saudia arabia
-
Mwanazuoni wa Kishia wa Pakistani:
Uungaji mkono wa Serikali ya Pakistan kwa Iran ni hatua ya kijasiri na ya kupongezwa
Katibu Mkuu wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan amepongeza uungaji mkono wa serikali ya Pakistan kwa Iran dhidi ya mashambulizi ya Israel na ameitaja hatua hiyo kuwa ya kijasiri na ya kupongezwa na kuzitaka nchi za Kiislamu kuchukua misimamo thabiti dhidi ya uvamizi wa Wazayuni.
-
Kiongozi wa Kishia wa Pakistan: Safari ya Rais wa Marekani katika Nchi za Kiarabu ni Dhihaka kwa Mafundisho ya Kiislamu na Heshima ya Kiislamu
Katibu Mkuu wa Wafaq ul-Madaris al-Shia wa Pakistan, Hujjatul Islam Muhammad Afzal Haidari, alielezea masikitiko yake juu ya mapokezi yaliyotolewa na nchi za Kiarabu kwa Rais wa Marekani. Alisema kuwa njia iliyotumika kumkaribisha mtu mwenye kuuhami utawala wa Kizayuni, ni ya aibu na ni dhihaka kwa mafundisho ya Kiislamu na Heshima ya Kiislamu.
-
Hatima Isiyojulikana ya Imam wa Ijumaa wa Quetta Nchini Saudi Arabia
Wakati siku 28 zimepita tangu kukamatwa na kupotea kwa Hujjat al-Islam Ghulam Hasnain Wijdani, mchungaji maarufu kutoka Pakistan nchini Saudi Arabia, bado hakuna taarifa yoyote kuhusu hali yake na mahali anaposhikiliwa.
-
Donald Trump na Abu Muhammad al-Julani wakutana katika Mji wa Riyadh | Mwanzo wa sura mpya katika uhusiano kati ya Damascus na Washington
Rais wa Serikali ya mpito ya Syria alikutana na Rais wa Marekani katika mji mkuu wa Saudi Arabia, Riyadh.
-
Je, Makaburi ya Baqii yalizingirwa na kuharibiwa (kubomolewa) na kina nani? | Matukio yalivyotendwa katika uharibifu wa Baqii
Mnamo mwaka wa 1220 A.H., Mawahabi waliutwaa mji huo baada ya kuzingirwa kwa mwaka mmoja na nusu na kwa sababu ya njaa huko Madina. [25] Kulingana na vyanzo vilivyopo, baada ya kujisalimisha kwa Madina, Saud bin Abdul Aziz alitaifisha mali yote iliyokuwa kwenye hazina ya Madhabahu ya Mtume na pia akaamuru kuharibiwa kwa majengo na majumba yote ya Madina, pamoja na makaburi ya Baqi.[26]