Nahjul-Balagha
-
Somo la Kijamii kutoka ndani ya Nahjul - Balagha: "Udhaifu wa mtu na wa jamii unajitokeza pale ambapo watu hawashirikiani kwa maslahi ya Jamii"
Amirul Mu’minin (a.s) anatufundisha kupitia Nahj al-Balagha kwamba udhaifu wa mtu na wa jamii unajitokeza pale ambapo watu hawashirikiani na kushirikiana kwa bidii kwa maslahi ya jamii. Ushirikiano na kusaidiana ni msingi wa jamii yenye afya na yenye usawa, huku uvivu na kutotimiza wajibu wa kijamii ukileta hasara.
-
-
Barua za Nahjul Balagha - Barua ya 32 | Mbinu za Muawiya, Njia ya Vyombo vya Habari vya Kigeni vya Leo
Mbinu za vyombo vya habari katika kueneza batili na kuunda shubha ili kuwazamisha watu ndani ya fikra zisizo za Kimungu zimekuwa zikitumiwa na wapinzani wa njia ya haki katika vipindi vyote vya historia. Ingawa njia hizi hubadilika kulingana na zama, malengo yao hubaki yale yale. Kurejea mbinu hizi katika mojawapo ya barua za Imam Ali (a.s) kwa Muawiya na kulinganisha na mbinu za vyombo vya habari vya kigeni katika ulimwengu wa leo kunadhihirisha ukweli kwamba “Muawiya na wanaofanana naye” katika historia wamejitahidi kupotosha wengine ili kufikia malengo yao wenyewe-juhudi ambazo hatimaye hupelekea maangamizi yao pamoja na maangamizi ya wale wanaowafuata.
-
Nafasi Muhimu ya Nahjul-Balagha katika Elimu ya Bara Hindi:
Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (as) na Kituo cha Fikra za Kiislamu Waandaa Webina ya Kimataifa Kuhusu Nafasi Muhimu ya Nahjul-Balagha katika Elimu
Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) kwa kushirikiana na Kituo cha Fikra za Kiislamu wameandaa webina ya kimataifa iliyopewa jina: “Hadhi ya Nahj al-Balagha katika Bara la Hindi na Nafasi Yake katika Elimu.” Tukio hili limefanyika Jumamosi, tarehe 15 Novemba 2025.
-
Tone kutoka Nahjul-Balagha 27 | Kuheshimu Hadhi ya Imamu ni Nini?
Matokeo ya utiifu ni nini?. Amirul-Mu’minin Ali bin Abi Talib (AS) katika khutba ya 156 anasema: «إِنْ أَطَعْتُمُونِی فَإِنِّی حَامِلُکُمْ إِنْ شَاءَ اللَّهُ عَلَی سَبِیلِ الْجَنَّةِ» Yaani: “Mkinitii mimi – mimi kama Imamu– bila shaka nitawaongoza katika njia ya Peponi"
-
Hotuba ya 22 ya Nahjul-Balagha: Njia za Kihistoria za Kurejesha Batili!
Katika sehemu hii ya hotuba, Imam Ali (a.s) anasisitiza kwamba vyombo vya habari na mbinu za kisaikolojia ni silaha kuu za Shetani na wafuasi wake katika kujaribu kurejesha dhulma na uongo katika jamii.
-
Irada ya Mwanadamu; Ufunguzi wa Mafanikio na Furaha katika Mafundisho ya Qur’ani na Hadithi
Mtazamo wa Qur'an kuhusu Irada: Qur’ani Tukufu inamueleza mwanadamu kuwa kiumbe mwenye uhuru wa kuchagua na mwenye kuwajibika: “Hakika Mwenyezi Mungu habadilishi yaliyoko kwa watu mpaka wabadilishe yaliyoko katika nafsi zao.” (Sura ya Ra’d, aya 11).
-
Barua ya 18 ya Nahjul Balagha / Onyo kwa Viongozi wote wa Serikali ya Kiislamu
Barua ya kumi na nane (18) ya Nahjul Balagha, ingawa imeandikwa kwa jina la Abdullah bin Abbas, gavana wa Basra wakati huo, lakini inapaswa kuchukuliwa kama onyo kwa viongozi wote wa serikali katika historia yote. Onyo hili linapaswa kuwa mwongozo wa kila mtu anayepewa nafasi au jukumu katika taasisi mbalimbali za mfumo wa Kiislamu.
-
"Wema Hauozi, Dhambi Haisahauliki, Allah Hafi, Utalipwa kama Ulivyotenda" | Ni Maneno Mazito kutoka katika Vyanzo vya Kiislamu
Maneno haya ni wito wa kutuweka kwenye mstari wa Ucha Mungu, uwajibikaji wa nafsi, na kujiepusha na dhambi kwa kutambua kuwa hakuna kisichojulikana mbele ya Mwenyezi Mungu (swt).