saudia arabia
-
Saudi Arabia Yaacha Mpango wa Mahusiano ya Kawaida na Israel Baada ya Vita vya Ghaza
Baada ya vita vya Ghaza, Saudi Arabia imeacha mpango wa kawaida wa mahusiano na Israel. Karibu asilimia 99 ya Wasaudi wana mtazamo hasi kuhusu amani na Israel. Mohammed bin Salman amesisitiza kuwa hakuna makubaliano yoyote yatakayofanyika bila kuundwa kwa taifa huru la Palestina lenye mji mkuu Mashariki ya Jerusalem. Mabadiliko haya yanaonyesha athari za moja kwa moja za vita vya Ghaza kwenye sera za Riyadh na kuacha ahadi za Netanyahu za mahusiano ya haraka zikiwa zimeyumbishwa.
-
Mchambuzi wa kisiasa wa Lebanon katika mahojiano na shirika la habari la ABNA amesema:
“Kufanya mazungumzo na Iran ni jambo la lazima kwa Trump / Utayari wa Iran kwa vita unapunguza uwezekano wa kutokea kwa vita”
Wissam Nasif Yassin anaamini kuwa hali bado inaelekea zaidi kwenye suluhisho la mazungumzo lililo imara. Anasema kuwa chaguo la vita haliwezi kuondolewa kabisa, lakini kwa kuzingatia uwezo wa Iran, utayari wake na uungwaji mkono wa wananchi kwa uongozi wa Iran, inaonekana kuwa ni vigumu kwa upande wa pili kuthubutu kutumia chaguo la kijeshi.
-
Mbunge wa Lebanon;
Afichua kuhusu Mpango wa Kuangamiza Silaha za Muqawama / Hakuna Uthibitisho wa Safari ya Afisa wa Mahusiano ya Kigeni wa Hezbollah kwenda Saudi Arabia
Ikumbukwe kuwa jarida moja la Lebanon lilidai hivi karibuni kuwa Ammar Al-Moussawi, afisa wa mahusiano ya kigeni wa Hezbollah, amekuwa kwa siku tatu katika safari ya siri nchini Saudi Arabia kwa upatanishi wa Uturuki, madai ambayo hadi sasa hayajathibitishwa rasmi.
-
Turki Al-Faisal: Israel ndiyo tishio kuu kwa uthabiti wa eneo hili; si Iran
Chaguo la Nyuklia kwa Riyadh: Al-Faisal, alipoulizwa kuhusu uwezekano wa Saudi Arabia kuendeleza uwezo wa nyuklia, alisema: “Hili ni chaguo ambalo Riyadh inapaswa kulichunguza kwa uzito na kwa umakini mkubwa.”
-
Mkutano wa Fedha za Saudia na Madai ya Marekani Ikulu ya White House / Trump Arudia Maneno ya Kutishia dhidi ya Iran
Katika jitihada za kuimarisha uhusiano wa kifedha na kisiasa na Riyadh, Trump alimpongeza Bin Salman na hata kugusia mauaji ya mwandishi wa habari Jamal Khashoggi, akidai bila ushahidi kwamba: “Ben Salman hakuwa na taarifa yoyote kuhusu tukio hilo!”
-
Utani wa Trump kwa Balozi wa Saudi Arabia Mjini Washington umeibua mjadala mkali
Video ya hotuba ya Rais wa Marekani katika kikao kilichofanyika Miami, ambapo alitumia mtindo wa utani akimtaja Balozi wa Saudi Arabia nchini Marekani, imesambaa kwa wingi kwenye mitandao ya kijamii na kuibua maoni na mjadala mkali miongoni mwa watumiaji.
