Kenya
-
Nakuru - Kenya | Khatibu wa Sala ya Ijumaa Sheikh Abdul Ghani Khatibu Aeleza Siri ya Utukufu wa Bibi Fatima (sa) kupitia Hadithi Tukufu za Mtume(saww)
Sheikh Abdul Ghani aliweka wazi kuwa mapenzi ya Mtume (saww) kwa Bibi Fatima (sa) hayawezi kuchukuliwa kwa mtazamo wa kawaida wa mapenzi ya baba kwa binti yake. Badala yake, ni tamko la kiungu na kijamii linalobainisha nafasi yake adhimu katika Uislamu.
-
Kenya - Nairobi | Mazungumzo ya Kiutamaduni: Ubalozi wa Iran na APBET SAK Waimarisha Mafungamano ya Kielimu
APBET (Alternative Provision of Basic Education and Training) ni shule za gharama nafuu nchini Kenya zinazolenga watoto wanaoishi katika maeneo yaliyotengwa kama vile mitaa ya mabanda, makazi duni, na maeneo kame au yenye ukame (ASALs).
-
Kenya yaomboleza kifo cha Waziri Mkuu wa zamani Raila Odinga | Aagwa kwa Heshima Bungeni
Kifo cha Raila kimeacha pengo kubwa katika historia ya kisiasa ya Kenya, na atakumbukwa kama shujaa wa mageuzi na demokrasia nchini humo.
-
Baraza la Utamaduni la Ubalozi wa Iran Nairobi Latuma Salamu za Rambirambi kwa Kumbukumbu ya Kifo cha Mtume Muhammad (s) na Shahada ya Imam Hassan a.s
Siku hii pia inakumbusha shahada ya Imam Hassan (a.s), Imam wa pili katika Ahlul-Bayt (a.s), aliyefahamika kwa msimamo wake wa amani na kujitolea kwake kwa ajili ya haki. Kifo chake ni alama ya mapambano ya kudumu kwa ajili ya uadilifu na uongofu.
-
Balozi wa Iran Nchini Kenya azungumzia: Kukuza Uhusiano wa pande mbili kati ya Iran na Kenya, Umoja wa Kiislamu na Mauaji ya Halaiki Ghaza
Mahojiano hayo yalitoa taswira ya msimamo wa Iran kuhusu masuala ya kimataifa na njia za kuimarisha ushirikiano na nchi za Kiafrika.