palestina
-
Malta Yaitambua Rasmi Palestina
Malta imetangaza kuwa leo itaikubali rasmi Palestina kama taifa huru.
-
Umoja wa Mataifa Wakaribisha Hatua ya Uingereza, Kanada na Australia Kuhusu Palestina
Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika taarifa yake amesema kuwa hatua ya kutambua rasmi Taifa la Palestina iliyochukuliwa na Uingereza, Kanada na Australia ni jambo muhimu na la kimaendeleo, kama sehemu ya suluhisho linalojulikana kama mpango wa mataifa mawili.
-
Javier Bardem na Wasanii wa Hollywood Walaani Mauaji ya Kimbari ya Israel Katika ukanda wa Gaza - Wakiwa katika Hafla ya Tuzo za Emmy 2025
Javier Bardem, mwigizaji mashuhuri kutoka Hispania, katika hafla ya Tuzo za Emmy 2025 huko Los Angeles, alivutia hisia za hadhira kwa kuvaa kofia ya Kipalestina (kufiya) na kutamka kwa uwazi: "Nipo hapa kulaani mauaji ya kimbari yanayoendelea Gaza. Uhuru kwa Palestina!" Alieleza msimamo wake wa wazi na wa moja kwa moja dhidi ya ukatili wa Israel, na aliungwa mkono na wengi waliokuwepo ukumbini. Aidha, Bardem alitangaza kuwa anaunga mkono kampeni ya kususia kampuni na taasisi zinazoshirikiana na utawala wa Kizayuni (Israel), na akasambaza ujumbe wake wa mshikamano na Palestina kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii. Maana ya hatua yake: Kauli na kitendo cha Javier Bardem kinaashiria mshikamano wa wasanii kimataifa na watu wa Palestina, hasa katika nyakati ambapo jukwaa la burudani linaangaliwa na watu wengi duniani. Uvaaji wa chafia na kauli ya wazi ni ishara ya kuhamasisha umma wa kimataifa kushiriki katika harakati za kuunga mkono Palestina.
-
Mkusanyiko wa watu wa Venezuela katika kuunga mkono malengo ya Palestina na kulaani mauaji ya kimbari yanayoendelea Gaza
Katika jimbo la Vargas, Venezuela, vikundi na mashirika ya kijamii, kwa msaada wa "Jukwaa la Mshikamano na Malengo ya Palestina", siku ya Jumamosi tarehe 13 Septemba 2025, walikusanyika pamoja ili: Kulaani mauaji ya kimbari yanayoendelea Gaza, Kuonesha upinzani wao dhidi ya sera na vitisho vya serikali ya Marekani dhidi ya nchi yao, Na kusisitiza juu ya haki ya Venezuela ya kujitawala kama taifa.
-
Prof. Pillar | "Kutambuliwa kwa Palestina na Ulaya Ni Ishara Tu ya Kidiplomasia"
“Ahadi za kuitambua Palestina bado ni hatua ya kidiplomasia tu. Mradi tu Israel inaendelea kuikalia ardhi ya Palestina, taifa la kweli la Palestina haliwezi kusimama"
-
Jeshi la Yemen Lashambulia Tel Aviv kwa Makombora ya “Falastin-2” na “Dhulfikar”
"Adui wa Kizayuni hatapata usalama wala utulivu. Mashambulizi yetu yataendelea kwa kasi kubwa zaidi katika hatua ijayo.”
-
Macron: Kuzuia Palestina Kushiriki Mkutano wa Umoja wa Mataifa ni Kitendo Kisichokubalika
Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, amelaani uamuzi wa Marekani wa kutowapa viza maafisa wa Palestina kwa ajili ya kushiriki katika mikutano ijayo ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, akisema kuwa kitendo hicho hakikubaliki kabisa.
-
Chama cha Kimataifa cha Utafiti wa Mauaji ya Kimbari: Israel Imetekeleza Mauaji ya Kimbari Gaza
Rais wa chama kikubwa zaidi duniani cha wataalamu wa masuala ya mauaji ya kimbari (IAGS) ametangaza kuwa taasisi hiyo imepitisha azimio linalothibitisha kuwa vitendo vya Israel katika Ukanda wa Gaza vinaendana na vigezo vya kisheria vya mauaji ya kimbari.
-
Ujumbe wa Rambirambi kutoka kwa Ayatullah Dori Najafabadi kwa Watu wa Yemen: "Ushujaa wa Mashahidi Utaimarisha Umoja Dhidi ya Adui wa Kizayuni"
Ninawapa pole familia za mashahidi hawa wapendwa na wananchi wote wa Yemen. Tunawakumbuka mashahidi wote wa Uislamu: kuanzia mashahidi wa tukio la Fakh, mashahidi wa Palestina, Lebanon, na mashahidi wetu wa Iran kama vile Shahidi Qassem Soleimani na wengine.
