Mwandishi
-
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Iran Awasili Islamabad kwa Ajili ya Kuimarisha Ushirikiano na Pakistan
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Iran, Eskandar Momeni, amewasili Islamabad kwa ziara rasmi ya siku mbili yenye lengo la kuimarisha na kuendeleza ushirikiano wa pande mbili kati ya Iran na Pakistan.
-
Mwandishi wa Lebanon Aikosoa Vyombo vya Habari kwa Msimamo wao Kuhusu Jeshi la Lebanon
Mwandishi wa Lebanon, Laila Amasha, amesema baadhi ya vyombo vya habari nchini humo huonyesha uungaji mkono kwa Jeshi la Lebanon pale tu linapofuata sera za Marekani, huku vikilikosoa pindi linapochukua msimamo wa kujitegemea.
-
Iraq Yajitayarisha kwa Mazishi ya Kihistoria na ya Mamilioni ya Waombolezaji kwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa, kufuatia kuuawa shahidi kwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Imam Sayyid Ali Khamenei, na kutokana na maombi ya mara kwa mara ya wanazuoni, viongozi wa makabila na wasomi wa Iraq, miji mitakatifu ya Najaf na Karbala inajiandaa kupokea mamilioni ya waombolezaji katika mazishi ya kihistoria yatakayofanyika tarehe 8 Julai.
-
Trump: Marekani Itaishambulia Iran na “Kwa Nguvu Kubwa”, Aonya Kurudi kwa Mashambulizi ya Mabomu
Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa Marekani iko tayari kuendelea na mashambulizi dhidi ya Iran kwa nguvu kubwa zaidi, akithibitisha pia uwezekano wa kurejea kwa mashambulizi ya mabomu baada ya swali la mwandishi wa habari kuhusu operesheni hizo.
-
Abdel Bari Atwan: Iran ya Leo Siyo Venezuela; Washington na Tel Aviv Zimekosea Hesabu
Mwandishi na mchambuzi mashuhuri wa masuala ya kisiasa wa Kiarabu, Abdel Bari Atwan, amesema viongozi wa Marekani na utawala wa Kizayuni wamefanya makosa makubwa katika tathmini yao kuhusu Iran, akisisitiza kuwa taifa hilo lina uwezo wa kukabiliana na njama za maadui zake.
-
Mtangazaji wa Kuwait Zainab Dashti Ahukumiwa Miaka Mitatu Jela kwa Tuhuma za Kuunga Mkono Iran
Mtangazaji wa televisheni kutoka Kuwait, Zainab Dashti, ameripotiwa kuhukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela kutokana na tuhuma zinazohusiana na kuunga mkono Iran, hatua iliyozua mjadala kuhusu uhuru wa maoni na masuala ya kisiasa.
-
Mustafa Mahmoud: Mataifa Maskini Yasidanganywe na Ahadi za Nguvu Kubwa
Mwanafikra wa Misri, Mustafa Mahmoud, aliwahi kuonya kuwa mataifa yanayoendelea hayapaswi kutegemea ahadi na mikataba ya mataifa makubwa kama dhamana ya usalama na ustawi wao, akisisitiza umuhimu wa kujitegemea kiuchumi, kulinda rasilimali za taifa na kudumisha umoja wa kitaifa ili kukabiliana na changamoto na maslahi ya kisiasa katika mfumo wa kimataifa.
-
Utulivu wa Kumdhukuru Mwenyezi Mungu; Kama Alivyotufundisha Mtume (s.a.w.w)
Miongoni mwa dua za Mtume (s.a.w.w) kwa ajili ya kuondokana na mzigo mzito wa wasiwasi ilikuwa: «اللَّهُمَّ إِنِّی أَعُوذُ بِکَ مِنَ الْهَمِّ وَالْحَزَنِ…»
-
Zaher Al-Mahrouqi katika mahojiano na ABNA:
Mfano wa Somaliland utaenea kwa nchi nyingine / Taa ya kijani kwa hatua hii italigharimu eneo kwa gharama kubwa za kiusalama!
Mwandishi na mchambuzi wa masuala ya kisiasa kutoka Oman, katika mahojiano na ABNA, ameielezea hatua ya Israel ya kuitambua Somaliland kuwa ni jaribio hatari la kulazimisha uhalisia mpya dhidi ya wananchi wa Palestina. Alisisitiza kuwa uamuzi huu si tu ukiukaji wa wazi wa haki za Wapalestina, bali pia unaweza kutathminiwa kuwa sehemu ya mradi wa kuliondoa Gaza wakazi wake na kufanya uhandisi wa idadi ya watu katika eneo.
