Mkuu Sayyid Ali Khamenei (h.a.) na uangalifu wa wananchi, njama hizo zilivunjika. Pia katika ghasia za 8 Januari 2026 na operesheni ya “Ahadi ya Kweli”, juhudi za adui zilikabiliwa na kushindwa kabisa.
-
Iran Yatilia Mkazo Uwezo wa Kijasusi na Kijeshi: Shambulio Lolote Litajibiwa kwa Haraka na Kwa Nguvu Kubwa
Iran imesisitiza kuwa uwezo wake wa makombora na ulinzi hauzuiliki, na shambulio lolote litapokelewa kwa majibu makali zaidi ya matarajio ya wapangaji.
-
UMOJA WA MATAIFA: Nusu ya Wakazi wa Afghanistan Wanahitaji Msaada wa Kibinadamu
Ofisi ya Mratibu wa Misaada ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa imeonya kuwa mwaka 2026 takribani watu milioni 22 — sawa na asilimia 45 ya watu wa Afghanistan — watahitaji msaada wa dharura wa kibinadamu; huku idadi ya watu wenye uhaba mkali wa chakula ikifikia milioni 17.4 na milioni 5.2 wakiwa katika hatari ya njaa kali.
-
Mwisho mchungu wa ushirikiano wa askari wa Afghanistan na serikali ya Marekani
Wanajeshi wa zamani wa Afghanistan ambao walikuwa wakishirikiana na shirika la ujasusi la Marekani, baada ya miaka mingi ya huduma, sasa wanakabiliwa na matatizo makubwa wakiwa nchini Marekani.
-
Hatari ya kusambaratika Kwa Mfumo wa Afya wa Syria Chini ya Utawala wa al-Jolani
Mamilioni ya raia wa Syria wanateseka chini ya utawala wa al-Jolani kutokana na ukosefu wa dawa na huduma za msingi za afya.
-
Rais Dkt. Pezeshkian azuru Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran na kupongeza mafanikio ya wanasayansi wa sekta ya nyuklia katika huduma za afya
Rais alisema: “Mafanikio haya ni uthibitisho wa uwezo wa vijana na wataalamu wa Kiirani ambao, licha ya vikwazo vya kigeni, wameweza kuendeleza miradi mikubwa ya nyuklia kwa manufaa ya mwanadamu.”
-
Serikali ya Ndani ya Palestina kuanza kufanya kazi kikamilifu Gaza ndani ya mwaka mmoja
Takribani robo ya majeruhi wa mashambulizi ya Israel wamepata ulemavu wa kudumu, na upatikanaji wa huduma na rasilimali katika eneo hilo bado ni mdogo sana.
-
Araqchi: Taliban Haijaheshimu Haki za Waislamu wa Kishia wa Afghanistan
Ikumbukwe kuwa, baada ya kurejea madarakani, Taliban ilifuta rasmi Sheria ya Hali ya Kiraia ya Waislamu wa Kishia, na kuondoa vitabu vyote vya Fiqh ya Ja’fari kutoka vyuo vikuu, shule na maktaba za serikali. Kundi hilo limekuwa likisisitiza kwamba sheria za Afghanistan lazima zitekelezwe kwa mujibu wa Fiqh ya Kihanifi pekee.
-
Ahadi Mpya za Taliban / Ufunguzi wa Shule za Wasichana Wategemea "Kibali cha Kisharia"
Zabihullah Mujahid, msemaji wa serikali ya Taliban, ametangaza kuwa mchakato wa kupata “kibali sahihi cha kisharia” kwa ajili ya kufunguliwa tena shule na vyuo vikuu vya wasichana bado unaendelea. Hii ni baada ya zaidi ya miaka minne ya kunyimwa wanawake na wasichana haki ya msingi ya elimu.
-
Maukib ya Wanafunzi wa Bara la Afrika Katika Nguzo ya 379, Njia ya Najaf hadi Karbala”
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Kwa moyo mkunjufu, linatoa pongezi na shukrani kwa juhudi zenu nzuri kwa kuandaa Maukib hii.
-
Hospitali ya Ebrahim Hajji Charitable Healthcare Yatangaza Upimaji Bure wa Saratani Kwa Wananchi - Dkt. Molloo Aeleza Mpango Kabambe
“Upimaji wa Saratani tofauti kama ya shingo ya kizazi, matiti, na tezi dume kwa wanaume utafanyika bure kabisa. Wengine watapata matibabu hapo hapo na wale wanaohitaji huduma maalum zaidi watapewa rufaa,” alisema Dkt. Molloo.
-
Zaidi ya Watu 10,000 Wanufaika na Huduma za Afya za Khoja Shia Ithnasheri Jamaat – Mwenyekiti Dewji Afichua Mafanikio
Khoja Shia Ithnasheri Jamaat Nchini Tanzania imeendeleza Utaratibu wake wa kutoa Huduma za Afya kwa Maelfu. Dewji ametoa Takwimu Kamili juu ya hilo.