Wizara
-
Vifo vya Wapalestina 453, wakiwemo watoto 150, vimeripotiwa kutokana na njaa na utapiamlo huko Gaza
Wizara ya Afya ya Ukanda wa Gaza imetangaza kuwa idadi ya waathirika waliopoteza maisha kutokana na njaa na utapiamlo imefikia watu 453, ambapo miongoni mwao wako watoto 150.
-
Wizara ya Ulinzi ya Iran: Hakuna Nguvu Yenye Haki ya Kuingilia Uwezo wa Makombora ya Iran
Kwa mujibu wa taarifa ya Wizara ya Ulinzi, Brigedia Talaeinik alibainisha kuwa Marekani na washirika wake wanasisitiza mazungumzo kuhusu programu ya makombora na wanataka kupunguza umbali wa makombora ya Iran. Hata hivyo, alisema kuwa msingi wa uwezo wa makombora ya Iran ni kulinda usalama na maslahi ya kitaifa ya wananchi wake.
-
Israel imefanya mashambulizi ya anga dhidi ya Sanaa (Mji Mkuu wa Yemen) na Mkoa wa Al-Jawf
Kwa mujibu wa wizara ya afya ya Yemen, mashambulizi ya Israeli yaliyoelekezwa Sanaa na Mkoa wa Al-Jawf yamesababisha watu wasiopungua 35 kuuawa na zaidi ya 130 kujeruhiwa.
-
Matokeo Chanya ya Ziara ya JMAT-TAIFA Katika Wizara ya Habari, Sanaa na Michezo Kuhusu Matembezi ya Hiari ya Amani (MHA)
Kwa kutambua mchango huo, JMAT-TAIFA iliishukuru na inaendelea kuishukuru kwa dhati Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa ushirikiano wao madhubuti, na walisisitiza kuwa mshikamano huo utaendelea kwa ajili ya maendeleo na ustawi wa jamii zote za Taifa pendwa la Tanzania
-
Zaidi ya Mazuwwari wa Kigeni Milioni 4 Washiriki Ziara ya Arubaini Karbala
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iraq imetangaza kuwa zaidi ya mahujaji wa kigeni milioni 4 wameshiriki katika Ziara ya Arubaini mwaka huu.
-
Baqaei: Kushambulia hospitali ni ukiukaji mkubwa wa sheria za kimataifa na uhalifu wa kivita
Akilaani shambulio la kombora la utawala haramu wa Kizayuni katika Hospitali na Kituo cha Tiba cha Farabi huko Kermanshah, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo ameandika: "Mashambulizi dhidi ya hospitali pamoja na mashambulizi katika maeneo ya makazi ya watu ni ukiukaji mkubwa wa sheria za kimataifa na jinai ya kivita."
-
"Vita vya Gaza vimesababisha Wapalestina 1,500 kupoteza uwezo wa kuona"
Wizara ya Afya ya Palestina imetangaza leo Jumapili kuwa, kutokana na vita na kuzidi kwa mzingiro unaoendelea wa jeshi la utawala wa Kizayuni dhidi ya Gaza, Wapalestina 1,500 wamepoteza uwezo wao wa kuona.
-
Serikali ya Muda ya Afghanistan Yatoa Pole kwa Watu wa Iran Kufuatia Mlupuko wa Bandar Abbas
Baada ya mlipuko uliotokea jana katika Bandari ya Shahid Rajaei iliyopo katika Mji wa Bandar Abbas, Serikali ya Muda ya Afghanistan, sambamba na mataifa mengi duniani, imetoa pole kwa watu na Serikali ya Iran.
-
Shambulio baya la jeshi la Kizayuni kwenye Kliniki (Zahanati) ya Umoja wa Mataifa Kaskazini mwa Gaza
Shambulio la Wazayuni katika Zahanati moja katika Ukanda wa Gaza limepelekea kuuawa Shahidi watu kadhaa wakiwemo watoto.