Netanyahu
-
Tamko la Maulamaa 100 wa Ulimwengu wa Kiislamu: Trump na Netanyahu ni Maadui wa Mwenyezi Mungu
Marekani na Israel ni wakiukaji wakubwa wa Haki za Binadamu na waendelezaji wa vita visivyo halali dhidi ya Mataifa ya Kiislamu (Palestina, Yemen, Lebanon, Iraq, Iran n.k).
-
Kukimbia kwa Timu ya Serikali ya Utawala Ghasibu wa Kizayuni (Israel) katika Miji tofauti wakiogopa mvua ya Makombora ya Iran
Hivi sasa, kwa ujumla utaratibu wa vikao vya serikali hii ya Kizayuni ni chini ya ardhi.
-
Wazayuni wakiwa wamejificha kwenye Mapango chini ya Ardhi wakiogopa Mvua ya Makombora ya Iran
Hii imekuwa ndio Hali yao ya Usiku na Mchana, lazima wakimbie na kushinda sehemu za kujihifadhi kwa sababuuda wote Mvua ya Makombora inanyesha juu yao.
-
Hamas: Dhana ya Netanyahu ya "ushindi kamili" ni ndoto tu
Harakati ya Hamas imesisitiza kuwa upinzani dhidi ya mauaji ya kimbari dhidi ya raia umeanzisha vita vya kuvunja nguvu za adui, ambapo kila siku wanatumia mbinu mpya za uwanjani kumshangaza adui.
-
Safari ya Netanyahu kuelekea Marekani imeisha kwa kasi isiyo ya kawaida!
Chombo cha Habari cha Kiebrania kilifichua sababu iliyomfanya Waziri Mkuu wa Israel kuitwa katika Ikulu ya White House kukutana na Rais wa Marekani.
-
Netanyahu amesafiri njia ndefu kutoka Budapest hadi Washington ili kukwepa kukamatwa
Vyombo vya habari vya Israel vimetangaza leo kwamba kutokana na hati ya kukamatwa iliyotolewa dhidi ya Waziri Mkuu wa utawala huu, ndege iliyombeba ilibidi ichukue njia ndefu zaidi kuelekea Washington.
-
Netanyahu: Kuendelea kuwepo kwa Hamas huko Gaza kunamaanisha kushindwa kwa Israel
Katika taarifa yake mpya, Netanyahu ameonya dhidi ya Hamas kubakia katika Ukanda wa Gaza.