-
Uharibifu wa Makaburi ya Jannat al-Baqi‘ - Historia na Umuhimu Wake
Uharibifu wa Jannat al-Baqii umeacha doa lisilofutika katika historia ya Uislamu. Makaburi haya hayakuwa tu sehemu ya kumbukumbu ya kihistoria, bali pia yalikuwa alama ya mapenzi na heshima kwa watu waliotumikia Uislamu kwa ikhlasi na kujitolea. Leo hii, Waislamu kote duniani wanaendelea kuomba urejesheaji Heshima na Staha inayostahili kwa Makaburi haya matukufu.
-
Utawala wa Saudi umemnyonga kijana mmoja wa Shi’a kutoka Qatif
Wapinzani wa Saudi wameeleza kuwa Mohammed Al-Ammar hakuwa mtenda dhambi wala mwanamgambo; bali alikuwa kijana aliyeota uhuru, heshima, na haki za kijamii. Lakini utawala ambao haukubali mazungumzo, unapandisha mti wa kifo mbele ya sauti ya uhuru, na hukata vichwa dhidi ya yale yanayodaiwa kwa amani.
-
Jeshi la Italia Lakamata Meli ya Mizigo ya Silaha Inayodaiwa Kutoka Saudi Arabia Kwenda Israel
Kwa mujibu wa vyanzo vya usalama, silaha hizo zinadaiwa kuwa sehemu ya mpango mpana wa usafirishaji wa vifaa vya kijeshi kuelekea Israel, wakati huu ambapo mapigano na mashambulizi katika Ukanda wa Gaza yanaendelea.
-
The New York Times: Picha za satelaiti za 2022 zimefichua vituo vitatu vipya vya vifaa vya Kimarekani magharibi mwa Saudi Arabia
Kambi hizi za kijeshi zinaonyesha maandalizi ya mzozo wa muda mrefu na Iran, wakati ambapo Washington inatafuta kuyaweka maeneo katika usalama mbali na Iran ili kuhifadhi vifaa yake vya kijeshi na kupunguza hatari ya kulengwa na kulipuliwa na Iran.
-
Mwanazuoni wa Kishia wa Pakistani:
Uungaji mkono wa Serikali ya Pakistan kwa Iran ni hatua ya kijasiri na ya kupongezwa
Katibu Mkuu wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan amepongeza uungaji mkono wa serikali ya Pakistan kwa Iran dhidi ya mashambulizi ya Israel na ameitaja hatua hiyo kuwa ya kijasiri na ya kupongezwa na kuzitaka nchi za Kiislamu kuchukua misimamo thabiti dhidi ya uvamizi wa Wazayuni.
-
Kiongozi wa Kishia wa Pakistan: Safari ya Rais wa Marekani katika Nchi za Kiarabu ni Dhihaka kwa Mafundisho ya Kiislamu na Heshima ya Kiislamu
Katibu Mkuu wa Wafaq ul-Madaris al-Shia wa Pakistan, Hujjatul Islam Muhammad Afzal Haidari, alielezea masikitiko yake juu ya mapokezi yaliyotolewa na nchi za Kiarabu kwa Rais wa Marekani. Alisema kuwa njia iliyotumika kumkaribisha mtu mwenye kuuhami utawala wa Kizayuni, ni ya aibu na ni dhihaka kwa mafundisho ya Kiislamu na Heshima ya Kiislamu.
-
Hatima Isiyojulikana ya Imam wa Ijumaa wa Quetta Nchini Saudi Arabia
Wakati siku 28 zimepita tangu kukamatwa na kupotea kwa Hujjat al-Islam Ghulam Hasnain Wijdani, mchungaji maarufu kutoka Pakistan nchini Saudi Arabia, bado hakuna taarifa yoyote kuhusu hali yake na mahali anaposhikiliwa.
-
Donald Trump na Abu Muhammad al-Julani wakutana katika Mji wa Riyadh | Mwanzo wa sura mpya katika uhusiano kati ya Damascus na Washington
Rais wa Serikali ya mpito ya Syria alikutana na Rais wa Marekani katika mji mkuu wa Saudi Arabia, Riyadh.