-
Kukanushwa kwa Taarifa za Kuuawa kwa Abu Ubaidah / Onyo kutoka kwa Muqawama ya Kiislamu Kuhusu Uvumi
Muqawama ya Palestina yakanusha uvumi wa kuuawa kwa msemaji wa Brigedi za al-Qassam, Abu Ubaidah.
-
Idadi ya Mashahidi Gaza Yaongezeka Hadi 62,122
Wizara ya Afya ya Palestina katika Ukanda wa Gaza imetangaza kuwa baada ya kuuwawa kwa watu wengine 58 kutokana na mashambulizi ya jeshi la utawala wa Kizayuni, idadi ya jumla ya mashahidi imefikia 62,122.
-
Mmiliki wa Mawkibu Muiraq Katika Mahojiano na ABNA:
Arubaini ni fursa yenye thamani kubwa ya kubainisha uhalisia wa Jamhuri ya Kiislamu na tabia ya kinyama ya Israel
Mmiliki wa Mawkibu kutoka Iraq, akisisitiza umuhimu wa Jihadi ya Kuelimisha katika siku za Arubaini ya Imam Hussein (a.s), amesema kuwa siku hizi ni fursa muhimu ya kuwapa uelewa mataifa mbalimbali.
-
Alim wa Kishia wa Pakistan:
Waarabu kwa Usaliti Wao Wameiacha Palestina Ikiwa na Majeraha Makubwa Yasiyotibika
Mmoja wa maulamaa mashuhuri wa Kishia nchini Pakistan amesema kuwa usaliti wa Uturuki, baadhi ya nchi za Kiarabu na washirika wao umeacha majeraha makubwa yasiyoweza kupona katika mwili wa Palestina.
-
Sayyid Abdul Malik al-Houthi, amesema: "Fungueni njia kuelekea Palestina. Yemen iko tayari Kijeshi kwenda kuisaidia Palestina"
"Huu ni wakati wa Jihad, na taifa letu la Yemen liko tayari kwa mamia ya maelfu ya wapiganaji kuisaidia Palestina.
-
Wataalamu wa Kieneo katika Mahojiano na ABNA: Njaa ya kimfumo dhidi ya watu wa Gaza ni uhalifu usio na kifani na doa la aibu juu ya uso wa Binadamu
Jinai za uharibifu kamili wa ardhi, watu na kila dalili za maisha katika ardhi za Palestina inayokaliwa kwa mabavu (na Utawala wa Kizayuni) zinaakisi matamanio ya jeshi la Netanyahu kuwa tawi la uhalifu wa kimataifa katika ardhi za Kiislamu.
-
Tamko la Maulamaa 100 wa Ulimwengu wa Kiislamu: Trump na Netanyahu ni Maadui wa Mwenyezi Mungu
Marekani na Israel ni wakiukaji wakubwa wa Haki za Binadamu na waendelezaji wa vita visivyo halali dhidi ya Mataifa ya Kiislamu (Palestina, Yemen, Lebanon, Iraq, Iran n.k).
-
Msemaji wa Jeshi la Yemen: "Tumeushambulia Uwanja wa Ndege wa Ben Gurion"
Operesheni za Yemen zitaendelea hadi vita na mzingiro dhidi ya Gaza utakapositishwa.
-
Wananchi wa Yemen wanalenga (wanashambulia) maeneo mbalimbali ya Wazayuni kujibu jinai zinazoendelea kufanywa na Israel
Vikosi vya jeshi la Yemen vimeanzisha operesheni mpya ya ndege zisizo na rubani dhidi ya utawala wa Israel, hatua ambayo kwa mujibu wa duru za Yemen, ilifanyika kujibu mauaji ya raia huko Gaza.
-
Wazayuni sasa waanza kukata tamaa na wengine kujiua, kwao vita ni ngumu Ghaza na Hamasa bado iko hai na imara kuliko hata jana
kumbukwe kuwa Kuna askari wa Marekani pia aliwahi kujiua mwenyewe huko huko Marekani mbele ya ubalozi wa Israel mjini Washington DC.
-
Mimbari ya Imam Hussein (as) - Nchini Malawi | "Tofauti kati ya Mtu anayemjua Imam Hussein (AS) na Asiyemjua Imam Hussein (as)"
Sheikh Abdul Rahman Kachere: "Mtu anayemfahamu Imam Hussein (AS) daima ni jasiri katika kukabiliana na dhulma".Kumjua vizuri Imam Hussein (as) kutawafanya watu wa mataifa mbalimbali kumpinga adui na dhalimu, na kutambua njama za adui na dhalimu dhidi ya mataifa yao, na kuwa tayari kupambana kwa ajili ya kuinusuru Haki, kwa ajili ya kuondoa uistikbari, dhulma na unyonyaji wa mfumo mpya wa ukoloni unaoitwa: Ukoloni mambo leo.
