23 Juni 2025 - 18:41
Mashambulizi ya Iran kwenye kiwanda cha kusafisha mafuta cha Haifa yanaiwasha moto ndoto ya siku zijazo ya nishati ya Tel Aviv + Video

Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Shambulio la makombora la Iran kwenye kiwanda cha kusafisha mafuta cha Haifa katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu ya Palestina, si tu kwamba limesababisha kiwanda kikubwa zaidi cha kusafisha mafuta cha utawala huo ghasibu kutofanya kazi kwa zaidi ya mwezi mmoja, bali pia limetoa pigo kubwa kwa ndoto za mpango kabambe wa Nishati wa Wazayuni katika ukanda wa "Arab-Mediterranean".

Mashambulizi ya Iran kwenye kiwanda cha kusafisha mafuta cha Haifa yanaiwasha moto ndoto ya siku zijazo ya nishati ya Tel Aviv + Video

Baadhi ya Picha za Shambulizi la Iran katika kiwanda cha kusafisha mafuta cha Haifa. Tizama picha na video uone namna shambulizi hili lilivyokisambaratisha kiwanda hicho.Israel inaendelea kuchapika na kuvuna ilichokipanda. Hakika Iran ni taifa kubwa israel haina uwezo na ubavu wa kutoka salama katika vita yake iliyoianzisha dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

Mashambulizi ya Iran kwenye kiwanda cha kusafisha mafuta cha Haifa yanaiwasha moto ndoto ya siku zijazo ya nishati ya Tel Aviv + Video

Iran Taifa kubwa lenye jumla ya watu milioni 90. Nguvu zake za kijeshi ni kubwa, moto wake ni mkubwa, watu wake ni imara, ni taifa la imani na lenye ujuzi na umahiri wa kivita, utakuwa hujaijua Iran na historia yake endapo utadhani au kuthubutu kuilinganisha Iran na nchi bandia yenye jumla ya watu milioni 9 tu na wote makafiri wa dunia na wanaogopa kifo! na sasa wanaanza kuikimbia israel na kurudi huko walikotoka, na hakika hatima ya utawala huo haram wa kizayuni ni kufutwa katika ramani ya dunia, na wapalestina kurudisha ardhi zao na kuendelea kuishi katika ardhi yao na nchi yao huru ya Palestina.

Mashambulizi ya Iran kwenye kiwanda cha kusafisha mafuta cha Haifa yanaiwasha moto ndoto ya siku zijazo ya nishati ya Tel Aviv + Video

Mashambulizi ya Iran kwenye kiwanda cha kusafisha mafuta cha Haifa yanaiwasha moto ndoto ya siku zijazo ya nishati ya Tel Aviv + Video

Mashambulizi ya Iran kwenye kiwanda cha kusafisha mafuta cha Haifa yanaiwasha moto ndoto ya siku zijazo ya nishati ya Tel Aviv + Video

Your Comment

You are replying to: .
captcha