15 Aprili 2025 - 17:14
Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania Sheikh Dkt Abubakar Zuber Bin Ally atazindua Ofisi Mpya ya Bakwata Kata ya Vingunguti Dar Es salaam.

Ufunguzi huo wa Ofisi hiyo utajiri Kesho Siku ya Jumatano, tarehe 16 April, 2025, Muda wa saa 3 Asubuhi.

Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - ABNA - Mheshimiwa Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Dkt Abubakar Zuber Bin Ally anatarajia kuzindua Ofisi Mpya ya BAKWATA , Kata ya Vingunguti, Dar-es-salaam, Tanzania.

Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania Sheikh Dkt Abubakar Zuber Bin Ally atazindua Ofisi Mpya ya Bakwata Kata ya Vingunguti Dar Es salaam.

Ufunguzi huo wa Ofisi hiyo utajiri Kesho Siku ya Jumatano, tarehe 16 April, 2025, Muda wa saa 3 Asubuhi.

Ofisi hio imepatikana chini ya usimamizi wa Mstahiki Meya na Diwani wa Vingunguti Mheshimiwa Omar Kumbilamoto.

Chanzo cha Habari: @miladu_tv

Your Comment

You are replying to: .
captcha