Ayatollah Ramezani
-
Bayani / Taarifa ya Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (as):
Kuuawa Shahidi kwa Kiongozi Mkuu wa Waislamu kulikuwa Mwanzo wa Biitha Mpya ya watu wa Iran na Umma wa Kiislamu
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (as), akitoa taarifa kwa mnasaba wa kuuawa na kuzikwa kwa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, amelitaja tukio hilo kuwa ni msiba usioweza kurekebishwa kwa Uislamu, Taifa la Iran na Umma wa Kiislamu, na ameielezea safari ya kihistoria ya kuaga ya makumi ya mamilioni ya watu katika miji mitano ya nchi mbili kuwa ni ishara ya “Biitha mpya ya umma” na azma ya Waislamu ya kuendeleza mapambano dhidi ya ubeberu na utawala wa Kizayuni chini ya uongozi wa mrithi mwema wa Kiongozi huyo.
-
Vijana wa Hilali Nyekundu wa Gilan Waadhimisha Maombolezo ya Muharram kwa Hotuba ya Ayatullah Ramadhani mjini Rasht
Maadhimisho ya maombolezo ya siku kumi za kwanza za mwezi wa Muharram kwa vijana wanachama wa Jumuiya ya Hilali Nyekundu ya Mkoa wa Gilan yamefanyika mjini Rasht, ambapo Ayatullah Ramadhani alisisitiza umuhimu wa kueneza mafundisho na ujumbe wa Mapinduzi ya Ashura.
-
Sayyid Ammar al-Hakim na Ayatullah Ramadhani Wajadili Uimara wa Iran na Mchakato wa Kuunda Serikali Mpya Iraq
Katika mkutano uliofanyika Baghdad, Sayyid Ammar al-Hakim na Ayatollah Reza Ramezani walijadili maendeleo ya kisiasa nchini Iraq, huku wakisisitiza uimara wa wananchi wa Iran na umuhimu wa uongozi katika kipindi cha changamoto.
-
Ayatullah Ramezani: Yesu (a.s) ndiye Mwokozi wa Binadamu / Amani ya kweli haiwezekani bila haki
Katibu Mkuu wa Jumuia ya Kimataifa ya Ahlulbayt (a.s) akizungumzia hali ya sasa ya dunia: Ameyasema kwamba jamii ya binadamu leo inakabiliwa na umasikini, ubaguzi, ukosefu wa haki, ujinga, upuuzi na ukoloni wa kihisia. Masuala haya yamezua wasiwasi mkubwa. Aidha, tabia ya ukatili imeibuka katika baadhi ya jamii, na matukio ya uvunjaji wa haki, mauaji na vurugu yameenea.
-
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s): Imam Khomeini (r.a) Aliirejesha Dini Kutoka Pembezoni Hadi Kiini cha Jamii na Utawala
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s), Ayatullah Reza Ramadhani, amesema kuwa Imam Khomeini (r.a) aliirejesha dini kutoka pembezoni hadi kuwa kiini cha maisha ya kijamii na mfumo wa utawala, akithibitisha kuwa dini inaweza kuwa msingi wa uongozi, haki ya kijamii na ujenzi wa ustaarabu wa kisasa.
-
Hafla ya Uzinduzi wa "Mausu‘ah ya Maarifa ya Kishia" Yafanyika / Mfumo wa Kimaarifa wa Kuutambulisha Ushia kwa Msingi wa Akili na Uelewa wa Pamoja
Hafla ya Uzinduzi wa “Mausu‘ah ya Maarifa ya Kishia” Yafanyika / Mfumo wa Kimaarifa wa Kuutambulisha Ushia kwa Msingi wa Akili na Uelewa wa Pamoja wa Kibinadamu
-
Mahakama Kuu Yaweza Kuongeza Ufanisi wa Mfumo wa Kiislamu Kupitia Utekelezaji wa Haki
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya AhlulBayt (a.s), akiwa mbele ya wakurugenzi na wafanyakazi wa Mahakama ya Mkoa wa Gilan, amesema kuwa utekelezaji sahihi wa haki na usawa katika taasisi zote za serikali unaweza kuongeza ufanisi wa Jamhuri ya Kiislamu na kuthibitisha madai yake ya msingi kuhusu haki katika utawala.
-
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ahlul Bayt (a.s) Akutana na Imam wa Isfahan | Asisitiza Upanuzi wa Shughuli za Dini
Akizungumza kuhusu ziara yake Ispahan, Ayatullah Reza Ramadhani alikutana na Ayatullah Sayyid Yusuf Tabatabai-Nejad na kutoa ripoti kuhusu programu za mabadiliko na shughuli za kimataifa za Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul Bayt (a.s).
-
Ujumbe wa rambirambi wa Ayatollah Ramezani kwa Mkuu wa Haram ya Kudumu ya Razavi
Ayatollah Ramezani katika ujumbe wake aliweka rambirambi kwa kifo cha dada wa Ayatollah Marvi.