-
Mwandishi wa habari wa Marekani aliyekuwa mkosoaji wa serikali ya Julani akamatwa na kupelekwa kusikojulikana
Tangu kuingia madarakani, serikali ya Ahmed al-Shar‘a, anayejitambulisha kama rais wa Syria, imekuwa ikizidi kubana uhuru wa maoni na kujieleza, na imewakamata watu kadhaa, wakiwemo baadhi ya walio na ushawishi mkubwa katika mitandao ya kijamii.
-
Uchambuzi wa Jarida la Kizayuni Kuhusu Nguvu ya Makombora na Uwezo wa Kikanda wa Iran: Imara na Inaelekea Kwenye Uzuiaji wa Kisasa Zaidi
Yedioth Ahronoth: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran bado ni miongoni mwa wachezaji wachache wa eneo hili wanaomiliki nguvu halisi ya kuzuia mashambulizi — uwezo ambao licha ya hasara za hivi karibuni, haujapungua bali unaimarika na kufafanuliwa upya.
-
Katika Kikao cha "Nafasi ya Wanawake wa Vyombo vya Habari katika Muqawama (Mapambano - Upinzani) ilibainika:
Kutoka kwa Zainab al-Kubra(s) hadi leo; Karbala ni Chuo cha Habari cha Mwanamke Muumini /Wanawake Waislamu wako mstari wa mbele katika vita vya Habari
Misingi Mitatu ya Wajibu wa Mwanamke Mwislamu katika Ulimwengu wa Habari Kueneza uelewa: Mwanamke Mwislamu anapaswa kuwa sauti ya ukweli, afichue upotoshaji wa vyombo vya habari vya upande wa uongo, na atangaze mateso ya waliodhulumiwa duniani – kuanzia Palestina hadi kila sehemu inayokandamiza utu. Kutetea utambulisho: Vyombo vya habari vya kisasa vinajaribu kumvua mwanamke heshima yake na kumgeuza bidhaa ya matangazo. Mwanamke Mwislamu lazima athibitishe kuwa uhalisia na usasa vinaweza kuishi pamoja, na kwamba heshima hupimwa kwa utiifu wa ujumbe wa Mwenyezi Mungu, si kwa uchi au mvuto wa sura. Kulea kizazi cha waandishi wa kweli: Wajibu wa mwanamke hauishii katika kushiriki binafsi katika vyombo vya habari; anatakiwa kulea kizazi kinachotambua nguvu ya neno na dhamana ya uandishi wa ukweli.
-
Mwandishi wa Kizayuni: Hamas bado ipo hai
"Wapiganaji wa Hamas wameonekana hadharani wakiwa wamevaa sare za kijeshi, jambo linalotoa ujumbe wazi kwa wale wote waliodhani kuwa vita vya miaka miwili vya Israel dhidi ya Hamas viliiangamiza, kwamba dhana hiyo imekuwa si sahihi, kwani Hamas imerejea tena kwa nguvu kwenye uwanja wa mapambano".
-
Ustahimilivu wa waandishi wa habari wa Yemen kutoka Sana'a hadi Gaza:
Kuanzia kwa kuuawa shahidi kwa waandishi wa habari 32 wa Kiyemeni hadi kusimama imara kwa mwandishi wa Al-Masirah chini ya mashambulizi ya mabomu Gaza
Waandishi wa habari wa Kiyemeni walipaa (walipata shahada) wakiwa wamesimama imara katika 'uwanja wa maneno', wakikabiliana na adui na 'mradi wa uharibifu wa uvamizi wa kimataifa' unaoongozwa na Marekani, hadi wakapata shahada.
-
Mtazamo juu ya Septemba ya Umwagaji Damu Lebanon;Kuanzia Jinai za Pagers hadi Subira ya Kistratejia ya Hizbullah baada ya Shahidi “Sayyid wa Muqawama"
Siku hizi ni kumbukumbu ya jinai za kipekee za utawala wa Kizayuni nchini Lebanon – kuanzia milipuko ya pageri hadi mauaji ya makamanda waandamizi wa Hizbullah. Hivyo basi, Septemba ya mwaka uliopita kwa Wana-Lebanon imekuwa mwezi usiosahaulika
-