palestina
-
Sayyid Abdul Malik al-Houthi, amesema: "Fungueni njia kuelekea Palestina. Yemen iko tayari Kijeshi kwenda kuisaidia Palestina"
"Huu ni wakati wa Jihad, na taifa letu la Yemen liko tayari kwa mamia ya maelfu ya wapiganaji kuisaidia Palestina.
-
Wataalamu wa Kieneo katika Mahojiano na ABNA: Njaa ya kimfumo dhidi ya watu wa Gaza ni uhalifu usio na kifani na doa la aibu juu ya uso wa Binadamu
Jinai za uharibifu kamili wa ardhi, watu na kila dalili za maisha katika ardhi za Palestina inayokaliwa kwa mabavu (na Utawala wa Kizayuni) zinaakisi matamanio ya jeshi la Netanyahu kuwa tawi la uhalifu wa kimataifa katika ardhi za Kiislamu.
-
Tamko la Maulamaa 100 wa Ulimwengu wa Kiislamu: Trump na Netanyahu ni Maadui wa Mwenyezi Mungu
Marekani na Israel ni wakiukaji wakubwa wa Haki za Binadamu na waendelezaji wa vita visivyo halali dhidi ya Mataifa ya Kiislamu (Palestina, Yemen, Lebanon, Iraq, Iran n.k).
-
Msemaji wa Jeshi la Yemen: "Tumeushambulia Uwanja wa Ndege wa Ben Gurion"
Operesheni za Yemen zitaendelea hadi vita na mzingiro dhidi ya Gaza utakapositishwa.
-
Wananchi wa Yemen wanalenga (wanashambulia) maeneo mbalimbali ya Wazayuni kujibu jinai zinazoendelea kufanywa na Israel
Vikosi vya jeshi la Yemen vimeanzisha operesheni mpya ya ndege zisizo na rubani dhidi ya utawala wa Israel, hatua ambayo kwa mujibu wa duru za Yemen, ilifanyika kujibu mauaji ya raia huko Gaza.
-
Wazayuni sasa waanza kukata tamaa na wengine kujiua, kwao vita ni ngumu Ghaza na Hamasa bado iko hai na imara kuliko hata jana
kumbukwe kuwa Kuna askari wa Marekani pia aliwahi kujiua mwenyewe huko huko Marekani mbele ya ubalozi wa Israel mjini Washington DC.
-
Mimbari ya Imam Hussein (as) - Nchini Malawi | "Tofauti kati ya Mtu anayemjua Imam Hussein (AS) na Asiyemjua Imam Hussein (as)"
Sheikh Abdul Rahman Kachere: "Mtu anayemfahamu Imam Hussein (AS) daima ni jasiri katika kukabiliana na dhulma".Kumjua vizuri Imam Hussein (as) kutawafanya watu wa mataifa mbalimbali kumpinga adui na dhalimu, na kutambua njama za adui na dhalimu dhidi ya mataifa yao, na kuwa tayari kupambana kwa ajili ya kuinusuru Haki, kwa ajili ya kuondoa uistikbari, dhulma na unyonyaji wa mfumo mpya wa ukoloni unaoitwa: Ukoloni mambo leo.
-
Picha iliyochapishwa ya kuuawa shahidi kwa watoto wengine wawili katika milipuko ya leo ya Wazayuni
Utawala haram wa Kizayuni, ni utawala wa kinyama na wenye damu mikononi dhidi ya watoto wadogo wa Ghaza wasiokuwa na hatia. Utawala huu ni kansa katika eneo zima la Mashariki ya kati na dunia kwa ujumla.
-
Siri yafichuka: Mahusiano ya Israel na Viongozi wa sasa wa Serikali ya mpito ya Syria
Mazungumzo ya moja kwa moja kati ya Syria na utawala haram wa Kizayuni (Israel) ni jambo ambalo kwa muda mrefu limeonekana kama hali isiyowezekana kutokana na migogoro ya kihistoria na migawanyiko ya kisiasa.
