Mtazamo
-
Irada ya Mwanadamu; Ufunguzi wa Mafanikio na Furaha katika Mafundisho ya Qur’ani na Hadithi
Mtazamo wa Qur'an kuhusu Irada: Qur’ani Tukufu inamueleza mwanadamu kuwa kiumbe mwenye uhuru wa kuchagua na mwenye kuwajibika: “Hakika Mwenyezi Mungu habadilishi yaliyoko kwa watu mpaka wabadilishe yaliyoko katika nafsi zao.” (Sura ya Ra’d, aya 11).
-
Kwa nini Ndoa ya Mitala isiyo Rasmi ("Ndoa Nyeupe" au White Marriage) ni tishio kwa Familia na Jamii?
Makala hii inachambua kwa mtazamo wa kina sababu za upinzani wa Uislamu dhidi ya ndoa nyeupe na inafafanua athari na madhara ya kijamii yanayosababishwa na aina hii ya ndoa.
-
Ndoa ya “Kiutendaji” na “Kimwitikio” katika Mtindo wa Maisha wa Kiislamu
Ndoa ya Kiutendaji (konshi) inajengwa juu ya msingi wa uelewa, upangaji, kuwa na malengo, na maarifa ya kina, ambayo yanaendana na mafundisho ya Qur'ani yanayosisitiza kutafakari na kutumia akili kwa kina. Kinyume chake, ndoa ya Kimwitikio (vakoneshi) hutokana na mashinikizo ya nje, pupa, na hisia za muda mfupi, hali ambayo inakinzana na mafunzo ya Qur'ani yanayohimiza kuepuka pupa na kufanya mashauriano. Kwa hivyo, uchaguzi wa ndoa wa kimakini na wa kuwajibika – yaani ndoa ya kiutendaji – unakubaliana zaidi na mtazamo wa Kiislamu.
-
"Ayatollah Ramezani: Dini inapaswa kuwa na ufanisi katika nyanja mbalimbali za kitamaduni, kisiasa na kiuchumi"
"Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) alisema: Tunapaswa kuwa na mtazamo jumuishi kuhusu dini ili tuone athari kamili za dini; mtazamo jumuishi maana yake ni kwamba dini ina sura ya nje na ya ndani, ina wajibu wa mtu binafsi na pia wajibu wa kijamii. Haiwezekani dini iwe na hukumu nyingi za kijamii lakini isiwe na Serikali."