28 Septemba 2014 - 18:19
Magaid 82 wa Daesh wauawa Iraq

Kamanda wa kikosi cha wapambaji wa jeshi la Iraq amesema kuwa wamefanikiwa kuwaua magaidi themanini na wawili.

Kamanda wa kikosi cha wapambaji wa jeshi la Iraq amesema kuwa wamefanikiwa kuwaua magaidi themanini na wawili.
magaidi hao wamepoteza maisha baada ya mapigano makali kujiri katika mji wa Al-twass na mji wa Al-Bujasim.
Ahmad Swadak Deyaimi amesema kuwa kikosi chake bado kinaendelea na msako dhidi ya magaidi hao, wanaofanya jinai kwa binadamu na kuchafua jina la dini tukufu ya kiislamu.