nguzo
-
Sa‘yi kati ya Safa na Marwa: Alama ya Imani na Nguzo Muhimu ya Hija na Umra
Aya hii tukufu inathibitisha kuwa sa‘yi baina ya Safa na Marwa ni sehemu muhimu ya ibada ya Hija na Umra, na kwamba hakuna dhambi wala lawama katika kuitekeleza. Kinyume chake, ni ibada iliyoidhinishwa na Qur’ani na kusisitizwa na Sunna ya Mtume ﷺ, na aya imekuja mahsusi kuondoa shaka na uzito uliokuwepo katika nyoyo za watu kuhusu ibada hii.
-
Rais wa Mahakama ya Juu: Katika mafundisho ya Uislamu, mwanamke ni kama maua ya harufu tamu na maua yanayopaswa kulindwa na kutunzwa zaidi
Rais wa Mahakama ya Juu alieleza katika sherehe ya kumbukizi ya kuzaliwa kwa Hazrat Fatima (S) na heshima ya mama na Siku ya Mwanamke, kwamba: katika mafundisho ya Uislamu, mwanamke ni kama “Reihana” (maua ya harufu nzuri) na maua yanayopaswa kulindwa na kutunzwa zaidi. Mtazamo huu na mazungumzo haya yana tofauti dhahiri na mafundisho ya Magharibi ambayo huona mwanamke kama bidhaa inayopaswa kuonyeshwa au kutumika.
-
Kiongozi wa Mapinduzi: Tasnia ya Madahi inapaswa kuwa kitovu cha fasihi ya Muqawama na ufafanuzi wa mafundisho ya dini na mapinduzi
Katika hotuba yake iliyochukua takriban saa tatu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei aliwapongeza Wairani kwa kuadhimisha kuzaliwa kwa Bibi Fatimah (a.s) na kusema kuwa “mwananchi wa Iran, kwa kupitia msimamo wa kitaifa wa kimapinduzi, ameshindwa kabisa njama za adui kutaka kubadilisha utambulisho wa kidini, kihistoria na kiutamaduni wa taifa hili.”
-
-
Mkutano wa Kwanza wa Mielekeo ya Kiislamu Umefanyika nchini Ureno kwa Lengo la Kukuza Mazungumzo ya Kidiini +Picha
Kundi la wasomi wa Kiislamu na Kikristo limekutana katika mji mkuu wa Ureno, Lisbon, kujadili nafasi ya Ushi’a, mazungumzo ya dini tofauti, pamoja na fursa za pamoja za dini katika kufanikisha amani ya dunia.
-
Mwenyekiti wa Baraza la Sera za Maimamu wa Ijumaa nchini:
"Swala ya Ijumaa ni nguzo ya Umoja wa Kitaifa - Lazima iwafikie watu wa makundi yote"
Mwenyekiti wa Baraza la Sera za Maimamu wa Ijumaa nchini: "Swala ya Ijumaa inapaswa kuwa ya watu wote na kuakisi umoja wa kitaifa."Akiangazia umuhimu wa nafasi ya wananchi na ushirikishi mpana katika Swala ya Ijumaa, mwenyekiti huyo alisema: “Makamati ya Swala ya Ijumaa yanapaswa kwa ubunifu na upangaji madhubuti, kuweka mazingira yanayowezesha ushiriki wa watu wa makundi yote ya jamii — kuanzia wanafunzi wa vyuo vikuu, walimu na wasomi, hadi wafanyakazi wa viwandani na wakulima.” Aliongeza kuwa kwa njia hii, ibada hii ya kiroho na kisiasa itakuwa ni taswira kamili ya mshikamano na umoja wa kitaifa.
-
Maukib ya Wanafunzi wa Bara la Afrika Katika Nguzo ya 379, Njia ya Najaf hadi Karbala”
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Kwa moyo mkunjufu, linatoa pongezi na shukrani kwa juhudi zenu nzuri kwa kuandaa Maukib hii.
-
Ushiriki wa Watu wa Khorasan Razavi katika Maadhimisho ya Arubaini ya Imam Hussein (a.s) – 1447H / 2025
Watu wa Khorasan Razavi, hasa kutoka Mashhad, wameonyesha mapenzi na kujitolea kwa kiwango kikubwa kupitia huduma za malazi, chakula, afya, elimu ya kidini, sanaa na hata usafirishaji – wakidhihirisha mshikamano wa kweli wa Waislamu wa madhehebu ya Ahlul-Bayt (a.s) katika harakati ya Arubaini ya Imam Hussein (a.s).
-
Hashd ni nguzo ya hema, na Muqawama ni heshima ya Umma wa Iraq / Hatutapatanishwa na Wavamizi
Al_Walaiy: “Tunaiweka hai Gaza ndani ya nyoyo zetu na tuko tayari daima kuwasaidia.” Alieleza kuwa ushindi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni furaha kwao, na kwamba ndugu zao wa Lebanon ni mfano wa ushindi - ushindi uliotabiriwa na Qur’an Tukufu.