Ayatollah Ramezani
-
Ayatullah Ramezani: Yesu (a.s) ndiye Mwokozi wa Binadamu / Amani ya kweli haiwezekani bila haki
Katibu Mkuu wa Jumuia ya Kimataifa ya Ahlulbayt (a.s) akizungumzia hali ya sasa ya dunia: Ameyasema kwamba jamii ya binadamu leo inakabiliwa na umasikini, ubaguzi, ukosefu wa haki, ujinga, upuuzi na ukoloni wa kihisia. Masuala haya yamezua wasiwasi mkubwa. Aidha, tabia ya ukatili imeibuka katika baadhi ya jamii, na matukio ya uvunjaji wa haki, mauaji na vurugu yameenea.
-
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s): Imam Khomeini (r.a) Aliirejesha Dini Kutoka Pembezoni Hadi Kiini cha Jamii na Utawala
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s), Ayatullah Reza Ramadhani, amesema kuwa Imam Khomeini (r.a) aliirejesha dini kutoka pembezoni hadi kuwa kiini cha maisha ya kijamii na mfumo wa utawala, akithibitisha kuwa dini inaweza kuwa msingi wa uongozi, haki ya kijamii na ujenzi wa ustaarabu wa kisasa.
-
Hafla ya Uzinduzi wa "Mausu‘ah ya Maarifa ya Kishia" Yafanyika / Mfumo wa Kimaarifa wa Kuutambulisha Ushia kwa Msingi wa Akili na Uelewa wa Pamoja
Hafla ya Uzinduzi wa “Mausu‘ah ya Maarifa ya Kishia” Yafanyika / Mfumo wa Kimaarifa wa Kuutambulisha Ushia kwa Msingi wa Akili na Uelewa wa Pamoja wa Kibinadamu
-
Mahakama Kuu Yaweza Kuongeza Ufanisi wa Mfumo wa Kiislamu Kupitia Utekelezaji wa Haki
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya AhlulBayt (a.s), akiwa mbele ya wakurugenzi na wafanyakazi wa Mahakama ya Mkoa wa Gilan, amesema kuwa utekelezaji sahihi wa haki na usawa katika taasisi zote za serikali unaweza kuongeza ufanisi wa Jamhuri ya Kiislamu na kuthibitisha madai yake ya msingi kuhusu haki katika utawala.
-
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ahlul Bayt (a.s) Akutana na Imam wa Isfahan | Asisitiza Upanuzi wa Shughuli za Dini
Akizungumza kuhusu ziara yake Ispahan, Ayatullah Reza Ramadhani alikutana na Ayatullah Sayyid Yusuf Tabatabai-Nejad na kutoa ripoti kuhusu programu za mabadiliko na shughuli za kimataifa za Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul Bayt (a.s).
-
Ujumbe wa rambirambi wa Ayatollah Ramezani kwa Mkuu wa Haram ya Kudumu ya Razavi
Ayatollah Ramezani katika ujumbe wake aliweka rambirambi kwa kifo cha dada wa Ayatollah Marvi.
-
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt(AS);
Amezisifu Mamlaka za Kidini na Wanazuoni wa Kiislamu / Kiongozi wa Mapinduzi ni kielelezo cha Elimu, Ucha Mungu, Kupinga dhulma, na Mamlaka ya Dini
Katika taarifa yake muhimu na ya kina, Katibu Mkuu wa Jukmuiya ya Kimataifa ya Ahlul Bayt (as) -ABNA - amelaani matusi na vitisho vya hivi karibuni dhidi ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran na kushukuru misimamo yenye nuru ya viongozi na wasomi wakuu (Marajii) wa kidini duniani.
-
Ayatullah Ramadhani: Bila ya Ghadir, Dini Ingepotoshwa Tangu Miaka ya Kwanza
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) kwa kusisitiza nafasi ya kimkakati ya tukio la Ghadir katika kulinda asili na usafi wa dini, alisema: "Kama lisingekuwepo tukio la Ghadir, basi dini ingeweza kupotoshwa tangu miaka ya mwanzo."
-
Habari iliyoenea ya ufunguzi wa Ofisi ya ABNA nchini Ghana katika Vyombo vya Habari nchini Ghana
Sambamba na ufunguzi wa Ofisi ya kikanda ya Shirika la habari la ABNA nchini Ghana, vyombo vya habari vya nchi hiyo vilikaribisha uwepo wa chombo hiki cha habari cha kimataifa na kukitambulisha kama jukwaa la kusambaza simulizi za kitamaduni na kidini kutoka ulimwengu wa Kiislamu hadi Afrika Magharibi.
-
Ayatollah Ramezani: "Viongozi wa Dini wanapaswa kuwa waongozaji katika kufanikisha amani yenye haki"
Mkutano wa kihistoria wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ahlul Bayt (a.s) na Askofu Mkuu wa Kanisa la Ivory Coast
Katika ziara ya Ayatollah Reza Ramezani, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ahlul Bayt (a.s) nchini Ivory Coast, alikutana kwa kifamilia na Kardinali Ignace Dogbo Assi, Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki nchini humo na mwakilishi wa Vatican. Katika mazungumzo hayo, pande zote mbili zilisisitiza umuhimu wa mazungumzo ya kidini, kuunga mkono heshima ya utu wa binadamu, na juhudi za kufanikisha amani ya kudumu duniani.