maadili
-
Imam Ali (a.s) na Siri za Ukuruba Wake kwa Mtume Mm Muhammad (s.a.w.w)
Imam Ali (a.s) si tu sahaba wa karibu wa Mtume (s.a.w), bali ni zao la malezi ya moja kwa moja ya Mtume, shahidi wa mwanzo wa wahyi, na mhimili wa maadili ya Kiislamu. Upendo na ufuasi wake unabaki kuwa kipimo muhimu cha uaminifu wa kweli kwa Uislamu na Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w).
-
Ayatollah Sistani:
Mashia wa Pakistan waonyeshe taswira halisi ya Ushia kupitia maadili, tabia, na matendo yao ya kila siku
Ayatollah Sistani Mkuu, akiombea kwa ajili ya waumini wote wa Pakistan, hasa waumini wa Gilgit-Baltistan, alisisitiza kuwa Waishe Shia wa Pakistan wanapaswa kuishi kwa umoja na mshikamano, na kupitia maadili, tabia, na matendo yao ya kila siku, wape taswira halisi ya Uislamu halisi wa Mtume Muhammad (saww) unaofuatwa na waislamu wa Madhehebu ya Shia.
-
Ujumbe wa Hongera wa Rais Pezeshkian kwa Kiongozi wa Wakatoliki Duniani
Katika kuendeleza diplomasia ya kidini na kuimarisha maadili ya kuishi kwa amani kati ya wafuasi wa dini mbalimbali, Rais wa Jamhuri alitoa ujumbe rasmi wa pongezi kwa kiongozi wa Wakatoliki duniani, akisisitiza umuhimu wa kuheshimiana, mazungumzo ya kidini na mshikamano wa kibinadamu katika dunia ya leo.
-
Salamu za Krismasi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan
Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan: "Ninawatakia kheri ya Sikukuu ya Krismasi Wakristo na Watanzania wote. Mnaposafiri na kujumuika na ndugu, jamaa na marafiki katika maeneo mbalimbali ya nchi yetu, tusherehekee sikukuu hii kwa furaha, amani na upendo."
-
Sheikh Ahmad Haji Atoa Mafunzo Muhimu ya Kujenga Utu na Kukemea Dhulma katika Jamii | "Dhulma huondoa Baraka na Kuleta Majuto"
"Unaweza kumdhulumu mtu na ukalala usingizi mzito, lakini yule uliyemdhulumu halali kamwe. Anakumbuka dhulma yako kila siku na humlalamikia Mwenyezi Mungu dhidi yako. Na ikumbukwe kuwa macho ya Mwenyezi Mungu hayalali,” amesema Sheikh Ahmad Haji, akisisitiza hatari ya dua ya aliyedhulumiwa.
-
Malezi ya kijinsia kwa watoto: Tuseme nini na kuanzia umri gani?
Moja ya makosa ya kawaida yanayofanywa na wazazi ni kuchelewesha malezi ya kijinsia hadi “baadaye”, au kuyapunguza tu kuwa onyo kuhusu dhambi. Ilhali katika mtazamo wa Kiislamu, malezi ya kijinsia huanza tangu utotoni na huendelea hadi ndoa. Uislamu haukubali urubani usio na mantiki wa mtindo wa Kikristo, wala haukubali uhuru wa kijinsia usio na mipaka; bali unatoa mtazamo wa kati (wa wastani), wenye maadili ya kiibada na unaochangia ukuaji wa afya ya mtu.
-
Kikao cha Kamati ya Elimu cha Jamiat Al-Mustafa – Dar es Salaam, Tanzania +Picha
Kikao hiki kimeweka msingi muhimu kwa mustakabali wa elimu na malezi ndani ya Jamiat Al-Mustafa (s) - Dar-es-salaam-Tanzania, huku wajumbe wakiahidi kuendelea kushirikiana kwa karibu katika kuboresha mwelekeo wa kielimu na kijamii kwa manufaa ya wanafunzi na jamii kwa ujumla.
-
Bibi Zahra (a.s): Kielelezo cha Juu cha Maadili ya Kibinadamu na Kiislamu Kuhusu Mwanamke
Bibi Zahra (a.s) ni kielelezo cha Mwanamke kamili katika Uislamu - mfano wa ucha Mungu, hekima, upendo wa kifamilia, ushujaa wa kijamii na mapambano ya kiroho. Maisha yake ni dira ya kudumu kwa wanawake na wanaume wote wanaotaka kufikia ukamilifu wa kibinadamu katika njia ya Mwenyezi Mungu.
-
Kichwa cha Jeshi la Taifa la Kuendesha Sala:
Malezi ya kidini na maadili yanapaswa kuanza nyumbani na kuimarishwa Shuleni
Hujjatul-Islam wal-Muslimin Qaraati, akionyesha umuhimu wa malezi ya kidini katika familia na shule, alisisitiza umuhimu wa kuzingatia jukumu la Chuo cha Walimu, walimu na wazazi katika kuimarisha utamaduni wa sala miongoni mwa kizazi kipya.
-
Darasa la Qur’an Tukufu katika Madrasat ya Mabanati ya Hazrat Zainab (sa) Laendelea kwa Mafanikio Makubwa
Darsa hili la Qur’an Tukufu linawafundisha zaidi Wanafunzi kuwa Qur'an ni mshirika na muombezi wa yeyote mwenye kushikamana nayo Siku ya Kiyama, hummulikia njia yake hapa duniani, na humuinua katika ngazi za juu Peponi
-
Kazi yako ni ibada yako ya kila siku
Je, unafikiri kufanya kazi ni njia tu ya kupata pesa? Hapana! Kulingana na Qur’ani, kazi ni ibada ya kijamii inayokuza uchumi wako na kukuza utu wako pia. Hebu tuchunguze kanuni kadhaa na muhimu kwa pamoja ili kazi yako iwe yenye baraka daima!
