mgogoro
-
Urusi, mataifa ya Ulaya zakubaliana kuhusu mpango wa amani wa Ukraine
Viongozi wa Urusi, Ujerumani na Ufaransa wamekubaliana katika mazungumzo yao mjini Moscow kupanga mpango wa kumaliza mapigano nchini Ukraine wakati waasi wakifanya mashambulizi makubwa upande wa mashariki mwa nchi hiyo.
-
Jeshi la Ukraine laondoka katika uwanja Donetsk
Jeshi la Ukraine limeondoka katika uwanja mkuu wa ndege katika mji wa Donetsk unaodhibitiwa na waasi, baada ya mapigano makali yaliyouwa wanajeshi wa serikali wasiopungua 10 na kuwajeruhi wengine 16.
-
Mzozo wa Ukraine wapamba moto
Wanajeshi wa Ukraine wamefyetuliana mizinga na waasi mashariki ya Ukraine.Serikali ya mjini Kiev inadai wanajeshi wa Urusi walishiriki katika mapigano hayo na kwa namna hiyo kuzidisha makali ya mzozo huo.
-
Urusi yaomba mapigano yasitishwe kabla ya mkutano kuhusu amani ya Ukraine
Urusi imetoa wito wa usitishaji mara moja wa uhasama mashariki mwa Ukraine leo na kuonya kwamba serikali ya Ukrane, mjini Kiev inatafuta suluhisho la kijeshi katika mzozo huo.
-
Ukraine yajiandaa kukabiliana na waasi kwa vita
Imejiandaa kukabiliana na waasi wa nchi hiyo kwa vita, licha ya kuendelea kwa mpango mazungumzo ya amani ya Berlin na mkutano kuhusu mzozo huo ukitarajiwa kufanyika wiki ijayo Kazakhstan.
-
Hollande: vikwazo dhidi ya Urusi vinaweza kuondolewa
Rais wa Ufaransa Francois Hollande amesema leo kuwa vikwazo vya nchi za Magharibi vinavyoendelea kuiathiri Urusi vinapaswa kuondolewa kama hatua zitapigwa katika ufumbuzi wa mgogoro wa Ukraine.
-
Viongozi mbali mbali wakutana kujadili hali ya amani ya Ukraine
Viongozi wa Ukraine na waasi wanoungwa mkono na Urusi, wanajaribu kufufuwa mazungumzo ya amani yaliyokwama kutokana na tafauti kubwa juu ya namna ya kumaliza vita vya waasi vya miezi minane.
-
Serikali ya Urusi yaelezea wasiwasi wake kuhusu madhara ya Ukraine kujiunga na NATO
Waziri wa mambo ya kigeni wa Urusi, Sergei Lavrov, amesema hatua ya Ukraine kutaka kujiunga na Shirika la Kujihami la Mataifa ya Magharibi NATO inaleta kitisho kwa usalama wa Ulaya
-
Mazungumzo ya kutafuta suluhisho la amani ya Ukraine yameanza tena
Wawakilishi wa serikali ya Ukraine na waasi wanaoiunga mkono Urusi, wameanza awamu nyingine ya mazungumzo muhimu yenye lengo la kumaliza mzozo wa Ukraine, miezi mitatu baada ya kukubaliana kusitisha mapigano.
-
Rais wa Ufaransa aenda Urusi kujadili mgogoro wa Ukraine
Rais wa Ufaransa amefanya safari kwenda Urusi kujadili kuhusu njia za kumaliza mgogoro wa Ukraine kwa njia ya mazungumzo na amani, Francois Hollande amekuwa kiongozi wa kwanza wa Ulaya kwenda Urusi kufanya mazungumzo Vladimir Putin kuhusiana na Ukraine.
-
Putin atoa onyo kali kwa Marekani na washirika wake wanaotaka kudhoofisha serilikali ya Urusi
Rais wa Urusi Vladmir Putin ameitumia hotuba yake ya kila mwaka kwa taifa, kuzishutumu nchi za magharibi kwa kuutumia mgogoro wa Ukraine ili kuidhoofisha serikali yake.
-
Marekani yaiomba Urusi isaidie kuleta utulivu Ukrane
Serikali ya Marekani imeiomba Urusi isaidie kuleta amani na utulivu Ukrane,hii ni baada ya Marekani na mataifa ya Ulaya kushindwa kuleta amani ya eneo hilo bila ya msaada wa Urusi.
-
Mashariki yakati
Bunge la Ufaransa lajadili mswada wa kulitambua taifa huru la Palestina
Bunge la Ufaransa linafanya mjadala juu ya pendekezo la kuitambua Palestina kama taifa, huku kukiwepo hali ya kukata tamaa barani Ulaya juu ya mkwamo katika mazungumzo ya amani ya Mashariki ya Kati.
-
Urusi yatoa onyo kali kwa Ufaransa
Serikali ya Urus imetoa onyo kali kwa Ufaransa kutokana na kuzuiliwa meli zake za kijeshi.
-
Mazungumzo kuhusu Nyuklia ya Iran yarefushwa
Mazungumzo kuhusu mradi wa kinyuklia wa Iran pamoja na mataifa matano yenye kura ya turufu katika baraza la usalama la Umoja wa mataifa na Ujerumani mjini Vienna Austria yamepiga hatua muhimu . Hata hivyo yamerufushwa.
-
Siku ya mwisho ya mazungumzo ya nyuklia ya Iran, makubaliano bado hayatabiriki
Wakati wazidi kwisha kufikia muda wa mwisho uliyowekwa kwa ajili ya kumaliza mazungumzo kuhusu mgogoro wa nyuklia ya Iran, uliyosababisha sintofahamu kwa muda wa miaka kumi na mbili.
-
Mawaziri wa Ujerumani,Iran na Marekani wakutana Vienna kujadili kadhia ya nyuklia
Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Ujerumani Frank-Walter Steinmeier anakutana na mawaziri wenzake wa Iran na Marekani Mohamed Javad Zarif na John Kerry leo mjini Vienna, kujaribu kuondoa vizingiti vya mwisho katika kufikiwa makubaliano juu ya mpango wa nyuklia wa Iran.
-
Marekani: Urusi iwekewe vikwazo zaidi
Marekani imeliambia baraza la usalama la Umoja wa Mataifa kuwa kuna haja ya kuishinikiza zaidi Urusi ili iheshimu makubaliano ya kusitsisha mapigano nchini Ukraine huku Urusi ikikanusha ni kitisho kwa jirani yake Ukraine.