urusi
-
Kamanda wa Jeshi la Majini la Iran Akutana na Wenzake wa Urusi na Saudi Arabia Kando ya Mazoezi ya Majini ya Milan 2026 nchini India
Kamanda wa Jeshi la Majini la Iran, Admiral Shahram Irani, alikutana kando ya mazoezi ya Milan 2026 nchini India na viongozi wa Jeshi la Majini la Urusi na Saudi Arabia, ambapo walijadili ushirikiano wa kijeshi, usalama wa baharini, na kuimarisha uhusiano wa kimkakati kati ya nchi hizo.
-
Putin Apongeza Siku ya Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran
Putin ameonyesha kwamba uhusiano kati ya Urusi na Iran ni wa kirafiki na una msingi wa ushirikiano wa karibu. Pia ameahidi kuwa Urusi inaunga mkono Iran katika kulinda udhibiti wake wa ndani, maslahi yake halali, na usalama wake katika mazingira ya kimataifa yenye changamoto.
-
Televisheni ya Urusi: Maelezo ya kifurushi cha mapendekezo ya Urusi kwa Iran na Marekani
Urusi imependekeza mpango wa makubaliano kati ya Iran na Marekani. Kampuni ya Urusi Rosatom isimamie urutubishaji wa urani nchini Iran kwa matumizi ya kiraia. Iran ibaki na haki ya kurutubisha urani kwa kiwango cha karibu 3.6%. Iran itoe dhamana ya kutotumia makombora yake kwa mashambulizi ya mapema dhidi ya Marekani au Israel. Lengo ni kufikia makubaliano yanayokubalika kwa pande zote.
-
Marekani Yatwaa Meli ya Mafuta ya Kirusi Iliyo Husiana na Mafuta ya Venezuela
Hali hii inachangia kuongeza mvutano wa kimataifa, huku washirika wa Venezuela na Urusi wakionya kuhusu matokeo yanayoweza kutokea kutokana na hatua hizo za Marekani.
-
Netanyahu Aomba Msaada wa Urusi Kutuliza Iran Kuhusu Hofu ya Mashambulizi
Inadaiwa kuwa Netanyahu alimwomba Rais wa Urusi, Vladimir Putin, kufikisha ujumbe huo kwa viongozi wa Iran.
-
Vikosi vya Urusi Vadai Kuuteka Kikamilifu Mji wa Kupyansk Huko Ukraine - Ukraine Yakanusha!
Kwa sasa, hali ya Kupyansk inaelezwa kuwa bado ni ya mvutano mkubwa, huku mashambulizi ya mabomu, droni na silaha nzito yakiendelea kuripotiwa katika maeneo ya karibu.
-
Putin Aahidi Urusi Kuchukua Eneo la Donbas kwa Njia Zote, Wakati Waukrainia Wakiandaa Mazungumzo Za Amani na Marekani
Putin alifika New Delhi, India, Alhamisi, ambapo alikaribishwa na Waziri Mkuu wa India, Narendra Modi, siku mbili tu baada ya mkutano wake katika eneo la Kremlin na ujumbe wa Marekani ulioongozwa na mwakilishi maalum Steve Witkoff.
-
Zelenskyy Akataa Shinikizo la Kuachia Ardhi: Avunja Pendekezo la Marekani Kuhusu Suluhu ya Vita
Zelenskyy ameweka wazi kwamba nchi yake haitakubali kuachia ardhi yoyote kwa Urusi — haoni pendekezo lolote la “kuzielezea” maeneo uliopewa na nguvu. “Hatuwezi kuachia mambo yoyote,” amesema, akiongeza kwamba sheria ya Ukraine — na katiba — haina ridhaa ya kuichukua ardhi yake.
-
Makampuni makubwa ya silaha kutoka Russia, Marekani, China na Ulaya waanza kunakili teknolojia ya Droni "Shahed“ ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Umaarufu unaozidi kuongezeka wa drone ya Shahed ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran umeleta mabadiliko makubwa katika fikra za kiulinzi duniani, na sasa mataifa yenye uwezo mkubwa yanaanza kujifunza kutoka kwa taifa lililotumia ubunifu na uhalisia badala ya gharama kubwa.
-
Urusi Inapanga Kuanzisha Kambi 9 za Kijeshi Katika Eneo la Kusini mwa Syria
Urusi, kwa lengo la kurejesha ushawishi wake wa kijeshi hadi mpaka wa kusini mwa Syria, inapanga kuanzisha vituo 9 vipya vya kijeshi katika mikoa ya Quneitra na Daraa.
-
Barua ya Iran, Urusi na China kwa Grossi: Wajibu wa Kuripoti wa IAEA Umefikia Mwisho
Wawakilishi wa kudumu wa Iran, Urusi na China katika Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) wamemwandikia barua rasmi Rafael Grossi, Mkurugenzi Mkuu wa wakala huo, wakisisitiza kuwa kwa kumalizika kwa muda wa utekelezaji wa Azimio la 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, jukumu la IAEA la kuwasilisha ripoti chini ya azimio hilo limefikia mwisho, na kwamba hatua yoyote mpya katika mwelekeo huo haina uhalali wa kisheria.
-
Waziri wa Ulinzi kwa Mwenzake wa Russia: Uamuzi wa Iran ni Kuadhibu Mchokozi kwa Nguvu Zote
"Kilicho hakika ni kwamba hatupigani na Israel pekee, bali tunapigana na Amerika na baadhi ya nchi pia (vibaraka) zinazoiunga mkono Israel."
-
"Kinga ya Dhahabu" ya Trump: Ulinzi wa Kweli au Mbinu ya Vita vya Kisaikolojia?!
Mpango huu wa Trump unafanana sana na mpango wa miaka ya 1980 wa Rais wa zamani Ronald Reagan ulioitwa "Mpango wa Ulinzi wa Kimkakati" (Strategic Defense Initiative), uliolenga kuzuia makombora ya nyuklia ya Urusi kwa kutumia satelaiti na leza — lakini haukuwahi kutekelezwa kutokana na gharama kubwa, ugumu wa kiufundi, na upinzani wa ndani na kimataifa.
-
Tangazo la Urusi la kuwa tayari kupatanisha Pakistan na Afghanistan
Wakati mvutano kati ya Pakistan na Afghanistan ukiendelea, Balozi wa Urusi nchini Pakistan alitangaza utayari wa nchi yake kutatua mivutano hii.