17 Machi 2025 - 16:49
Katika kukabiliana na mashambulizi ya Marekani... Yemen inakabiliana na ongezeko la mvutano kwa ongezeko la mvutano

Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (a.s) - ABNA -: Vikosi vya jeshi la Yemen vimelenga (vimeishambulia) Meli ya kubebea ndege za Kivita ya USS Truman katika Bahari Nyekundu kwa mara ya pili ndani ya masaa 24 kwa kutumia Makombora ya Balistiki na Mbawa na Droni (Ndege za mashambulkizi zisizokuwa na rubani). Kiongozi wa vuguvugu la Ansarullah la Yemen, Sayyid Abdul Malik Al-Houthi, amethibitisha kuwa Yemen itakabiliana na hali yoyote ya ongezeko la kasi ya mvutano kwa ongezeko la kasi ya mvutano.

Your Comment

You are replying to: .
captcha