Raia
-
Maafisa wa Kiyemeni katika mazungumzo na Abna:
"Madai ya Israel ni udanganyifu na kupindisha mambo ili kufidia udhaifu katika uwanja wa mapambano / Msaada kwa Gaza hautasitishwa"
"Abdulaziz al-Bakr", Katibu Mkuu wa chama cha "Ujamaa wa Kitaaluma wa Kiyemen" na "Hizam al-Asad", mjumbe wa ofisi ya kisiasa ya harakati ya Ansarullah ya Yemen, katika mazungumzo na shirika la habari la Abna wamesisitiza kuwa: Kila shambulio linalolenga raia wasio na hatia huko Sana'a linageuka kuwa mafuta ya ziada kwa ajili ya harakati ya mapambano ya wananchi wa Yemen.
-
Taifa Haram la Mazayuni lashambulia vikundi vya Kigaidi vya Al-Julani Katika maeneo ya Mji wa Suwayda, Syria
Vikosi vya Genge la Kigaidi la HTS, vinavyoongozwa na Al-Julani, leo asubuhi viliingia katika Mji wa Suwayda, vikiwa na maagizo yaliyoitwa kuwa Maagizo ya "Kulinda Raia".
-
Wananchi wa Yemen wanalenga (wanashambulia) maeneo mbalimbali ya Wazayuni kujibu jinai zinazoendelea kufanywa na Israel
Vikosi vya jeshi la Yemen vimeanzisha operesheni mpya ya ndege zisizo na rubani dhidi ya utawala wa Israel, hatua ambayo kwa mujibu wa duru za Yemen, ilifanyika kujibu mauaji ya raia huko Gaza.
-
Mashambulio ya kinyama ya utawala wa Kizayuni katika baadhi ya Makazi ya raia Jijini Tehran
Katika siku ya tatu ya uvamizi wake dhidi ya nchi yetu, utawala haramu wa Kizayuni ulilenga baadhi ya maeneo ya Tehran katika mfululizo wa mashambulizi makali.