mgogoro
-
Wakati Wanaume Wanaponyamaza, Dunia Hufa Kimyakimya
Wakati maana ya “uanaume” inapopotea, mwili nao hujibu. Kupungua kwa homoni ya testosterone, kushuka kwa uzalishaji wa mbegu za kiume (sperm), na kuzorota kwa uwezo wa kuzaa, si matokeo ya kibaolojia pekee — bali ni ishara ya kimya ya kupotea kwa dhamira ya uanaume. Mwanaume ambaye hajui kwa nini anapaswa kusimama, hatimaye hupoteza uwezo wa kusimama kabisa.
-
Iran Yajitolea kusimama Kati Katika Mvutano Kati ya Pakistan na Afghanistan
Wataalamu wa masuala ya kikanda wanasema kwamba mpatanishi wa tatu (Iran) anaweza kusaidia kupunguza hatari za mzozo mkubwa na kuimarisha ushirikiano na amani katika eneo hilo.
-
Katika Hotuba Kabla ya Ajenda:
Vita vya Ndani vya Sudan Vingia Katika Awamu Muhimu ya Kimaamuzi / Al-Fashir Iweka Alama ya Mabadiliko Katika Hesabu za Kijeshi
Mgogoro kati ya Jeshi la Sudan na Vikosi vya “Rapid Support” umeanza tena katika mji wa Al-Fashir, kaskazini mwa Jimbo la Darfur Magharibi.
-
Makabiliano ya kimya kati ya Misri na Israel huko Sinai
Kuongezeka kwa uwepo wa kijeshi wa Misri katika Sinai na ushirikiano wa kimkakati na China, kumeanzisha mgogoro mpya kati ya Cairo na Tel Aviv na kuweka hatarini mustakabali wa mkataba wa amani wa Camp David.
-
Muqtada al-Sadr Ataka Iraq Ianzishe Mazungumzo na Uturuki Kuhusu Mgogoro wa Maji
Kufuatia kupungua kwa vyanzo vya maji nchini Iraq, Muqtada al-Sadr ametoa wito wa kuanzishwa kwa mazungumzo na Uturuki ili kuongeza mgao wa maji, na ametahadharisha kuhusu athari za mgogoro wa maji kwa afya na kilimo cha wananchi.
-
Jeshi la Israel lawageukia Wayahudi wa Kigeni ili kutatua uhaba wa wanajeshi
Kwa mujibu wa ripoti hiyo, jeshi la Israel linapanga kuwalenga zaidi Wayahudi vijana wenye umri wa miaka 18 hadi 25 kutoka Marekani na Ufaransa, kuwahimiza wahamie katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na kujiandikisha jeshini kwa kipindi cha miaka kadhaa.
-
Umoja wa Mataifa:Katika kuelekea miaka 4 ya utawala wa Taliban, wanawake wa Afghanistan wanakabiliwa na mgogoro mkubwa wa haki za wanawake Duniani
Kitengo cha wanawake cha Umoja wa Mataifa, katika kuelekea kumbukumbu ya miaka minne tangu Taliban ichukue madaraka nchini Afghanistan, kimetoa taarifa ikikosoa vikali mwenendo wa kundi hilo kuhusu wanawake wa Afghanistan.
-
Mgogoro wa Kibinadamu huko Gaza; Papa Francis ametoa wito wa kusitishwa kwa kudumu kwa mapigano huko Gaza
Akielezea wasiwasi wake kuhusu hali ya kibinadamu huko Gaza, Papa Francis amesisitiza kwamba jumuiya ya kimataifa inapaswa kukabiliana na mgogoro huu na kusaidia watu wasio na hatia.