Kenya
-
Iran yarusha Kombora la Michezo Kenya | Ni katika Kuimarisha Uhusiano Kupitia Michezo – Kati ya Iran na Kenya
Akizungumza katika kipindi cha Sports Extravaganza kinachorushwa na TV47 na kuendeshwa na Tony Kwalanda, Dkt. Gholampour alisema kuwa michezo ni daraja muhimu la kuunganisha mataifa na jamii.
-
Mshauri wa Utamaduni wa Ubalozi wa Iran, Nairobi Dkt. Ali Pourmarjan amtembelea Mwenyekiti wa Tume ya Kitaifa ya Usawa wa Jinsia ya Kenya Mhe. Rehema
Dk. Pourmarjan, mtetezi kwa bidii wa elimu, alieleza dhamira ya Ubalozi wa Iran Nchini Kenya kuwa ni kutoa ufadhili wa masomo kwa Wanafunzi wanaoishi katika mazingira magumu, kwa lengo la kuwapa fursa bora zaidi kwa maisha yao bora ya baadaye.
-
Mazungumzo ya Biashara Kati ya Kenya na Iran
Mazungumzo makubwa na muhimu ya Iran na Kenya kuhusu kuimarisha uhusiano wa kibiashara baina ya nchi mbili.
-
Sheikh Izzud_Din wa Kenya:
Nakiri kwa sababu nilipotezwa na hisia zangu, naomba radhi na msamaha
"Natumia fursa hii kumuomba radhi Rais wa Tanzania, Dr.Samia Suluhu Hassan kwa kumhusisha katika mazungumzo yangu".