vikwazo
-
Marekani yaiongezea vikwazo Urusi
Wakati serikali ya Ukraine na waasi wanaotaka kujitenga wakijiandaa kwa mazungumzo mapya, serikali ya Marekani Ijumaa imeweka vikwazo zaidi dhidi ya jimbo la Crimea linalodhibitiwa na Urusi.
-
Umoja wa Ulaya kuiwekea Urusi vikwazo vipya
Umoja wa Ulaya umekubaliana kuweka vikwazo vipya dhidi ya jimbo lililochukuliwa na Urusi la Crimea kuonesha msimamo wake dhidi ya Urusi,
-
Umoja wa Ulaya waendelea na vikwazo dhidi ya Iran
Umoja wa Ulaya umerefusha hatua ya kuzuwia baadhi ya mali za Jamhuri ya kiislamu Iran ikiwa ni sehemu ya vikwazo dhidi ya nchi hiyo, baada ya mazungumzo yenye lengo la kupunguza harakati za mpango wa nyuklia wa nchi hiyo kurefushwa kwa miezi saba.
-
Lavrov: ayashutumu mataifa ya magharibi kwa kuchochea mapinduzi chini Urusi
Waziri wa mambo ya nje wa Urusi Sergei Lavrov ameyashutumu mataifa ya magharibi kwa kutaka kulazimisha mabadiliko ya utawala nchini Urusi kwa kupitia vikwazo kuhusiana na mzozo wa Ukraine.
-
Marekani: Urusi iwekewe vikwazo zaidi
Marekani imeliambia baraza la usalama la Umoja wa Mataifa kuwa kuna haja ya kuishinikiza zaidi Urusi ili iheshimu makubaliano ya kusitsisha mapigano nchini Ukraine huku Urusi ikikanusha ni kitisho kwa jirani yake Ukraine.