Video | Ripoti ya Mwandishi wa Habari "ABNA" Kwa Lugha ya Kiingereza kutoka katika Maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds, Katika Mji wa Qom
29 Machi 2025 - 03:36
News ID: 1545563
Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) - Abna -; Matembezi ya Siku ya Kimataifa ya Quds yalifanyika kwa kuhudhuriwa na matabaka tofauti ya watu wa Mji wa Qom kutoka Madhabahu (Haram) ya Hazrat Maasoumah (s.a) hadi Msikiti wa Quds wa Mji huu. Katika ripoti ya Kiingereza, ripota wa Shirika la Habari la ABNA alishughulikia sehemu ya maandamano haya makubwa kwa kuhoji kundi la washiriki kuhusu motisha yao ya kushiriki katika maandamano hayo.
Your Comment