maadhimisho
-
Waziri Mkuu Dkt.Mwigulu Nchemba Afungua Skuli ya Sekondari Chukwani Zanzibar Katika Maadhimisho ya Miaka 62 ya Mapinduzi +Picha
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, amefungua rasmi Skuli ya Sekondari Chukwani Zanzibar iliyogharimu shilingi bilioni 6.1, katika maadhimisho ya miaka 62 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, akisisitiza umuhimu wa uwekezaji katika elimu kwa maendeleo ya taifa.
-
Somalia Yasisitiza Umoja wa Kitaifa na kwamba Ukamilifu wa Ardhi na Mamlaka ya Taifa Lake Haviwezi Kugawanyika
Balozi wa Somalia katika Umoja wa Mataifa amesisitiza kuwa ukamilifu wa ardhi na mamlaka ya taifa la Somalia hauwezi kugawanywa, akieleza vipaumbele vya urais wa Somalia wa Baraza la Usalama Januari 2026 na kukataa vikali hatua zozote zinazolenga kudhoofisha umoja wa nchi hiyo.
-
Sheikh Naeem Qasim:
Marekani na Utawala wa Kizayuni ni Sababu Kuu ya Kutokuwa na Utulivu / Kuondolewa Silaha kwa Upinzani, Mradi wa Kuangamiza Uwezo wa Lebanon
Katibu Mkuu wa Hizbullah katika Maadhimisho ya Miaka Miwili ya Kifo cha Haj Muhammad Hassan Yaghi: Tutasimama Imara, Tutapambana na Tutatimiza Malengo Yetu.
-
Maadhimisho ya kumbukumbu ya mashujaa wa mkoa wa Gilan wanaoishi mjini Qom yanatarajiwa kufanyika tarehe 2 Desemba
Mratibu wa Kamati ya Maadhimisho ya Mashahidi wa Gilan wanaoishi Qom amesema kuwa: Maadhimisho ya nne ya mashahidi wa Gilan wanaoishi mjini Qom yatafanyika jioni ya tarehe 11 Azar, sambamba na kukumbuka siku ya kuuawa kishahidi Mirza Kuchak Khan Gilani, katika Husainiya ya Bwana wa Mashahidi (a.s) jijini Qom.
-
Kumbukumbu ya Mirza Kuchak Jangali Yapasa Kuwa Zaidi ya Sherehe ya Kihistoria
Gavana wa Gilan: “Maadhimisho ya kihistoria hayapaswi kubaki kuwa hafla za alama pekee; kumbukumbu ya Mirza Kuchak ni fursa ya kutathmini kama bado tupo katika njia ya malengo yake ya uhuru na haki.”
-
Kamanda Mkuu wa Sepah: Kila kosa la kihesabu katika Ghuba ya Uajemi litapokea jibu la haraka na kali
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu limedumu katika kuendeleza njia yake yenye utukufu ya kuijenga ustaarabu kwa kuiga mafundisho ya taalim ya upinzani yenye msukumo, ndani ya muktadha wa doktrini ya ulinzi-ushambuliaji ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Limeweka utayari wake wa kijeshi, taarifa na uendeshaji katika kiwango cha juu, na kwa uwazi linawaonya adui za Mapinduzi, mfumo wa Kiislamu na Iran mpendwa na mwenye fahari; kosa lolote lao la kihesabu katika Ghuba ya Uajemi, Kisiwa cha Hormuz na visiwa vya Iran, litaadhibiwa (litadhibitiwa) kwa jibu thabiti, la haraka, lenye nguvu na linalowaleta majuto.
-
Maadhimisho ya Mwaka wa kwanza wa Shahada ya Sayyid Hassan Nasrallah yatafanyika Siku ya Alhamisi
Baraza la Kuratibu Tablighi la Kiislamu limetangaza katika taarifa yake kwamba maadhimisho ya mwaka wa kwanza wa kifo cha shahidi Sayyid Hassan Nasrallah yatafanyika Alhamisi, tarehe 02 Oktoba, 2025, katika nchi nzima, chini ya kauli mbiu kuu “Innā ‘ala al-‘Ahd”. Hafla kuu itafanyika saa 4:00 usiku katika Uwanja wa Ibada wa Imam Hussein (a.s) mjini Teheran.
-
Burundi | Sherehe ya Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W.W) Yafanyika Kwa Ustadi Mkubwa Katika Husainiyya ya Jumuiya ya Khoja
Washiriki wa Sherehe hiyo pia walimuenzi Mtume Mtukufu (S.A.W.W) kwa heshima kubwa, na walieleza haja ya mshikamano, maelewano, na Umoja wa Umma wa Kiislamu katika kukabiliana na changamoto zinazoukabili ulimwengu wa Kiislamu kwa ujumla.
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu:
“Haiwezekani kuupiga magoti Umma wa Iran na Mfumo wa Kiislamu kupitia vita"
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, katika maadhimisho ya kumbukumbu ya Shahada ya Imam Ridha (a.s), amesema: "Umma wa Iran na Mfumo wa Kiislamu hauwezi kupigwa magoti kwa vita na kulazimishwa kusalimu amri"
-
Miaka 10 ya Uongozi wa Mufti wa Tanzania Dr.Abubakar Zubair: Historia ya Mafanikio na Maboresho Makubwa
Miradi mikubwa yenye thamani ya mabilioni imetekelezwa katika mikoa mbalimbali, huku maboresho ya kiutawala na ya kimuundo yakifanikishwa, ikiwemo kuanzishwa kwa Ofisi ya Mufti, JUWAKITA na JUVIKIBA, pamoja na mabadiliko ya Katiba ya BAKWATA ili kuendana na mahitaji ya sasa.
-
"Kutoka 'Juhudi Zisizoisha' hadi kwenye 'Diplomasia ya Muqawamah'; Wiki ya Kuwapa Heshima Mashahidi wa Huduma"
"Saeed Ohadi, Mkuu wa Kamati ya Maadhimisho ya Kumkumbuka Shahidi Ayatollah Sayyid Ebrahim Raisi na Mashujaa wengine wa Huduma, ameeleza kwa kina ratiba ya maadhimisho ya kumbukumbu ya mwaka wa kwanza ya mashahidi wa huduma."