damu
-
Ayatullah Mujtaba al-Husseini Khamenei: Shahidi Aliishi na Kupigania Njia ya Imam Hussein (AS)
Ayatullah Sayyid Mujtaba al-Husseini Khamenei amesema kuwa kiongozi shahidi aliishi, akafikiri, akapambana na hatimaye akapata shahada kwa kufuata kwa dhati njia na mafundisho ya Imam Hussein (AS).
-
Ayatollah Araki Akihutubia Vijana Duniani:
“Kumwaga damu ya Trump, Netanyahu na washirika wao ni ‘wajibu’; vijana wenye ari duniani kote watekeleze hukumu ya Mwenyezi Mungu”
Ayatollah Araki amesisitiza kwamba: “Ujumbe wa Kiongozi Mkuu na mpendwa kuhusu kulipiza damu ya Imam shahidi na mashahidi wote ni amri ya ‘wajibu wa kutii’. Na kwa wale wote wanaoweza kwa namna yoyote kuchangia katika kutekelezwa kwa jambo hilo, ni wajibu kuchukua hatua zinazohitajika haraka.”
-
Mkuu wa Mahakama ya Iran: Wahusika wa Uhalifu wa Kivita Dhidi ya Watu wa Iran Lazima Waadhibiwe
Mkuu wa Mamlaka ya Mahakama ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Marekani na utawala wa Kizayuni zimetenda uhalifu wa kivita dhidi ya Iran na wananchi wake, akisisitiza kuwa wahusika watafuatiliwa kisheria, wataadhibiwa na kulipa fidia inayostahili.
-
Ayatullah Makarim Shirazi: Wauaji wa Kiongozi Shahidi hawataepuka adhabu ya Mwenyezi Mungu
Ayatullah al-Udhma Sheikh Nasir Makarim Shirazi amesema kuwa waliohusika na mauaji ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, pamoja na viongozi, raia wasio na hatia na watoto waliouawa, hawataokoka adhabu ya Mwenyezi Mungu na kwamba damu za mashahidi hao hazitasahaulika kamwe.
-
Kauli ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania - Sheikh Dkt.Alhad Mussa Salum katika Kumbukizi ya Miaka 64 ya Uhuru wa Tanganyika
Tanganyika ilipata Uhuru kwa njia ya Amani; na sisi leo hii tunalo jukumu la kuuimarisha na kuurithisha kwa vizazi vijavyo. Kwa niaba ya Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania, Nawatakia Kumbukumbu Njema ya Miaka 64 ya Uhuru wa Tanganyika. Hongera Tanganyika, Hongera Tanzania! Amani na Maridhiano Daima.
-
Shia Development Organization na JAI Waongoza Zoezi Kubwa la Uchangiaji Damu Bukoba
Waandaaji wa tukio hilo wamesisitiza umuhimu wa jamii kujitolea na kuwajali wananchi wasiojiweza, hususan wale waliolazwa hospitalini na wanaohitajika kuongezewa damu ili kuendelea kuishi. Wamesema misingi ya Mafundisho ya Kiislamu kupitia watukufu wa Ahlul-Bayt (a.s) inasisitiza thamani ya utu, kusaidiana na kujitoa kwa ajili ya kuimarisha ustawi wa jamii.
-
Vita vya Magharibi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu si kwa sababu ya Nyuklia, bali ni kwa sababu ya Uenezi wa Ustaarabu Mpya wa Kiislamu
"Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni mkusanyiko wa damu zote zilizomwagika, subra, dhulma, mateso na juhudi za wanazuoni na Mashia katika historia nzima. Kuyaumiza mapinduzi haya ni sawa na kuumiza Uislamu kwa jeraha lisilopona kwa karne nyingi.”
-
Rais wa Bunge la Umoja wa Waislamu Pakistan:
“Kuhusika katika mikataba inayohusisha damu ya Wapalestina ni khiana kwa ummah wa Kiislamu.”
Rais wa Bunge la Umoja wa Waislamu Pakistan alitoa taarifa akisema: “Hakuna aina yoyote ya biashara au makubaliano yanayohusisha damu ya Wapalestina yanayokubalika.”
-
Watu zaidi ya 100 watekwa katika shambulio la kikatili Kaskazini mwa Nigeria
Katika shambulio la damu lililotokea katika kijiji cha Ghamdum Malam katika jimbo la Zamfara, Nigeria, watu wenye silaha waliingia eneo hilo kwa risasi zisizo na mwelekeo na kuwateka zaidi ya watu 100.
-
Arubaini ya Imam Hussein (a.s):
Taasisi za Kijamii Nchini Tanzania: BEF na Nyota Foundation Zandaa Tukio la Uchangiaji Damu kwa Upendo na Huruma ya Kibinadamu
Tukio hili limeonesha mshikamano wa kijamii na mshikikano wa kiimani kwa kuenzi mfano wa kujitolea na ubinadamu wa Imam Hussein (a.s), na limekuwa ni ishara muhimu ya mshikamano wa Waislamu na Watanzania wote kwa ujumla katika kusaidia wenzao wenye uhitaji wa Damu Mahospitalini.