-
Taarifa kutoka Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kuhusu Wimbi la 17 la Mashambulizi Mchanganyiko dhidi ya Utawala wa Kizayuni
Vituo hivi vimekuwa kitovu cha uovu dhidi ya wadhulumiwa wa Gaza, Lebanon, Yemen, na pia katika vita vilivyowekwa kwa uchokozi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran tangu Kimbunga cha Al-Aqsa kilipoanza.
-
Kiongozi cha Ansarullah Yemen:
"Jinai dhidi ya Iran hata bada ya kusisitiza kuwa haina haja ya silaha za Nyuklia ni kwa sababu ya misimamo imara Iran juu ya kadhia ya Palestina"
Wamagharibi hatwaki kuona Iran ikiwa ni nchi huru, na hii ni kutokana na msimamo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kuwatetea wananchi wa Palestina na kukataa udhalimu wa uvamizi wa Kizayuni kwa ardhi za Taifa la Palestina.
-
Waisraeli 24 wauawa na 592 kujeruhiwa katika mashambulizi ya makombora ya Iran katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu
Ofisi ya habari ya Israel imeripoti kuwa, tangu kuanza mashambulizi ya makombora mazito ya Jamhuri ya Kiislamu ndani ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu, Wazayuni 24 wameuawa na wengine 592 wamejeruhiwa.
-
Wimbi kali la Mashambulizi ya Makombora ya Iran linaendelea katika awamu ya 3 ya Ahadi ya Kweli 3 /Makazi ya Netanyahu na maeneo kadhaa ya kistratijia
Ikinukuu vyanzo vyake vya kijeshi, Redio ya Jeshi la Israel ilithibitisha kurushwa zaidi ya Makombora 50 ya Balistiki kutoka ardhi ya Iran, na ving'ora vya kengele ya hali ya hatari vilisikika katika maeneo yote yanayokaliwa kwa mabavu ya Palestina.
-
Hamas: Dhana ya Netanyahu ya "ushindi kamili" ni ndoto tu
Harakati ya Hamas imesisitiza kuwa upinzani dhidi ya mauaji ya kimbari dhidi ya raia umeanzisha vita vya kuvunja nguvu za adui, ambapo kila siku wanatumia mbinu mpya za uwanjani kumshangaza adui.
-
Idadi ya waliouawa Gaza imefikia watu 54,880 | Hali ni mbaya sana na watu wengi wanahitaji msaada wa kibinadamu
Hali ya Gaza inaendelea kuwa mbaya kutokana na mashambulizi ya hivi karibuni ya utawala wa Kizayuni. Wizara ya Afya ya Palestina imetangaza kuwa ndani ya saa 24 zilizopita watu 108 wamepoteza maisha na wengine 393 wamejeruhiwa. Jumla ya waliofariki tangu kuanza kwa mashambulizi haya imezidi kufikia watu 54,000. Hali hii inahitaji mshikamano wa kimataifa ili kusitisha ukatili huu na kuanzisha mazungumzo ya amani.
-
Mwakilishi wa Palestina katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa: "Fanikisha kuwasukuma Waisraeli kusitisha mauaji ya kimbari yanayoendelea"
Mwakilishi wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa amemshitaki utawala wa Kizayuni wa Israel kwa ukiukaji wa sheria za kimataifa na hukumu za Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICC), na kuhimiza hatua madhubuti kutoka kwa nchi za dunia ili kuzuia uhalifu unaoendelea wa utawala huo katika Ukanda wa Gaza. Ametoa msisitizo kuwa mashambulizi yanayofanywa mara kwa mara na Israel dhidi ya raia wasio na hatia na kuzuia misaada ya kibinadamu kuingia, ni hali inayotakiwa kupokelewa kwa uzito mkubwa na jamii ya kimataifa.
