vyanzo
-
Mashahidi katika shambulio la kujitoa mhanga dhidi ya Msikiti wa Mashia katika mji mkuu wa Pakistan
Mashahidi 31 katika shambulio la kujitoa mhanga dhidi ya msikiti wa Mashia katika mji mkuu wa Pakistan Kufuatia shambulio la kujitoa mhanga katika moja ya misikiti ya Mashia huko Islamabad, angalau watu 31 wamepata shahada.
-
Kukamatwa kwa mtuhumiwa wa kushiriki katika mauaji ya Shahidi Sayyid Hassan Nasrallah
Mwandishi wa habari wa Lebanon ametangaza kuwa mtu aliyeko chini ya ulinzi wa Idara ya Usalama wa Umma ya Lebanon alihusika kwa kushirikiana na Israel na kukusanya taarifa zilizopelekea kuuawa kwa Sayyid Hassan Nasrallah.
-
Kiongozi wa Iran Afichua Malengo ya Marekani Juu ya Utajiri wa Taifa la Iran
Imam Khamenei amesema Iran inalengwa na Marekani kutokana na utajiri wake wa asili na nafasi yake ya kijiografia, akibainisha kuwa mafuta, gesi na madini ya thamani ni miongoni mwa vivutio vinavyoifanya Iran kuwa shabaha ya tamaa ya kibeberu. Kauli hiyo aliitoa wakati wa maadhimisho ya miaka 47 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Taliban Wamefunga Kituo cha Kielimu na Kitamaduni cha Imam Hussein (a.s) Jijini Kabul
Kituo cha Kielimu na Kitamaduni cha Imam Hussein (a.s) kilihesabiwa kuwa miongoni mwa vituo hai vya kitamaduni vya Waislamu wa Kishia katika magharibi mwa Kabul. Kufungwa kwake kumeibua hisia na malalamiko miongoni mwa wakazi wa eneo hilo na wanaharakati wa kitamaduni, ambao wameeleza wasiwasi wao kuhusu mustakabali wa shughuli za kielimu na kitamaduni za jamii hiyo chini ya utawala wa sasa.
-
“Barna”, mgombea madhubuti wa kuchukua nafasi ya Benjamin Netanyahu
Kwa mujibu wa madai ya tovuti moja ya Kizayuni, vyanzo vya kisiasa nchini Israel vinamtaja David Barna, mkuu wa Mossad, kama mmoja wa wagombea wakuu wa kumrithi Benjamin Netanyahu.
-
Ushahidi wa Kifo cha Kishahidi cha Bibi Fatimah az-Zahra (a.s) | Mtizamo wa Shia na Sunni juu ya Kifo Hicho
Ushahidi wa Riwaya za Kisunni: Shia pia wametaja kuwa baadhi ya maelezo kuhusu tukio la shambulio la nyumba ya Bibi Fatimah (a.s.) na Imam Ali (a.s.) yanapatikana hata katika baadhi ya vitabu vya Kisunni, na wamekusanya riwaya zaidi ya 84 kutoka kwa wanazuoni wa Kisunni kuhusu tukio hilo (kama ilivyokusanywa katika al-Hujūm ʿalā Bayt Fāṭimah (a.s).
-
Netanyahu: Uwepo wa Uturuki Gaza ni mstari mwekundu kwa Israel
Vyombo vya habari vya Israeli vimereport kuwa Binyamin Netanyahu amekataa kabisa hatua yoyote ya Uturuki kushiriki katika Ardhi ya Ukanda wa Gaza.
-
Kuanza kwa Operesheni ya Kijeshi Katika Bonde la Al-Shay, Kirkuk kwa Lengo la Kuangamiza Maficho ya ISIS
Vyanzo vya usalama vya Iraq vimetangaza kuwa operesheni maalum ya kijeshi imeanza katika sehemu ya mashariki ya Bonde la Al-Shay, karibu na mji wa Kirkuk.
-
Muqtada al-Sadr Ataka Iraq Ianzishe Mazungumzo na Uturuki Kuhusu Mgogoro wa Maji
Kufuatia kupungua kwa vyanzo vya maji nchini Iraq, Muqtada al-Sadr ametoa wito wa kuanzishwa kwa mazungumzo na Uturuki ili kuongeza mgao wa maji, na ametahadharisha kuhusu athari za mgogoro wa maji kwa afya na kilimo cha wananchi.
-
Mtume Mtukufu (s.a.w.w) na Sanaa ya Kuonyesha Mapenzi Ndani ya Familia
Familia katika mtazamo wa Mtume Mtukufu (s.a.w) si tu kitovu cha utulivu, bali ni uwanja wa kudhihirika kwa maadili ya kimungu. Yeye (s.a.w.w), kwa tabia yake tukufu na kwa kushikamana na mafundisho ya Qur'an kama vile: " - Semeni naye - kwa upole" (قَوْلًا لَّیِّنًا), na "Hakika wewe ni mwenye tabia njema kabisa" (إِنَّکَ لَعَلَىٰ خُلُقٍ عَظِیمٍ), alionesha ustadi wa kipekee katika kuonyesha mapenzi kwa wake na watoto wake. Makala hii, ikitegemea vyanzo vya Kishia, inachunguza mwonekano wa upendo wa Mtume (s.a.w.w) ndani ya familia, na inatoa mafunzo ya kudumu kwa familia za leo.
-
Jeshi la Israel lawageukia Wayahudi wa Kigeni ili kutatua uhaba wa wanajeshi
Kwa mujibu wa ripoti hiyo, jeshi la Israel linapanga kuwalenga zaidi Wayahudi vijana wenye umri wa miaka 18 hadi 25 kutoka Marekani na Ufaransa, kuwahimiza wahamie katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na kujiandikisha jeshini kwa kipindi cha miaka kadhaa.
-
Mapendekezo Manne Muhimu Kutoka kwa Imam Hasan al-Mujtaba (a.s)
Hii ndiyo kanuni ya dhahabu ya uadilifu. Ikiwa tungekuwa tunapenda kutendewa kwa heshima, haki na upendo, basi nasi pia tuwape wengine hivyo.