vikwazo
-
Vikwazo vya kuibuka kwa “tofauti za kitabaka” kama chanzo cha kuporomoka kwa jamii katika Uislamu
Uislamu, ili kuzuia kuporomoka kwa jamii kunakosababishwa na tofauti za kitabaka, umezingatia misingi ya kimaadili na kiitikadi kama vile tauhidi na uadilifu, na kwa kuweka hukumu za kiuchumi kama vile zaka, khumsi na kuharamisha riba, pamoja na kubainisha majukumu ya serikali ya Kiislamu, unalenga kusambaza mali kwa uadilifu na kusaidia wahitaji. Hatua hizi zimekusudiwa kuunda jamii yenye usawa na iliyo mbali na ufa mkubwa wa kitabaka.
-
A'shura ni ishara ya uvumilivu katika vyombo vya habari vya Bahrain, lakini kwa kweli, ni eneo la ukandamizaji dhidi ya Mashia
Mwanaharakati wa haki za binadamu wa Bahrain amesema: A'"shura inatolewa kila mwaka katika vyombo vya habari vya Bahrain kama ishara ya uhuru na uvumilivu wa kidini, lakini kivitendo wafuasi wa Kishia wanakabiliwa na ukiukwaji mkubwa wa sheria na vikwazo vikali, kuanzia kukamatwa na kuandikiwa wito hadi kuharibiwa maeneo ya kidini na mashinikizo ya kubadili mavazi ya kidini.
-
Iran imeapa kutoa jibu "kali" ikiwa itawekewa tena vikwazo vya Magharibi kupitia Umoja wa Mataifa
Msemaji wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) Behrouz Kamalvandi anasema kuhusu nchi za Magharibi: Iran imezionya nchi za Magharibi dhidi ya kichochezi cha "kidhalimu" cha "kuwekea kwa mara nyingine tena" vikwazo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu katika Umoja wa Mataifa, akisema kwamba Iran itatoa jibu kali la kutisha.