China
-
Dai la Wall Street Journal: Vikosi vya Marekani Vavamia Meli Iliyokuwa Ikisafirisha Shehena ya China Kwenda Iran
Kwa mujibu wa madai ya gazeti la Wall Street Journal, vikosi maalum vya Marekani vilivamia na kuteka meli iliyokuwa ikibeba shewena ya kijeshi kutoka China kuelekea Iran katika Bahari ya Hindi mnamo Novemba 2025.
-
Makampuni makubwa ya silaha kutoka Russia, Marekani, China na Ulaya waanza kunakili teknolojia ya Droni "Shahed“ ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Umaarufu unaozidi kuongezeka wa drone ya Shahed ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran umeleta mabadiliko makubwa katika fikra za kiulinzi duniani, na sasa mataifa yenye uwezo mkubwa yanaanza kujifunza kutoka kwa taifa lililotumia ubunifu na uhalisia badala ya gharama kubwa.
-
Mkutano wa Balozi wa China mjini Kabul na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Taliban kuhusu vifo vya raia wa China mpakani mwa Afghanistan na Tajikistan
“Balozi wa China mjini Kabul, katika mkutano na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Taliban, alitaja mashambulio ya hivi karibuni dhidi ya wafanyakazi wa China katika eneo la mpakani kati ya Tajikistan na Afghanistan — ambayo yamesababisha vifo vya watu 5 na kuwajeruhi wengine kadhaa — kuwa ‘kitendo cha maadui kwa ajili ya kuleta kutokuaminiana’. Pia aliishukuru Taliban kwa kuanzisha uchunguzi kuhusu tukio hilo.
-
Barua ya Iran, Urusi na China kwa Grossi: Wajibu wa Kuripoti wa IAEA Umefikia Mwisho
Wawakilishi wa kudumu wa Iran, Urusi na China katika Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) wamemwandikia barua rasmi Rafael Grossi, Mkurugenzi Mkuu wa wakala huo, wakisisitiza kuwa kwa kumalizika kwa muda wa utekelezaji wa Azimio la 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, jukumu la IAEA la kuwasilisha ripoti chini ya azimio hilo limefikia mwisho, na kwamba hatua yoyote mpya katika mwelekeo huo haina uhalali wa kisheria.
-
Makabiliano ya kimya kati ya Misri na Israel huko Sinai
Kuongezeka kwa uwepo wa kijeshi wa Misri katika Sinai na ushirikiano wa kimkakati na China, kumeanzisha mgogoro mpya kati ya Cairo na Tel Aviv na kuweka hatarini mustakabali wa mkataba wa amani wa Camp David.
-
China Yaonesha Nguvu za Kijeshi Katika Gwaride Huku Rais wa China Xi Akisimama Pamoja na Rais Putin na Rais Kim +Picha
China iliandaa gwaride kubwa la kijeshi kuonesha uwezo wake wa kivita, huku Rais Xi Jinping akisalimiana na kusimama pamoja na Rais Vladimir Putin wa Urusi na Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un. Hafla hiyo iliangazia umoja wa kisiasa kati ya mataifa hayo na kuonesha silaha mpya na teknolojia ya kisasa ya kijeshi mbele ya maelfu ya watazamaji na viongozi wa kimataifa.
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ataka Utekelezaji wa Makubaliano ya Kistratejia kati ya Iran na China
Ayatollah Khamenei amesisitiza nafasi ya kihistoria na ya kimkakati ya Iran na China katika bara la Asia na duniani, na akasema kuwa: "Iran na China, zikiwa na historia ya ustaarabu wa kale katika pande mbili za Asia, zina uwezo wa kuleta mabadiliko katika medani ya kimataifa na kikanda. Kuweka katika vitendo vipengele vyote vya makubaliano ya kistratejia, kutarahisisha njia hii."
-
Mawaziri wa Mambo ya Nje wa China na Pakistan Wawasili Kabul, Afghanistan
Waziri wa Mambo ya Nje wa China alipokelewa na Amir Khan Muttaqi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Serikali ya Kaimu ya Afghanistan, na kufanya naye mazungumzo. Wakati huo huo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan alipokelewa na Hanafi Wardak, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Serikali ya Taliban.
-
Wanasayansi wa China Watengeneza Bomu Jipya Lenye Nguvu Bila Mionzi ya Nyuklia
Habari njema ni kuwa, kwa kuwa bomu hili si la nyuklia, halitoi mionzi yoyote hatari ya sumaku au ya miale ya nyuklia. Teknolojia hii mpya inaweza kubadilisha matumizi ya silaha za nguvu zisizo za nyuklia katika siku zijazo.
-
Kuendelea kuwepo kwa Marekani nchini Afghanistan kinyume na misimamo rasmi ya pande husika / Ujasusi na vitisho vya Marekani kwa nchi za eneo
Ingawa Marekani kwa dhihiri imeondoa majeshi yake kutoka Afghanistan, ripoti na kauli za Donald Trump zinaonyesha kuwa msingi mmoja wa kimkakati bado uko chini ya udhibiti wa Marekani nchini humo. Washington inatumia kambi hii kufanikisha malengo kama vile ufuatiliaji wa taarifa za kijasusi kuhusu Iran, China na Urusi, pamoja na kuhifadhi ushawishi wake katika Asia ya Kati.