-
Upanuzi wa kampeni ya kususia bidhaa za Israel: Kutoka New Delhi hadi maeneo mbalimbali ya India
Waandaji wa kampeni hii wamesema kuwa lengo ni kuonyesha upinzani wao dhidi ya uhalifu unaoendelea wa utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina na kushinikiza kwamba baadhi ya chapa za kimataifa zinashiriki kifedha kwa ajili ya kuunga mkono utawala huu.
-
Ansarullah: Operesheni za Kijeshi za Yemen Zitaendelea Kuongezeka Taratibu
Mwanachama wa Ofisi ya Kisiasa ya Ansarullah Yemen amesisitiza kuwa ikiwa uvamizi wa utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukanda wa Gaza utaendelea, basi operesheni za kijeshi za Yemen zitaendelea kuongezeka taratibu.
-
"Vita vya Gaza vimesababisha Wapalestina 1,500 kupoteza uwezo wa kuona"
Wizara ya Afya ya Palestina imetangaza leo Jumapili kuwa, kutokana na vita na kuzidi kwa mzingiro unaoendelea wa jeshi la utawala wa Kizayuni dhidi ya Gaza, Wapalestina 1,500 wamepoteza uwezo wao wa kuona.
-
Katika mkutano na maelfu ya wafanyakazi kutoka kote nchini:
Kiongozi wa Mapinduzi ametoa uungaji mkono kamili kwa jamii ya wafanyakazi / Fikira zisikengeushwe kutoka kwenye suala la Palestina
Ayatollah Khamenei pia alisisitiza kuwa, pamoja na kuendelea kwa jinai na mauaji ya kikatili dhidi ya watu wa Gaza na Palestina yanayofanywa na utawala wa Kizayuni kwa msaada wa Marekani na Uingereza, mataifa yanapaswa kusimama dhidi ya utawala wa Kizayuni na wafuasi wake, na wasiruhusu masuala yanayohusu Palestina kusahaulika.
-
Hasira za Wafuasi wa Uzayuni Kufuatia Matokeo ya Uchaguzi wa Canada / Mark Carney na Msimamo Wake wa Kizayuni Dhidi ya Palestina
Matokeo ya uchaguzi wa karibuni nchini Canada yamezua ghadhabu miongoni mwa wafuasi wa utawala wa Kizayuni, hasa baada ya ushindi wa Mark Carney, mwanasiasa ambaye anajulikana kwa msimamo wake wa kihafidhina zaidi kuhusu suala la Palestina. Mabadiliko haya katika mwelekeo wa siasa za Canada yamewafanya baadhi ya wafuasi mashuhuri wa Kizayuni kuonesha hali ya kukata tamaa, huku wakitoa ukosoaji mkali dhidi ya mazingira mapya ya kisiasa yanayoweza kuathiri uhusiano wa karibu wa Canada na Israel.Hofu kuu ya makundi hayo ni kwamba sera mpya zinaweza kupunguza uungaji mkono wa wazi kwa Israel, na kufungua nafasi kwa mijadala mikali zaidi kuhusu haki za Wapalestina katika siasa za ndani na nje ya Canada.
-
Onyo Kuhusu Mradi wa "Kuisahau Palestina" – Njama ya Kimataifa kwa Ushirikiano wa Viongozi wa Kiarabu
Kiongozi wa Harakati ya Kuamsha Ummah wa al-Mustafa: Kusahau Kadhia ya Palestina ni Njama Hatari na Usaliti Usiosameheka. Kiongozi wa Harakati ya Kuamsha Ummah wa Mustafa, katika hotuba yake ya hivi karibuni mjini Lahore, amekosoa vikali ukimya wa ulimwengu wa Kiislamu mbele ya uhalifu wa utawala wa Kizayuni dhidi ya watu wa Palestina. Amesema kuwa kusahaulika kwa suala la Palestina ni njama hatari na usaliti usiosameheka, na akasisitiza kwamba ukimya huu – kuanzia vyombo vya habari hadi baadhi ya Serikali za Kiarabu – ni sehemu ya mradi wa kufuta kwa taratibu Palestina kutoka kwenye kumbukumbu ya Ummah wa Kiislamu.
