Vitisho
-
Kamanda wa Makao Makuu ya Pamoja ya Ulinzi wa Anga ya Iran: Kusasisha Uwezo na Mafunzo ni Lazima ili Kukabiliana na Maendeleo Mapya
Kamanda wa Makao Makuu ya Pamoja ya Ulinzi wa Anga nchini Iran, Brigedia Jenerali Alireza Elhami, amesema kusasisha vifaa, uwezo na mitaala ya mafunzo ni jambo la lazima ili kukabiliana na mabadiliko ya vitisho vya anga na maendeleo ya teknolojia za kijeshi.
-
Kamanda wa Makao Makuu ya Khatam al-Anbiyaa (s): Iran Itaendelea Kuimarisha Uwezo Wake kwa Azma Kubwa Zaidi
Kamanda wa Makao Makuu ya Khatam al-Anbiyaa (s), Meja Jenerali Ali Abdollahi, amesema Iran itaendelea kuimarisha uwezo wake wa ulinzi, usalama na maendeleo, akisisitiza kuwa taifa hilo halitayumba mbele ya vitisho na mashinikizo ya maadui wake.
-
Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa: Hatutawahi Kusalimu Amri kwa Vitisho wala Mashinikizo
Balozi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitawahi kusalimu amri mbele ya vitisho, mashinikizo au vitendo vya kutisha kutoka nje, akisisitiza kuwa taifa hilo litaendelea kulinda uhuru na haki zake kwa uthabiti.
-
Rais Pezeshkian: Vitisho vya Kulenga Miundombinu Vinadhihirisha Udhaifu Dhidi ya Uamuzi wa Taifa
Rais wa Iran Masoud Pezeshkian amesema kuwa vitisho vya kushambulia miundombinu muhimu ya nchi hiyo vinaonyesha udhaifu wa wapinzani mbele ya uamuzi na mshikamano wa wananchi wa Iran.
-
Kamanda wa Majeshi ya Ardhi ya Iran: Tumejiandaa Kujibu kwa Uamuzi Vitisho Vyovyote
Kamanda wa Majeshi ya Ardhi ya Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Brigedia Jenerali Ali Jahanshahi, amesema kuwa vikosi vya nchi hiyo vilivyoko mpakani viko katika utayari kamili wa kioperesheni na vimejiandaa kukabiliana kwa uthabiti na vitisho vyovyote vinavyoweza kujitokeza.
-
Waziri wa Utamaduni wa Iran: Mshikamano kati ya Iran na Lebanon ni Hitaji la Kimkakati la Kujilinda
Waziri wa Utamaduni na Mwongozo wa Kiislamu wa Iran amesema kuwa Iran na Lebanon wanakabiliwa na adui mmoja wa pamoja, na kwamba kuimarisha mshikamano kati ya mataifa hayo mawili si suala la hisia za kibinadamu pekee, bali ni hitaji la kimkakati katika kujilinda dhidi ya vitisho vya pamoja.
-
Mshauri wa Kiongozi wa Mapinduzi: Marekani Itakubali Masharti ya Iran au Ikabiliwe na Matokeo Makubwa
Mshauri wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu wa Iran ameonya kuwa Marekani italazimika kukubali masharti ya Tehran au kukabiliwa na matokeo makubwa, akiihusumu Washington kwa kuhujumu diplomasia na kutoheshimu makubaliano ya kusitisha mapigano.
-
Tishio Kali: Tutazivunja Meli za Kivita za Marekani katika Ghuba ya Uajemi
Kauli kali zimetolewa zikionya kuwa meli za kivita za Marekani katika Ghuba ya Uajemi zitakabiliwa na majibu makali endapo zitahatarisha usalama wa eneo hilo. Pande husika zisisitiza kuwa ziko tayari kulinda amani na mamlaka yao.
-
Petro Amjibu Trump Vikali: “Ukinikamata, Utachochea ‘Jaguar wa Watu’”
Rais wa Colombia, Gustavo Petro, amemjibu vikali Donald Trump kufuatia vitisho dhidi yake, akikanusha tuhuma za biashara ya dawa za kulevya na kuonya kuwa jaribio lolote la kumtia mbaroni litachochea upinzani mkubwa wa wananchi, huku akisisitiza ulinzi wa uhuru na heshima ya taifa la Colombia.
-
Vitisho vya Trump dhidi ya Iran Vinatokana na Kukata Tamaa: IRGC
IRGC imesema vitisho vya Rais wa Marekani Donald Trump dhidi ya Iran vinatokana na kukata tamaa baada ya kushindwa kuishinikiza Iran, ikisisitiza utii wake kwa Kiongozi wa Mapinduzi Ayatollah Ali Khamenei na kuendelea kulinda taifa la Iran na kuimarisha njia ya Shahidi Qassem Soleimani katika Mhimili wa Upinzani.
-
Ayatollah Khamenei Asifu Uwezo wa Makombora ya Iran, Asema Yameharibu Vituo Muhimu vya Utawala wa Kizayuni
Ayatollah Khamenei pia aliongeza kuwa utawala wa Kizayuni (Israel), ambao kwa muda mrefu umekuwa ukifanya vitisho na mashambulizi dhidi ya eneo hili la kikanda, sasa “umepokea funzo ambalo litabaki kwenye kumbukumbu zake,” akisisitiza kuwa taifa la Iran halitasita kujibu hatua yoyote ya uchokozi
-
Sayyid Abdul-Malik Badruddin al-Houthi:
Sera ya makusudi ya kuwalisha watu njaa inayotekelezwa na Wazayuni ni Kushindwa kwa Maadili kwa jamii ya Kimataifa.Magharibi ni Msaidizi Mkuu wa Uovu
"Adui, kwa kushirikiana na Wamarekani, kila siku anaeneza mitego ya mauti kwa lengo la kuwaangamiza Wapalestina, na anaendelea kutekeleza uhalifu wa karne na fedheha ya enzi hii, kwa sababu amepewa uhakikisho kutoka kwa baadhi ya tawala za Kiarabu - bali anapewa motisha, msaada na uungwaji mkono nao."
-
Ayatollah Al-Udhma Abdullah Javadi Amoli amesema kwamba “Kuunganisha Sanaa na Ushairi na Tauhidi ni ngao dhidi ya vitisho vya kigeni"
Ayatollah Al-Udhma Abdullah Javadi Amoli alisisitiza umuhimu wa kuunganisha sanaa na ushairi na Tauhidi (umoja wa kumpwekesha Mwenyezi Mungu), akisema kuwa iwapo mafundisho ya tauhidi yatahuishwa kwa sura yake halisi, basi jamii ya Kiislamu haitapotea wala kukumbwa na vitisho kutoka kwa maadui.