-
Picha iliyochapishwa ya kuuawa shahidi kwa watoto wengine wawili katika milipuko ya leo ya Wazayuni
Utawala haram wa Kizayuni, ni utawala wa kinyama na wenye damu mikononi dhidi ya watoto wadogo wa Ghaza wasiokuwa na hatia. Utawala huu ni kansa katika eneo zima la Mashariki ya kati na dunia kwa ujumla.
-
Siri yafichuka: Mahusiano ya Israel na Viongozi wa sasa wa Serikali ya mpito ya Syria
Mazungumzo ya moja kwa moja kati ya Syria na utawala haram wa Kizayuni (Israel) ni jambo ambalo kwa muda mrefu limeonekana kama hali isiyowezekana kutokana na migogoro ya kihistoria na migawanyiko ya kisiasa.
-
Taarifa kutoka Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kuhusu Wimbi la 17 la Mashambulizi Mchanganyiko dhidi ya Utawala wa Kizayuni
Vituo hivi vimekuwa kitovu cha uovu dhidi ya wadhulumiwa wa Gaza, Lebanon, Yemen, na pia katika vita vilivyowekwa kwa uchokozi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran tangu Kimbunga cha Al-Aqsa kilipoanza.
-
Kiongozi cha Ansarullah Yemen:
"Jinai dhidi ya Iran hata bada ya kusisitiza kuwa haina haja ya silaha za Nyuklia ni kwa sababu ya misimamo imara Iran juu ya kadhia ya Palestina"
Wamagharibi hatwaki kuona Iran ikiwa ni nchi huru, na hii ni kutokana na msimamo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kuwatetea wananchi wa Palestina na kukataa udhalimu wa uvamizi wa Kizayuni kwa ardhi za Taifa la Palestina.
-
Waisraeli 24 wauawa na 592 kujeruhiwa katika mashambulizi ya makombora ya Iran katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu
Ofisi ya habari ya Israel imeripoti kuwa, tangu kuanza mashambulizi ya makombora mazito ya Jamhuri ya Kiislamu ndani ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu, Wazayuni 24 wameuawa na wengine 592 wamejeruhiwa.
-
Wimbi kali la Mashambulizi ya Makombora ya Iran linaendelea katika awamu ya 3 ya Ahadi ya Kweli 3 /Makazi ya Netanyahu na maeneo kadhaa ya kistratijia
Ikinukuu vyanzo vyake vya kijeshi, Redio ya Jeshi la Israel ilithibitisha kurushwa zaidi ya Makombora 50 ya Balistiki kutoka ardhi ya Iran, na ving'ora vya kengele ya hali ya hatari vilisikika katika maeneo yote yanayokaliwa kwa mabavu ya Palestina.
-
Hamas: Dhana ya Netanyahu ya "ushindi kamili" ni ndoto tu
Harakati ya Hamas imesisitiza kuwa upinzani dhidi ya mauaji ya kimbari dhidi ya raia umeanzisha vita vya kuvunja nguvu za adui, ambapo kila siku wanatumia mbinu mpya za uwanjani kumshangaza adui.
-
Idadi ya waliouawa Gaza imefikia watu 54,880 | Hali ni mbaya sana na watu wengi wanahitaji msaada wa kibinadamu
Hali ya Gaza inaendelea kuwa mbaya kutokana na mashambulizi ya hivi karibuni ya utawala wa Kizayuni. Wizara ya Afya ya Palestina imetangaza kuwa ndani ya saa 24 zilizopita watu 108 wamepoteza maisha na wengine 393 wamejeruhiwa. Jumla ya waliofariki tangu kuanza kwa mashambulizi haya imezidi kufikia watu 54,000. Hali hii inahitaji mshikamano wa kimataifa ili kusitisha ukatili huu na kuanzisha mazungumzo ya amani.
-
Mwakilishi wa Palestina katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa: "Fanikisha kuwasukuma Waisraeli kusitisha mauaji ya kimbari yanayoendelea"
Mwakilishi wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa amemshitaki utawala wa Kizayuni wa Israel kwa ukiukaji wa sheria za kimataifa na hukumu za Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICC), na kuhimiza hatua madhubuti kutoka kwa nchi za dunia ili kuzuia uhalifu unaoendelea wa utawala huo katika Ukanda wa Gaza. Ametoa msisitizo kuwa mashambulizi yanayofanywa mara kwa mara na Israel dhidi ya raia wasio na hatia na kuzuia misaada ya kibinadamu kuingia, ni hali inayotakiwa kupokelewa kwa uzito mkubwa na jamii ya kimataifa.
-
Upanuzi wa kampeni ya kususia bidhaa za Israel: Kutoka New Delhi hadi maeneo mbalimbali ya India
Waandaji wa kampeni hii wamesema kuwa lengo ni kuonyesha upinzani wao dhidi ya uhalifu unaoendelea wa utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina na kushinikiza kwamba baadhi ya chapa za kimataifa zinashiriki kifedha kwa ajili ya kuunga mkono utawala huu.