Sudan
-
Gazeti la Guardian limeandika:
Uingereza dhidi ya Ubinadamu / Kuajiri mamluki wa Colombia nchini Uingereza kwa ajili ya vita nchini Sudan
Serikali ya Uingereza hivi karibuni imeweka taratibu kali zaidi za kuchunguza uhalali wa wakurugenzi wa makampuni, imeweka vikwazo dhidi ya viongozi wa RSF, na imerudia wito wake wa kusitishwa mara moja kwa uhalifu, kulindwa kwa raia, na kuhakikisha upatikanaji wa misaada ya kibinadamu nchini Sudan.
-
Wafanyakazi 741 wa sekta ya afya wameuawa au kujeruhiwa wakati wa vita vya Sudan
Mtandao wa Madaktari wa Sudan umetangaza kuwa tangu kuanza kwa vita nchini humo kati ya Jeshi la Sudan na Vikosi vya Mwitikio wa Haraka (RSF) mnamo Aprili 2023, jumla ya wafanyakazi 234 wa afya wameuawa na 507 wengine wamejeruhiwa.
-
Kwa mwaka wa tatu mfululizo; Sudan yaongoza orodha ya migogoro ya kibinadamu duniani
Sudan kwa mwaka wa tatu mfululizo imeorodheshwa juu kabisa katika orodha ya migogoro ya kibinadamu duniani.Nchi nyingine zilizoorodheshwa katika ripoti hiyo ni pamoja na: Myanmar, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Mali, Burkina Faso, Lebanon, Afghanistan, Cameroon, Chad, Colombia, Niger, Nigeria, Somalia, Syria, Ukraine na Yemen.
-
Tamko la Mkurugenzi Mkuu wa Hawza za Kiislamu Kufuatia Mauaji ya Kinyama Dhidi ya Watu Wanyonge wa Sudan
Jumuiya za Kimataifa na Mashirika ya Haki za Binadamu Waitikie Kilio cha Watu Wanaodhulumiwa Sudan
-
Je, Senario ya Maafa ya Al-Fasher Inarejelewa Tena Katika Mji wa Babanusa, Sudan?
Shirika la Umoja wa Mataifa limeonya kuwa hali ya kibinadamu katika mji wa Babanusa, uliopo katika jimbo la West Kordofan nchini Sudan, iko katika hatari kubwa ya kushuhudia janga kama lililotokea katika mji wa Al-Fasher, Kaskazini mwa Darfur, endapo hali ya sasa itaendelea kuzorota.
-
Umoja wa Ulaya wakaribia kumuadhibu “Abdulrahim Dagalo” Naibu Kamanda wa Kikosi cha Mwitikio wa Haraka Sudan
Umoja wa Ulaya unakusudia kumuwekea vikwazo Abdulrahim Dagalo, Naibu Kamanda wa Kikosi cha Mwitikio wa Haraka (RSF) nchini Sudan, kwa tuhuma za ukiukaji wa haki za binadamu.
-
Kuendelea kwa Mapigano Makali kati ya Jeshi la Sudan na Vikosi vya Mwitikio wa Haraka Kaskazini mwa Kordofan
Mapigano makali kati ya jeshi la Sudan na Vikosi vya Mwitikio wa Haraka (RSF) yanaendelea katika maeneo mbalimbali ya jimbo la Kordofan Kaskazini.
-
Waandamanaji London wakemea kuhusika kwa nchi za Magharibi katika vita vya Sudan
Waandamanaji walibeba mabango na kuziba baadhi ya barabara wakitaka hatua za haraka za kimataifa kuchukuliwa. Baadaye maandamano hayo yalizingira mgahawa wa OWO, ambapo baadhi ya wabunge wa Uingereza waliripotiwa kuwa na kikao, kabla ya kumalizika kwa amani kufuatia kuwasili kwa Polisi.
-
Sudan yarudi tena katika mapigano mazito ya kijeshi baada ya kusimama kwa miezi kadhaa
Mnamo mwaka 2021, al-Burhan na msaidizi wake Dagalo walifanya mapinduzi ya kijeshi na kumuondoa madarakani Rais Omar al-Bashir. Miaka miwili baadaye, wawili hao wakageukiana wenyewe kwa wenyewe
-
Gavana wa Darfur: Mashambulizi ya vikosi vya Haraka vya Majibu dhidi ya Al-Fashir ni mfano wa mauaji ya kimbari
Gavana wa eneo la Darfur, magharibi mwa Sudan, ameelezea mashambulizi ya hivi karibuni ya vikosi vya Haraka vya Majibu dhidi ya mji wa Al-Fashir, makao makuu ya jimbo la Darfur Kaskazini, kuwa “yanakaribia kiwango cha mauaji ya kimbari.”
-
Katika Hotuba Kabla ya Ajenda:
Vita vya Ndani vya Sudan Vingia Katika Awamu Muhimu ya Kimaamuzi / Al-Fashir Iweka Alama ya Mabadiliko Katika Hesabu za Kijeshi
Mgogoro kati ya Jeshi la Sudan na Vikosi vya “Rapid Support” umeanza tena katika mji wa Al-Fashir, kaskazini mwa Jimbo la Darfur Magharibi.
-
Sheikh Zakzaky aonya kuhusu kampeni dhidi ya nchi za Kiislamu, atoa wito wa mshikamano
Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria, Sayyid Ibraheem Zakzaky, alitoa hotuba ya kufunga Wiki ya Umoja mjini Abuja siku ya Jumatano.
-
Somalia na Sudan zimekataa ombi la kuwapa makazi Wapalestina wanaoishi Gaza
Mamlaka za nchi mbili, Somalia na Sudan, zimekataa katakata pendekezo na mpango wowote kuhusu uhamisho wa Wapalestina wanaoishi Gaza hadi katika eneo la nchi hizi za Kiafrika.