-
Ayatollah Ramezani: Ueneaji wa Uislamu, zaidi ya kitu chochote, ulikuwa ni kwa sababu ya tabia njema ya Mtume (s.a.w.w)
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya AhlulBayt (a.s) akieleza kuwa tabia njema ya Mtume (s.a.w.w) ilikuwa ndiyo sababu kuu ya ushawishi wake, aliongeza: "Popote palipo na maadili ya Mtume, hakika yataacha athari yake.
-
Kiongozi wa Ansarullah: Kuwasaidia Wapalestina Wanaodhulumiwa Ni Wajibu wa Mataifa ya Kiislamu
"Mara tu matatizo ya Waislamu yanapoanza, basi hilo huwa ni matokeo ya kugeuka mbali na Qur’an na mwongozo wa Mtume. Suluhisho la kweli ni kurejesha uhusiano wa dhati na Qur’an na Sunnah ya Mtume (s.a.w.w).”
-
JMAT Yatangaza Mafunzo ya Msingi ya Itifaki na Ustaarabu (J-PEC) Jijini Dar es Salaam
Taarifa zinaeleza kuwa, mafunzo hayo yatafanyika kuanzia tarehe 16 – 18 Septemba 2025, katika Ukumbi wa Nefaland Hotel Hall, Manzese – Argentina, Dar es Salaam, kuanzia saa 2:00 asubuhi hadi saa 11:00 jioni kila siku.
-
Walimu Wapya Watambulishwa Madrasa ya Fatima Zahraa (s.a), Waumini Wajumuika na Sayyid Arif Naqvi katika Sala ya Jamaa
Sheikh Eid aliwapa wanafunzi nasaha kuhusu umuhimu wa kujitahidi katika masomo yao na kusisitiza nafasi ya elimu ya dini katika kujenga jamii yenye maadili mema.
-
Sheikh Dr. Alhad Musa Salum Akabidhiwa Tuzo ya Uongozi wa Mfano na JMAT Mkoa wa Dar -es- Salaam
Tukio hilo lilifanyika katika Mkutano Mkuu wa Mkoa wa JMAT kwa Muhula wa Kwanza wa Mwaka 2025, ambapo viongozi mbalimbali wa kidini na kijamii walihudhuria.
-
Swala ya Ijumaa - Madrasa Hazrat Zainab (sa) - Kigamboni | Changamoto za Kijamii Zinazotokana na Kuachana na Mafundisho ya Dini
Sala ilisaliwa kwa nidhamu kubwa na utulivu wa hali ya kiroho, na iliacha athari kubwa kwa washiriki wote katika ibada hii.
-
Ni rahisi kuingia kwenye tabia mbaya, lakini Kutoka ni vigumu mno | Ingawa inawezekana kutoka
Kwa Msaada Sahihi, Nia ya dhati, na uvumilivu, mtu anaweza Kutoka kwenye Tabia mbaya.
-
"Kuna Wivu wa Husuda na Wivu Ghibta | Je, Tuwe na Wivu wa Aina ya Ghibta au Tusiwe nao?"
Husuda ni kutamani neema ya mtu mwingine itoweke, iwe neema hiyo itamfikia mwenye husuda au la. Kinyume cha husuda ni 'Ghibta', ambapo mtu hatamani neema ya mwingine ipotee, bali anatamani kuwa na neema kama hiyo bila kumtakia mwingine mabaya.
-
Jamii bora haihitajii watu ambao ni wasomi, bali inahitajia watu walioelimika | "Elimu bila Adabu ni sawa na Upanga Mkali Mikononi mwa Kichaa"
Msemo huu: "Elimika Usiwe Msomi" ni wito wa kuhusisha Elimu na Maadili. Elimu ya Kweli huonekana katika namna unavyowatendea wengine. Namna unavyofikiri kuhusu Haki na Uadilifu kwa kila Mwanadamu bila kujali Imani yake ya Kidini.
-
Siri na Falsafa ya Ratiba ya Darsa ya "Subhi ya Kimaanawi" kwa Wanafunzi wa Jamiat Al-Mustafa, Dar-es-Salam, Tanzania + Picha
Maulamaa wakubwa katika historia zao, walikuwa wakitafuta Adabu (Maadili) kwanza, kisha ndio wanaitafuta elimu. Wengine walikuwa wakiitafuta adabu kwa muda wa miaka 30, na elimu wanaitafuta kwa muda wa miaka 20.
-
Ni kwa namna ipi Sala hukataza maovu?
Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (as) - ABNA - Mwenyezi Mungu (s.w.t) anasema ndani ya Qur'an Tukufu anasema: (اتْلُ مَا أُوحِيَ إِلَيْكَ مِنَ الْكِتَابِ وَأَقِمِ الصَّلَاةَ ۖ إِنَّ الصَّلَاةَ تَنْهَىٰ عَنِ الْفَحْشَاءِ وَالْمُنكَرِ ۗ وَلَذِكْرُ اللَّهِ أَكْبَرُ ۗ وَاللَّهُ يَعْلَمُ مَا تَصْنَعُونَ). "Soma uliyo funuliwa katika Kitabu, na ushike Sala. Hakika Sala inazuilia mambo machafu na maovu. Na kwa yakini kumdhukuru Mwenyezi Mungu ndilo jambo kubwa kabisa. Na Mwenyezi Mungu anayajua mnayo yatenda".