urusi
-
Urusi Inapanga Kuanzisha Kambi 9 za Kijeshi Katika Eneo la Kusini mwa Syria
Urusi, kwa lengo la kurejesha ushawishi wake wa kijeshi hadi mpaka wa kusini mwa Syria, inapanga kuanzisha vituo 9 vipya vya kijeshi katika mikoa ya Quneitra na Daraa.
-
Barua ya Iran, Urusi na China kwa Grossi: Wajibu wa Kuripoti wa IAEA Umefikia Mwisho
Wawakilishi wa kudumu wa Iran, Urusi na China katika Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) wamemwandikia barua rasmi Rafael Grossi, Mkurugenzi Mkuu wa wakala huo, wakisisitiza kuwa kwa kumalizika kwa muda wa utekelezaji wa Azimio la 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, jukumu la IAEA la kuwasilisha ripoti chini ya azimio hilo limefikia mwisho, na kwamba hatua yoyote mpya katika mwelekeo huo haina uhalali wa kisheria.
-
Waziri wa Ulinzi kwa Mwenzake wa Russia: Uamuzi wa Iran ni Kuadhibu Mchokozi kwa Nguvu Zote
"Kilicho hakika ni kwamba hatupigani na Israel pekee, bali tunapigana na Amerika na baadhi ya nchi pia (vibaraka) zinazoiunga mkono Israel."
-
"Kinga ya Dhahabu" ya Trump: Ulinzi wa Kweli au Mbinu ya Vita vya Kisaikolojia?!
Mpango huu wa Trump unafanana sana na mpango wa miaka ya 1980 wa Rais wa zamani Ronald Reagan ulioitwa "Mpango wa Ulinzi wa Kimkakati" (Strategic Defense Initiative), uliolenga kuzuia makombora ya nyuklia ya Urusi kwa kutumia satelaiti na leza — lakini haukuwahi kutekelezwa kutokana na gharama kubwa, ugumu wa kiufundi, na upinzani wa ndani na kimataifa.
-
Tangazo la Urusi la kuwa tayari kupatanisha Pakistan na Afghanistan
Wakati mvutano kati ya Pakistan na Afghanistan ukiendelea, Balozi wa Urusi nchini Pakistan alitangaza utayari wa nchi yake kutatua mivutano hii.