22 Julai 2025 - 22:05
Tamko la Maulamaa 100 wa Ulimwengu wa Kiislamu: Trump na Netanyahu ni Maadui wa Mwenyezi Mungu

Marekani na Israel ni wakiukaji wakubwa wa Haki za Binadamu na waendelezaji wa vita visivyo halali dhidi ya Mataifa ya Kiislamu (Palestina, Yemen, Lebanon, Iraq, Iran n.k).

Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Maulamaa na Wanazuoni 100 kutoka ulimwengu wa Kiislamu wametoa tamko rasmi wakitoa hukumu ya Muharibu (Adui wa Mwenyezi Mungu na Ubinadamu) dhidi ya Donald Trump (ambaye anatambuliwa na kuelezwa kama "mchezaji kamari") na Benjamin Netanyahu (anayetambulika "gaidi na mhalifu wa kivita").

Tamko hilo limekuja kufuatia uhalifu wao dhidi ya Waislamu na Ubinadamu, likitaja ukiukwaji mkubwa wa Haki za Binadamu na kuendeleza vita visivyo halali dhidi ya Mataifa ya Kiislamu (Palestina, Yemen, Lebanon, Iraq, Iran n.k).

Tags

Your Comment

You are replying to: .
captcha