-
Uturuki imefunga anga lake kwa ndege za Israel, ikiwa ni pamoja na ndege ya Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu
Uturuki imetangaza rasmi kuwa imefungia anga lake kwa ndege za Israel, ikiwa ni pamoja na ndege ya Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu, na haitatoa ruhusa yoyote kwa safari yake kwenda Azerbaijan. Hatua hii imechukuliwa kutokana na sera za utawala wa Israel kuhusu Gaza, na Uturuki inaendelea kuunga mkono haki za watu wa Palestina.
-
Je, jinai ya Palestina ni kweli kuwa inaungwa mkono na Iran ya Kishia?!
Wakati picha za kutisha za mauaji ya halaiki huko Gaza zimeamsha dhamiri za wanadamu kote ulimwenguni, ukimya mzito katika baadhi ya jamii za Kiislamu, haswa kati ya duru za kidini, unatia shaka. Kwa nini baadhi ya watu wanauita Upinzani (Muqawamah) huu "wa Kidini" au "Kisiasa" na kuondoa uungaji mkono wao wakati Hamas, Hezbollah, au Iran inaposimama dhidi ya Israel?!, Je, (kupinga) dhulma na ukandamizaji kwa Wapalestina unahitaji idhini ya Madhehebu?
-
Usitishaji vita wa siku 70 huko Gaza; Je, Tel Aviv itakubali na kutii makubaliano hayo?
Mazungumzo kati ya Hamas na Mamlaka ya Misri Mjini Cairo yanaendelea kufanikisha usitishaji vita katika Ukanda wa Gaza. Makubaliano hayo yanajumuisha kuachiliwa kwa idadi kadhaa ya wafungwa wa Israel na Palestina na iwapo yatakubaliwa, yanaweza kusaidia kuboresha hali ya kibinadamu katika eneo hilo. Walakini, Tel Aviv bado haijajibu vyema kwa makubaliano ya mwisho.
-
Mwenyekiti wa Baraza la Ulamaa wa Pakistan: Mahali pa mwisho pa mradi wa "Israeli Kubwa" ni Makka na Madina
Mkuu wa Baraza la Ulamaa wa Pakistan alionya kwamba mradi wa "Israeli Kubwa" unatafuta udhibiti wa mwisho juu ya Madina na Makka.
-
Jeshi la Israel linapanga njama ya kuteka 50% ya Ukanda wa Gaza
Jeshi la Israel linapanga kudhibiti asilimia 50 ya Ukanda wa Gaza ikiwa kutakuwa hakuna maendeleo katika mazungumzo ya pande mbili.
-
Wito wa Maandamano kufuatia Mashambulizi ya kikatili ya utawala wa Kizayuni
Kufuatia mashambulio hayo ya kinyama ya utawala wa Kizayuni, Baraza la Uratibu wa Tabligh za Kiislamu limetoa taarifa likiwaalika Wananchi Watukufu wa Tehran kushiriki katika maandamano yatakayofanyika kesho katika Medani ya Palestina.
-
Katuni | Hakuna njia ya kutokea na kukimbia huko Gaza
Watoto wa Kipalestina wanatamani sana Msaada kutoka kwa Mashirika ya Kimataifa.
-
Mwenyekiti wa Bunge la Umoja wa Waislamu wa Pakistan:
Kila siku huko Gaza ni Apocalypse (Zama za Mwisho / Mwsiho wa Dunia) / Ukimya wa watawala wa Kiarabu unatia uchungu zaidi kuliko uhalifu (jinai)
Mwenyekiti wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan amesema: "Tukio chungu zaidi si tukio la uhalifu unaofanyika dhidi ya Gaza, bali ni kile kimya kinachojiri katika Kasri za watawala wa Kiislamu na Kiarabu." Lugha zilizokuwa zikizungumza kutetea Uislamu sasa hivi zinalamba nyayo za madola ya kibeberu.