maadhimisho
-
Kamanda Mkuu wa Sepah: Kila kosa la kihesabu katika Ghuba ya Uajemi litapokea jibu la haraka na kali
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu limedumu katika kuendeleza njia yake yenye utukufu ya kuijenga ustaarabu kwa kuiga mafundisho ya taalim ya upinzani yenye msukumo, ndani ya muktadha wa doktrini ya ulinzi-ushambuliaji ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Limeweka utayari wake wa kijeshi, taarifa na uendeshaji katika kiwango cha juu, na kwa uwazi linawaonya adui za Mapinduzi, mfumo wa Kiislamu na Iran mpendwa na mwenye fahari; kosa lolote lao la kihesabu katika Ghuba ya Uajemi, Kisiwa cha Hormuz na visiwa vya Iran, litaadhibiwa (litadhibitiwa) kwa jibu thabiti, la haraka, lenye nguvu na linalowaleta majuto.
-
Maadhimisho ya Mwaka wa kwanza wa Shahada ya Sayyid Hassan Nasrallah yatafanyika Siku ya Alhamisi
Baraza la Kuratibu Tablighi la Kiislamu limetangaza katika taarifa yake kwamba maadhimisho ya mwaka wa kwanza wa kifo cha shahidi Sayyid Hassan Nasrallah yatafanyika Alhamisi, tarehe 02 Oktoba, 2025, katika nchi nzima, chini ya kauli mbiu kuu “Innā ‘ala al-‘Ahd”. Hafla kuu itafanyika saa 4:00 usiku katika Uwanja wa Ibada wa Imam Hussein (a.s) mjini Teheran.
-
Burundi | Sherehe ya Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W.W) Yafanyika Kwa Ustadi Mkubwa Katika Husainiyya ya Jumuiya ya Khoja
Washiriki wa Sherehe hiyo pia walimuenzi Mtume Mtukufu (S.A.W.W) kwa heshima kubwa, na walieleza haja ya mshikamano, maelewano, na Umoja wa Umma wa Kiislamu katika kukabiliana na changamoto zinazoukabili ulimwengu wa Kiislamu kwa ujumla.
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu:
“Haiwezekani kuupiga magoti Umma wa Iran na Mfumo wa Kiislamu kupitia vita"
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, katika maadhimisho ya kumbukumbu ya Shahada ya Imam Ridha (a.s), amesema: "Umma wa Iran na Mfumo wa Kiislamu hauwezi kupigwa magoti kwa vita na kulazimishwa kusalimu amri"
-
Miaka 10 ya Uongozi wa Mufti wa Tanzania Dr.Abubakar Zubair: Historia ya Mafanikio na Maboresho Makubwa
Miradi mikubwa yenye thamani ya mabilioni imetekelezwa katika mikoa mbalimbali, huku maboresho ya kiutawala na ya kimuundo yakifanikishwa, ikiwemo kuanzishwa kwa Ofisi ya Mufti, JUWAKITA na JUVIKIBA, pamoja na mabadiliko ya Katiba ya BAKWATA ili kuendana na mahitaji ya sasa.
-
"Kutoka 'Juhudi Zisizoisha' hadi kwenye 'Diplomasia ya Muqawamah'; Wiki ya Kuwapa Heshima Mashahidi wa Huduma"
"Saeed Ohadi, Mkuu wa Kamati ya Maadhimisho ya Kumkumbuka Shahidi Ayatollah Sayyid Ebrahim Raisi na Mashujaa wengine wa Huduma, ameeleza kwa kina ratiba ya maadhimisho ya kumbukumbu ya mwaka wa kwanza ya mashahidi wa huduma."