Netanyahu
-
Haaretz: Enzi ya utawala wa Marekani na zama za Netanyahu zimefikia mwisho
Gazeti la Kiebrania la Haaretz limesema kuwa baada ya vita vya hivi karibuni, Iran imekaribia zaidi nafasi ya kuwa nguvu kuu ya kikanda katika Ghuba ya Uajemi, huku likidai kuwa enzi ya utawala wa Marekani, mfumo wa dunia wa upande mmoja na zama za Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu zimefikia mwisho.
-
Ayatollah Araki Akihutubia Vijana Duniani:
“Kumwaga damu ya Trump, Netanyahu na washirika wao ni ‘wajibu’; vijana wenye ari duniani kote watekeleze hukumu ya Mwenyezi Mungu”
Ayatollah Araki amesisitiza kwamba: “Ujumbe wa Kiongozi Mkuu na mpendwa kuhusu kulipiza damu ya Imam shahidi na mashahidi wote ni amri ya ‘wajibu wa kutii’. Na kwa wale wote wanaoweza kwa namna yoyote kuchangia katika kutekelezwa kwa jambo hilo, ni wajibu kuchukua hatua zinazohitajika haraka.”
-
Ayatollah Khatami: Trump na Netanyahu Hawatakuwa na Usingizi wa Amani
Mwanachama wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Elimu ya Kiislamu ya Qom amesema kuwa ibada za mazishi ya Kiongozi aliyefariki akiwa shahidi katika maeneo mbalimbali ya nchi zimegeuka kuwa jukwaa la umoja, mshikamano na kuhuisha ahadi ya utii kwa Mapinduzi ya Kiislamu. Amesisitiza kwamba: “Trump na Netanyahu hawatakuwa na usingizi wa amani.”
-
Ripoti: Trump Aanza Kutilia Shaka Taarifa Anazopokea Kutoka kwa Netanyahu
Ripoti mpya zinaeleza kuwa Rais wa Marekani, Donald Trump, ameanza kuchunguza kwa makini taarifa anazopewa na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, akiwahoji mara kwa mara maafisa wake kuhusu usahihi wa maelezo hayo.
-
Netanyahu Awataka Raia wa Lebanon Kuungana na Israel Dhidi ya Hezbollah
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ametoa wito kwa raia wa Lebanon kujitenga na Hezbollah, akidai kuwa kundi hilo limeishikilia nchi hiyo “mateka” na kusisitiza kuwa Israel haina uhasama na wananchi wa Lebanon.
-
Netanyahu Aomba Msaada wa Urusi Kutuliza Iran Kuhusu Hofu ya Mashambulizi
Inadaiwa kuwa Netanyahu alimwomba Rais wa Urusi, Vladimir Putin, kufikisha ujumbe huo kwa viongozi wa Iran.
-
Kufichuliwa kwa muundo wa siri wa utawala wa Kizayuni kwa ajili ya kukwepa uwajibikaji / Haki iko chini ya upanga wa fedha na nguvu ya utawala
Tovuti ya Kifaransa Mediapart, kwa ushirikiano na vyombo vingine nane vya habari vya Ulaya, kupitia mradi unaoitwa “Faili za Utawala wa Kizayuni”, imefichua kuundwa kwa kitengo cha siri ndani ya Wizara ya Sheria ya utawala huo.
-
Netanyahu: Uwepo wa Uturuki Gaza ni mstari mwekundu kwa Israel
Vyombo vya habari vya Israeli vimereport kuwa Binyamin Netanyahu amekataa kabisa hatua yoyote ya Uturuki kushiriki katika Ardhi ya Ukanda wa Gaza.
-
Netanyahu: "Tutaendelea Kuwalenga Viongozi wa Hamas"
Kiongozi wa serikali ya Kizayuni (Israel) katika mkutano wa waandishi wa habari pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, alitetea shambulio la uvamizi la taifa hilo dhidi ya Qatar lililolenga kuuwa viongozi wa Hamas, na hakukatisha nafasi ya kuonyesha kuwa shambulio kama hilo linaweza kurudiwa dhidi ya nchi nyingine za eneo.
-
Profesa wa Chuo Kikuu cha Columbia katika mahojiano na ABNA: Trump hana sifa ya kupokea tuzo yoyote ya amani kwa sababu ya kushambulia Iran
Profesa Robert Shapiro: Trump hajali kuhusu jinai zinazotokea Gaza. Anaunga mkono kufunguliwa mashtaka kwa viongozi wa Hamas – yeyote ambaye bado yuko hai – lakini si kwa viongozi wa Kizayuni. Yeye anaitetea kabisa Israel.