Imam Khomeini (RA)
-
Irani Dhidi ya Magharibi: Kutoka Uzoefu wa Kihistoria Hadi Mapambano ya Kistaarabu ya Leo
Mkutano “Sisi na Magharibi katika Mitazamo na Fikra za Ayatullah Al-Udhma Sayyid Ali Khamenei” wafanyika Tehran.
-
Sayyid Ali Khomeini: “Kama Ubalozi wa Marekani usingelivamiwa, leo tusingekuwa na Makombora wala ishati ya nyuklia"
Akiisisitizia kauli kwamba “uvamizi wa ubalozi wa Marekani uliimarisha uhuru wa Iran,” alisema: “Kama tukio hilo lisingetokea, leo hii Jamhuri ya Kiislamu isingekuwepo, na nchi yetu isingepata teknolojia ya makombora na nishati ya nyuklia, kwani Marekani ilikuwa inapinga maendeleo haya.”
-
Nafasi ya Marājiʿ wa Kishia katika Kulinda Umoja wa Ardhi na Utambulisho wa Kitaifa- Sehemu ya 2 | Marāji ni, Walinzi wa Uhuru wa Nchi za Kiislamu
Mfano mashuhuri ni Ayatullah al-Uzma Sayyid Muhammad Hasan Shirazi, ambaye alitoa Fat'wa maarufu ya kupiga marufuku tumbaku mwaka 1891 huko Iran, hatua iliyozuia njama za kikoloni za Waingereza na kuwa alama ya mapambano ya Kiislamu dhidi ya ukoloni. Vivyo hivyo, Ayatullah Kashif al-Ghita, Ayatullah Muhsin al-Hakim, na Imam Khomeini (r.a) walikuwa mstari wa mbele katika kuhimiza mapambano ya kulinda utu, uhuru, na heshima ya mataifa ya Kiislamu.
-
Ayatullah Malakooti:
"ABNA Ina Wajibu wa Kutambulisha Madhehebu ya Ahlul-Bayt (A.S) Ulimwenguni / Baba Marehemu alikuwa wa Awali Kusaini kuondolewa kwa Shah"
Akizungumza na Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (ABNA) Jumapili, 20 Mehr 1404 (2025), Ayatullah Malakooti alisisitiza umuhimu wa kueleza Ushia kwa usahihi mbele ya upotoshaji. Alieleza kuwa kabla ya Mapinduzi ya Kiislamu, dunia haikuufahamu Ushia kama ilivyostahili; taarifa nyingi zilizokuwepo zilitokana na maandiko ya Ahlus-Sunnah yaliyo na taarifa zisizokamilika au kwa makusudi kutoeleza Ushia kwa usahihi, na hivyo Ushia / Mashia walichukuliwa kama kundi dogo au la upande mmoja.
-
Mpango wa Kubadilisha Paradigm ya Mapinduzi ya Kiislamu; Mbinu ya Ubeberu wa Dunia kwa Ajili ya Kutawala Taifa la Iran
Kikao cha kitaalamu chenye mada ya “Ukosoaji na Uchambuzi wa Mpango wa Kubadilisha Paradigm katika Mapinduzi ya Kiislamu; maana na sababu zake kwa mujibu wa fikra za Imam Khomeini (r.a) na Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu” kimefanyika kwa juhudi za Idara Kuu ya Utafiti wa Kiislamu ya Shirika la Utangazaji la Taifa.
-
Dkt. Pezeshkian: Umoja na Mshikamano Nguvu Yetu Dhidi ya Maadui
Alionya dhidi ya kuvunjika kwa mshikamano wa taifa na urafiki wa majirani, akibainisha kuwa hayo ni malengo ya Marekani na Israel ya kuleta mgawanyiko miongoni mwa Waislamu na nchi za jirani.
-
Imam Khomein Akumbukwa: Mamia Wahudhuria Maadhimisho ya Kifo Chake Jamiat Al-Mustafa, Dar es Salaam
Imam Khomein (ra) anakumbukwa duniani kote kama mtetezi wa wanyonge, hususan kwa msimamo wake thabiti katika kuwatetea Waislamu wa Palestina na wananchi wa Palestina kwa ujumla.
-
Kauli ya Sheikh Omar Jane:
Kiongozi wa Jumuiya ya Maulamaa wa Senegal katika Kikao na Katibu Mkuu Jumuiya ya Kimataifa ya AhlulBayt (as):Iran Ipo Ndani ya Nafsi na Maumbile Yetu
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya AhlulBayt (a.s), akiwa katika makao makuu ya Jumuiya ya Maulamaa wa Senegal, amesisitiza juu ya umuhimu wa umoja wa Kiislamu na kuimarisha uwezo wa kielimu na kidini katika ulimwengu wa Kiislamu. Amesema: “Umoja wa Kiislamu Ni Njia ya Kufikia Mamlaka ya Kiulimwengu”
-
Jopo la Wanawake la Kongamano la 6 la Kimataifa la Quds Tukufu litafanyika
Kongamano hili lenye jina la "Tuelekee Al-Quds" litafanyika siku ya Jumanne, tarehe 25 Machi, 20205 Jijini Tehran, katika jengo la Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (AS).