26 Machi 2025 - 02:45
News ID: 1544828
Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Kimataifa la Ahl al-Bayt (AS) - Abna -; Kikosi cha Jeshi la Wanaanga cha Iran (IRGC) kimezindua mji mpya kabisa (wa chini ya ardhi) ambao ni mojawapo ya miji yake ya Makombora ya uhakika. Mji huu mpya wa Makombora uliozinduliwa leo hii, umesheheni aina zote za Makombora ya Khaybar Shekan, Haji Qasim, Qadr H, Sejjil, Emad na Kombora la Cruise la Paveh
Your Comment