Mwisho
-
Utawala wa Kizayuni umepokea mabaki ya mfungwa wa mwisho mwenye uraia wa Marekani na Israel kutoka Gaza
Utawala wa Kizayuni umetangaza kuwa umepokea mabaki ya mwili wa Itay Chen, mateka wa mwisho mwenye uraia wa pande mbili -Marekani na Israel- aliyekuwa akishikiliwa katika Ukanda wa Gaza.
-
Scott Ritter: Iran Yailazimisha Israel Kusitisha Vita vya Siku 12 kwa Teknolojia ya Juu ya Makombora
Aliyekuwa askari wa Kikosi cha Wanamaji cha Marekani na mpelelezi wa zamani wa Umoja wa Mataifa kuhusu silaha za maangamizi, Scott Ritter, amesema kuwa Iran katika vita vya siku 12 haikurudisha tu udhibiti wa hali ya vita, bali pia iliadhibu vikali utawala wa Kizayuni kwa kutumia teknolojia yake ya kisasa ya makombora ya masafa marefu.
-
Maulid Adhimu ya Mtume (s.a.w.w) Temeke Mwisho - Dar-es-salaam kuvutia wageni wa kitaifa na Kimataifa - Maandalizi yakamilika kwa Kiwango cha Juu
Dr. Alhad Mussa Salum ametoa wito kwa Waumini kuhudhuria kwa wingi, akisisitiza umuhimu wa kumuadhimisha Mtume Muhammad (s.a.w.w) kwa upendo na amani.
-
Imamu wa Ijumaa wa Baghdad: Israel na Trump wamesalimu amri mbele ya masharti ya Muqawama huko Gaza
Ayatollah Sayyid Yasin Musawi, Imamu wa Ijumaa wa Baghdad na mmoja wa wasomi mashuhuri wa Hawza ya Najaf Ashraf, amesisitiza kuwa “tukio muhimu zaidi duniani kwa sasa ni kusalimu amri kwa Israel na Waziri Mkuu wake Benjamin Netanyahu pamoja na Rais wa Marekani Donald Trump mbele ya masharti ya Muqawama wa Kiislamu huko Gaza.” Amesema kuwa usitishaji mapigano uliotangazwa hivi karibuni ni “ushindi wa wazi wa Muqawama na matokeo ya uimara wa wananchi wa Palestina.”
-
Dr. Alhad Mussa Salum: “Tumuadhimishe Mtume (S) na Tufuate Nyayo Zake”:
Jiji la Dar es Salaam Kujumuika Katika Maulid ya Masjid Majmuuat - Temeke Mwisho (Ijumaa: 17 -10-2025)
Dr. Alhad Mussa Salum ametoa wito kwa Waumini na watu wote wa Dar -es- Salaam na vitongoji vyake kuhudhuria kwa wingi katika hafla hiyo akisisitiza: “Tumuadhimishe Mtume Muhammad (s.a.w.w), tumtukuze, na tufuate nyayo zake kwa upendo na amani.”
-
Katika mazungumzo na ABNA:
Ushuhuda wa Dada wa Shahidi Abbas Mousavi Kuhusu Kiongozi wa Muqawama:Syed alikuwa Mpenzi wa Mungu -Tulipata nguvu na matumaini kutoka kwa hotuba zake
Bi Hoda Mousavi, dada wa shahidi Sayed Abbas Mousavi, Katibu Mkuu wa zamani wa Hezbollah Lebanon, amesema: Sisi daima tulihisi katika maneno na mwongozo wake kwamba yeye kwanza kabisa alikuwa mpenzi wa Mungu. Mara tu tuliposikiliza hotuba zake, tulivutiwa kimagnet kwa hisia kwake; siri ya hilo ilikuwa katika ikhlasi na uaminifu wake kwa mpenzi wake wa kimungu.
-
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeongeza muda wa jukumu la UNIFIL nchini Lebanon hadi mwisho wa mwaka 2026.
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeamua kuongeza muda wa jukumu la wanajeshi wa UNIFIL kusini mwa Lebanon kwa mara ya mwisho.
-
Kuongezeka kwa Mapokezi ya Ziara za Ahlul-Bayt (a.s) Katika Dunia ya Shia Mwisho mwa Mwezi Safar
mwisho wa mwezi Safar ni kipindi cha kipekee cha ziara, kinachotoa fursa ya kiroho, maarifa na kijamii kwa waumini wa Shia, huku akinafunzi na wafuasi wakipata fursa ya kujifunza, kutenda na kuimarisha imani yao kwa Ahlul-Bayt (a.s).
-
Ushiriki wa Vikundi vya Jihadi na Wananchi katika Mahema ya RASHT hadi Mwisho wa Mwezi wa Safar
Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi (SEPAH) wa Eneo Kuu la RASHT, Kanali Hassan Amini, ametangaza kuhusu kuanzishwa kwa mahema ya wananchi katika barabara ya watembea kwa miguu ya kiutamaduni ya Manispaa ya Rasht kwa mwaka wa nne mfululizo, na kusema kuwa mahema haya, yenye programu za kitamaduni, huduma na kidini, yatapokea wageni na wapenzi wa Sayyid al-Shuhadaa (a.s.) hadi mwisho wa mwezi wa Safar.
-
Dajjali ni nani na fitina zake zinavyotishia dunia
Atapita kila sehemu ya dunia isipokuwa Makka na Madinah, ambazo zitalindwa na Malaika wenye panga.